Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Tunza familia yako.Ili ufanikiwe katika hilo ni mwendo wa "SALA NA KAZI".(Ora et Labora).Tafuta timu ya Mpira nunua jezi za hiyo timu kama 6pcs,bakiza 2pcs nyingine gawia unaowapenda.Ya kaisari Mpe kaisari na ya Mungu Mpe Mungu🙏....

Mkuu hata ma CCM, bi tozo, Tulia na vibaraka wao wanayo mawazo kama yako. Vipi ndugu, ni wenzako?
 
Mkuu ni kweli mambo ni mengi na hivyo nikiri sikuwa nimekufahamu kabisa.

Hapo ndipo uone mshangao wangu ulivyokuwa ndani ya ufahamu wangu huo mdogo kuhusiana na ulichoandika.

Sasa nikurudie kwenye hoja hii:

1. Huko "uzima tele" wala sikuwahi kukusikia. Tafadhali niwekee link. Fahari ya macho au vipi?
2. Kukujibu kuhusu maoni yangu, waziwazi ni kama nilivyokujibu kwenye hoja zangu zile:

"Kuhisiana hakuna nafasi katika mapambano. Tena kusipewe nafasi."

Tuwahukumu watu kutokea kwenye hoja na matendo yao si hisia zetu kwani hayupo aliyekuwa supernatural.
Mkuu;
link hii hapa:,
 
Kwa hiyo ndugu nani walio relevant ambao wananchi hawaja wapuuza? Kingine, unafahamu tofauti ya wao kama binadamu na hoja zao?
Mkuu brazaj achana na hao utadharaulika. Mwabukusi ni mlevi mbwa anayelewa hadi kujikojolea bar, Mdude ni muathirika wa vitendo vya kulawitiwa akiwa mahabusu enzi za Magu so yuko desperate. Dr Slaa ni kama malaya wa corner bar tu kwa vile ukimpa hela anafanya chochote. Kumbuka alikuwa Padre halafu akaasi, alioa akaacha, akaoa Mushumbushi naye akamshindwa. Alikuwa CDM then akahongwa na Magu na kuwa CCM. Alipoachwa na Samia jobless ndiyo anatafuta pa kutokea
 
Mkuu brazaj achana na hao utadharaulika. Mwabukusi ni mlevi mbwa anayelewa hadi kujikojolea bar, Mdude ni muathirika wa vitendo vya kulawitiwa akiwa mahabusu enzi za Magu so yuko desperate. Dr Slaa ni kama malaya wa corner bar tu kwa vile ukimpa hela anafanya chochote. Kumbuka alikuwa Padre halafu akaasi, alioa akaacha, akaoa Mushumbushi naye akamshindwa. Alikuwa CDM then akahongwa na Magu na kuwa CCM. Alipoachwa na Samia jobless ndiyo anatafuta pa kutokea

Uliyoyaandika hapa nabii Issa aliyoana milenia mbili zilizopita:

Kufanana kwa Wanaowanyanyapaa kina Mwabukusi na visa vya Yesu

Pole lakini ndugu .. mwana mpotevu anayo haki ya kurudi nyumbani.
 
Mkuu;
link hii hapa:,

Mkuu nilikuwa sijauona. Asante sana. Ngoja sasa nipige kambi hapo kuvuna madini.
 
Mwabukusi ndiyo Yesu wako? Wanyakyusa mnacheza sana na Biblia

Yesu wangu unamsoma wapi? Hapa chini ni bandiko lako ndugu?

Screenshot_20231007-155515.jpg


Kwenye Uzi huu:

Baada ya Tundu Lissu kuachiwa na Polisi; je, atarejea Karatu kuendelea na mkutano wake?

Kwa hakika unasomeka vyema sana kuliko maelezo!
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya, hakuna chaguzi? Hiyo ndiyo agenda yetu peke ya turufu kwenye mustakabala wetu mwema kama taifa kama tunataka, na inawezekana."

Jambo la kheri ni kuwa, vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Naaam umeongea ukweli

Shida ya Chadema ni chama chao sio wananchi na nchi na shida za wananchi..

Mikutano sio njia pekee ya kumkomboa Mtz. Wamekazana na kutafuta huruma kila wakati.
Press conference zao ni pale tu chama kimeguswa.

