Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

IMG_20220927_190940_421.jpg


Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya, hakuna chaguzi? Hiyo ndiyo agenda yetu peke ya turufu kwenye mustakabala wetu mwema kama taifa kama tunataka, na inawezekana."

Jambo la kheri ni kuwa, vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
 
Wote wachumia tumbo.Hata huyo uliyemu-quote Fidel Castro mwisho wa siku alimwachia nchi mdogo wake....

Kumbe tuwapate wapi malaika ndugu?

Si hata mashetani wawili hakosekani mwenye unafuu?

Si tupate katiba mpya kuhakikisha wachumia tumbo hawapati nafasi?
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi ni agenda ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Umekatazwa na nani kuwaunga mkono? Kila mtu na interest zake so usitulazimishe.
 
Kumbe tuwapate wapi malaika ndugu?

Si hata mashetani wawili hakosekani mwenye unafuu?

Si tupate katiba mpya kuhakikisha wachumia tumbo hawapati nafasi?
Ndio tusilazimishe wewe kama unaona Wana Msaada kwako nenda ,Kila mtu afanye kinachompa ugali mezani
 
Waliopendekezwa ni 10 au 15, kwa nini wao bado ni watatu tu hadi sasa? Waambie wanahitaji kufanya recruitment. Lazima wawepo vijana wa kufanya relays
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi ni agenda ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi ni agenda ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
weka jina lako halisi kama siyo waoga sisi? sis ni waoga..... brazaj kama unamwamini Slaa aliyehongwa na magufuli ubalozi akatupa kila alichokiamini for "centuries", basi naanza kukuelewa sasa ni mtu wa namna gani!
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi ni agenda ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Mwabukisi ana turufu yangu ya imani
 
Mwabukui aligombea ubunge akakosa...means naye ni mchumia tumbo tu kama wengine........... akipata madaraka huwezi jua atakuwaje......kama anagombana na akina Chadema wakati lengo lao ni moja, basi ujue ni takataka tu kama Slaa
 
A
Kumbe tuwapate wapi malaika ndugu?

Si hata mashetani wawili hakosekani mwenye unafuu?

Si tupate katiba mpya kuhakikisha wachumia tumbo hawapati nafasi?
Napata shida kidogo, kama akina Mwabukusi wanataka kuungwa mkono na wananchi kwanini kunazuka malumbano kuhusu support ya cdm? Kwangu Mimi labda huyo Mwabukusi, ila Slaa napata shida sana na yeye. Kipindi Cha magufuli hakuwa kutoa support yoyote kwa wapinzani hata walipokuwa na hiyo ajenda ya katiba mpya. Leo hii Hana cheo anajifanya Yuko na ajenda ya katiba mpya!

Wao nadhani waendelee tu na mipango yao mizuri, kisha wananchi watajitokeza kuunga mkono hiyo movement Yao.
 
Kipindi Cha magufuli hakuwa kutoa support yoyote kwa wapinzani hata walipokuwa na hiyo ajenda ya katiba mpya. Leo hii Hana cheo anajifanya Yuko na ajenda ya katiba mpya!
well said! Slaa kamwe msimwamini, kama alishiriki ukandmizaji wa magufuli, huyo ni takataka. Maria shangazi nimeanza kumdharau kwa mbali, maana she can not intergrate and differentiate issues! Slaa siyo wa kuandamana naye! Nilisema na kuuliza swali, Je, kama Ubalozi ungeliendelea, angelikuwa katika kundi lao?
 
Back
Top Bottom