Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Huyu Mwabukusi ni kama Mugabe wakati wa ujana wake.

Mugabe ukifuatilia kwa makini speeches zake kuhusu Zimbabwe wakati akiwa kijana halafu ukaangalia uhalisia wa Zimbabwe aliyokuja kuiacha hutokaa upoteze muda wako kuwafuatilia hawa wanaojinasibu kuwa wao wanafaa kuwa viongozi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niko MPANDA hapa, CCM na Chongolo wao wako hapa full aibu. Wananchi hawana time nao kabisa
 
Naunga mkono hoja.

Siasa za Talk the talk hatuzutaki tunataka kuwalk the talk.

Tumechoka na Slogans za People's power tunataka matendo ya People's power!
 
Kamwe usiwaamini wana siasa walimwita Lowasa fisadi mwishoni wakamteua kuwa mgombea urais wao

Na katiba wanayoitaka wapinzani ni katiba ya kuwasaidia waingie madarakani si katiba ya wananchi wote.
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya, hakuna chaguzi? Hiyo ndiyo agenda yetu peke ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Jambo la kheri ni kuwa, vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Mwabukusi na wenzie wako IRRELEVANT kwa kuwa wananchi hawajui nini wanataka. Ndiyo maana wamewapuuza
 
Nani kajiona bora au mwema zaidi? Kwamba kumbe kuna u star unao au mnao u mind mno hapa?

Watu wa namna gani nyie?



Kuna hili la "sisi," kwani uko katika kum address nani kumbe?

Basi hata tuseme hata kama ulimaanisha "wao," yaani kina Mwabukusi, kulikoni kutokukaa angalau hata kimya tu, kama kuwatia moyo au kuwaunga mkono huwezi au hamuwezi?
mimi na mke wangu na watoto wangu, we vepee!!!

ulihisia nakujumuisha wewe feminist kwenye mtazamo wangu, alaa!!

nimtie moyo nani? Yaani niache kumtia moyo mke wangu nimtie moyo Mwambukusi?

Halafu hata unaposema tuseme kwamba nilimaanisha wao,?

huna mke wala watoto mseme na wewe na nani na feminist family right?

ongeza bidii ya kaz kijana hii ya wengine miyeyusho tu
 
Kamwe usiwaamini wana siasa walimwita Lowasa fisadi mwishoni wakamteua kuwa mgombea urais wao

Na katiba wanayoitaka wapinzani ni katiba ya kuwasaidia waingie madarakani si katiba ya wananchi wote.

Hatuwaamini watu tunaamini kwenye agenda za wananchi. Dhana kamili ya kutokuwa na marafiki au maadui wa kudumu, ambako kusamehe kwetu ni 7x70 ..
 
Mwabukusi na wenzie wako IRRELEVANT kwa kuwa wananchi hawajui nini wanataka. Ndiyo maana wamewapuuza

Kwa hiyo ndugu nani walio relevant ambao wananchi hawaja wapuuza? Kingine, unafahamu tofauti ya wao kama binadamu na hoja zao?
 
Hii lugha niliposikia ikihusishwa na zile jinsia ngeni .. binafsi and without prejudice naliigopa kuliko ukoma.
unaona sasa ulivyomuoga?

ongeza bidii ya kazi,
wachapa kazi hodari wenye uhakika wa kipato, hii haisumbui, unaidump kama huioni vile hadi wanakuogopa wew sasa kama ukoma!!

hiyo ni Jamii ya wavivu,
ni vizuri kuogopa kama binadamu makini
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya, hakuna chaguzi? Hiyo ndiyo agenda yetu peke ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Jambo la kheri ni kuwa, vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Watanzania sio wajinga, utapokelewa kwa kadri utakavyo waijia baada ya kukusoma, case closed
 
SIASA anazofanya Mbowe na genge lake zimepitwa na wakati na hazina impact yyt kwa Taifa hili chawa wa Mbowe mlijue. Hatutaki Siasa za kiwabembeleza watawala utadhani kufanya siasa ni hisani ya chama tawala. Tunataka SIASA za kuwawajibisha watawala pale wanapojiona wako juu ya katiba na sio SIASA za kuwabembeleza eti tupo kwenye maridhiano. Mnaridhiana nini na CCM?Wanauza bandari nyie mnaleta porojo za maridhiano, serious?Mnaacha kuungana na wanaopambana jino kwa jino na wezi nyie mnakuja na porojo za tuna ratiba zetu,mko serious?Toka mmeanza hizo operation mmeona CCM wakiangaika kujibu au kuwazuia?Lakini vipi hili valangati la akina Mdude?Hamuoni CCM wanakereka sana na SIASA za akina mdude kuliko zenu?
Dogo unaumia na unaketwa na cdm
 
Watanzania sio wajinga, utapokelewa kwa kadri utakavyo waijia baada ya kukusoma, case closed

Tofautisha watanzania kwa upande mmoja na CCM na vibaraka wao kwa upande mwingine ndugu
 
Kumbe tuwapate wapi malaika ndugu?

Si hata mashetani wawili hakosekani mwenye unafuu?

Si tupate katiba mpya kuhakikisha wachumia tumbo hawapati nafasi?
Tunza familia yako.Ili ufanikiwe katika hilo ni mwendo wa "SALA NA KAZI".(Ora et Labora).Tafuta timu ya Mpira nunua jezi za hiyo timu kama 6pcs,bakiza 2pcs nyingine gawia unaowapenda.Ya kaisari Mpe kaisari na ya Mungu Mpe Mungu🙏....
 
Back
Top Bottom