Serikali inafanya mengi mengi kinyume na Katiba wao wapo tu kuandika kwenye social media.
Kuna jambo tusilolijua
Wameacha kuungana na wanaharakati kutwa kuwasimanga…
Matumizi ya pesa ni makubwa but for nothing..

Chadema badilikeni kama kweli ninyi ni wapinzani.

Upinzani sio ku brand jina la chama mara sijui nguo sijui kofia ( hii ni rubbish)

Upinzani ni kupingana na serikali kwa hoja kwa bidii kwa lolote sio kukaa kwenye vikao visivyoisha mahotelini..

Semeni Fanyeni jambo wananchi wawasikie
Ikosoeni serikali ASUBUHI MCHANA JIONI
sio hadithi njoo utamu kolea.

Kwani Ruzuku kazi yake nini? Si mnachukua then what?

Mods tadadhalini sana msifute mawazo yangu..
 
Naaam umeongea ukweli

Shida ya Chadema ni chama chao sio wananchi na nchi na shida za wananchi..

Mikutano sio njia pekee ya kumkomboa Mtz. Wamekazana na kutafuta huruma kila wakati.
Press conference zao ni pale tu chama kimeguswa.

Serikali inafanya mengi mengi kinyume na Katiba wao wapo tu kuandika kwenye social media.
Kuna jambo tusilolijua
Wameacha kuungana na wanaharakati kutwa kuwasimanga…
Matumizi ya pesa ni makubwa but for nothing..

Chadema badilikeni kama kweli ninyi ni wapinzani.

Upinzani sio ku brand jina la chama mara sijui nguo sijui kofia ( hii ni rubbish)

Upinzani ni kupingana na serikali kwa hoja kwa bidii kwa lolote sio kukaa kwenye vikao visivyoisha mahotelini..

Semeni Fanyeni jambo wananchi wawasikie
Ikosoeni serikali ASUBUHI MCHANA JIONI
sio hadithi njoo utamu kolea.

Kwani Ruzuku kazi yake nini? Si mnachukua then what?

Mods tadadhalini sana msifute mawazo yangu..

Umeeleza vyema. Tatizo ni kuwa nia njema ya kufanya vyema zaidi ipo? Huu hapa ulikuwa uzi mwingine:

Kuzuiwa Lissu, habari na Propaganda CHADEMA mko wapi?
 
A

Napata shida kidogo, kama akina Mwabukusi wanataka kuungwa mkono na wananchi kwanini kunazuka malumbano kuhusu support ya cdm? Kwangu Mimi labda huyo Mwabukusi, ila Slaa napata shida sana na yeye. Kipindi Cha magufuli hakuwa kutoa support yoyote kwa wapinzani hata walipokuwa na hiyo ajenda ya katiba mpya. Leo hii Hana cheo anajifanya Yuko na ajenda ya katiba mpya!

Wao nadhani waendelee tu na mipango yao mizuri, kisha wananchi watajitokeza kuunga mkono hiyo movement Yao.
Dr. Slaa siyo mnafiki ni mtu anayechukia ufisadu kwa vitendo sasa kama chadema kilishirikiana na baadhi ya wana ccm kumchafua Lowasa na Dr. Slaa akiwemo wewe ulitegemea Slaa hamnadi Lowasa kweli? Huo sindio tunauita undumila kuili.
 
A

Napata shida kidogo, kama akina Mwabukusi wanataka kuungwa mkono na wananchi kwanini kunazuka malumbano kuhusu support ya cdm? Kwangu Mimi labda huyo Mwabukusi, ila Slaa napata shida sana na yeye. Kipindi Cha magufuli hakuwa kutoa support yoyote kwa wapinzani hata walipokuwa na hiyo ajenda ya katiba mpya. Leo hii Hana cheo anajifanya Yuko na ajenda ya katiba mpya!

Wao nadhani waendelee tu na mipango yao mizuri, kisha wananchi watajitokeza kuunga mkono hiyo movement Yao.

"Sikuwa nimeliona bandiko lako hili kabla. Majukumu si kidogo."

Mada mbona iko wazi mno ndugu? Chini ya kichwa:

"Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono."

