Pinga points zangu kuhusu Nyerere kukorofishana na Kenya hadi kufungiana mipaka na Kenya. Pinga kama hayo yote niliyosema ni uongo ili nikuwekee ushahidi hadharani.
Wewe tatizo hujui lolote zaidi ya chuki dhidi ya Magufuli. Kenya ni nchi korofi Sana. Kitendo cha Nyerere kukorofishana na Kenya, ni dalili ya wazi kwamba Kenya ni wakorofi, tatizo lako wewe unachukulia kila abayekorofishana na Kenya, basi yeye ndiye mkorofi, kwanini unauliza kwamba "Mimi ninataka kusema kwamba mwalimu alikua haitakii Kenya men's? ",kwanini hukutaka kujua kwanini Nyerere alikua hapatani na Kenya?.
Acha kuwatetea wakenya, watu ambao wenyewe kwa wenyewe hawpatani, na wanakwaruza na majirani zao wote.
Sent from my TECNO-L8 using
JamiiForums mobile app