Yenye kuwasilisha mawazo binafsi ya mleta mada kama mwananchi huru. Beberu akiita:

"Thinking aloud."

1. Hakuna popote palipoandikwa kina Mwabukusi wanataka support ya awaye yote.

2. Hakuna popote walipotajwa CDM, wala kuonyesha kuna malumbano na mtu yeyote achilia mbali na hao CDM unaowasema.

Jiridhishe ndugu, kwenye mada yaliyomo ni haya:

"Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?"


Uliyoyaandika wewe (ya wao kutaka support, CDM au malumbano) umeyatoa wapi au yanahusika vipi hapa ndugu?

Hayo ni maoni yangu. Kila mtu ana yake. Huo si ndiyo ustaarabu?
 
Dr. Slaa siyo mnafiki ni mtu anayechukia ufisadu kwa vitendo sasa kama chadema kilishirikiana na baadhi ya wana ccm kumchafua Lowasa na Dr. Slaa akiwemo wewe ulitegemea Slaa hamnadi Lowasa kweli? Huo sindio tunauita undumila kuili.
Uko sahihi, basi huyo Dr. Slaa naye asitake kuungwa mkono na hao mandumilakuwili.
 
Agenda za vyama ni za wananchi wa vyama hivyo pia.
 
Agenda za vyama ni za wananchi wa vyama hivyo pia.

Tofauti za mawazo haijawahi na wala haitakuja kuwa ni dhambi.

"Hata watoto mapacha hutokea wakati wakatofautiana." --chidumule.

Ikitokea hivyo, kistaarabu, mwamuzi huwa ni kura hata (huko) vyamani.

Ustaarabu ni kushawishiana kwa hoja. Hoja haipingwi kwa rungu.
 
"Sikuwa nimeliona bandiko lako hili kabla. Majukumu si kidogo."

Mada mbona iko wazi mno ndugu? Chini ya kichwa:

"Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono."

Yenye kuwasilisha mawazo binafsi ya mleta mada kama mwananchi huru. Beberu akiita:

"Thinking aloud."

1. Hakuna popote palipoandikwa kina Mwabukusi wanataka support ya awaye yote.

2. Hakuna popote walipotajwa CDM, wala kuonyesha kuna malumbano na mtu yeyote achilia mbali na hao CDM unaowasema.

Jiridhishe ndugu, kwenye mada yaliyomo ni haya:

"Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?"


Uliyoyaandika wewe (ya wao kutaka support, CDM au malumbano) umeyatoa wapi au yanahusika vipi hapa ndugu?

Hayo ni maoni yangu. Kila mtu ana yake. Huo si ndiyo ustaarabu?
Fuatilia vizuri lawama dhidi ya CDM kuhusu kuwaunga mkono akina Mwabukusi. Usijifungie kwenye mtazamo wako tu, tazama na wengine wanaongea Nini kwenye hilo suala la kina Mwabukusi na ushiriki wa cdm.
 
Fuatilia vizuri lawama dhidi ya CDM kuhusu kuwaunga mkono akina Mwabukusi. Usijifungie kwenye mtazamo wako tu, tazama na wengine wanaongea Nini kwenye hilo suala la kina Mwabukusi na ushiriki wa cdm.

Lawama na magomvi havisaidii kitu ndugu. CCM na vibaraka wao wanatutaka sana huko.

"Kulikoni kutojikita kwenye mada?"

Zingatia mada hii haihusiani na lawama wala magomvi yoyote unayoonekana kuongelea wewe.

Hapa chini niliandika, Machi 21, 2023:

Uchaguzi 2024/25 wa nini kama hakuna Katiba Mpya?

"Maudhui ya mada hiyo na hii hayana tofauti."

"Kama watu wazima kulikoni tusipime na kuchambua mambo na kuchagua wenyewe yaliyo bora zaidi?"

Kumbuka kama binadamu tunayo haki ya kuwa na maoni binafsi.

Kwani tatizo liko wapi hapo ndugu?
 
Ni kweli alimpatia mdogo wake lkn sababu ni kwamba hakuona aliyekuwa na uchungu na nchi zaidi ya huyo mdogo wake.

Kwa kungelea kabisa Kwa nyundo:

"mdogo wake naye alimwachia nani?"
 
Back
Top Bottom