Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia naunga mkono hizo harakati. Ila aipendezi kukebehi wengine wenye harakati zao.
Wewe ni ibilisi mchonganishi. Na hiki ndicho unachokitaka.
View attachment 2773596
Saa ya ukombozi ni sasa!!
Inatuonyesha wazi UIMARA wa Dr. Slaa ulivyo na alivyo tishio kwa wale wasio tayari kuachana na ulaghai uliozagaa karibia nyanja zote, ulioshika mizizi na umekomaa, unaoitesa nchi kwa sasa.well said! Slaa kamwe msimwamini, kama alishiriki ukandmizaji wa magufuli, huyo ni takataka. Maria shangazi nimeanza kumdharau kwa mbali, maana she can not intergrate and differentiate issues! Slaa siyo wa kuandamana naye! Nilisema na kuuliza swali, Je, kama Ubalozi ungeliendelea, angelikuwa katika kundi lao?
Mwabukusi,Slaa na Mdude wameamua kwenda Mbeya na sisi CHADEMA tutakuwa huko.
Samia kapanick hahaha...
"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya UWT kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....Ninaamini unajua tumedhamiria kweli kweli. Hii si ngoma ya vyama. Ushauri wote unakaribishwa.
"Maneno matupu hayavunji mfupa.
Kina Mwabukusi wanastahili kuungwa mkono, siyo kubagazwa."
Walipo tupo!
sasa unadhani kwa kauli za dharau walizonazo dhidi ya makundi mengine ya kisiasa na kiraia kuna mahali watafiki kwa hapa TZ?Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.
Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.
Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?
Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:
View attachment 2773394
Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.
"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."
Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.
"Kwamba hakuna katiba mpya, hakuna chaguzi? Hiyo ndiyo agenda yetu peke ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."
Jambo la kheri ni kuwa, vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya UWT kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....
Nimeiona hii. Jee wewe umeiona? Una maoni gani?
"Sauti ya Watanzania" ni strategy dhaifu sana ya UWT kudhoofisha upinzani. Fuatana nami, unganisha matukio, wajue na kaa nao mbali....
Nimeiona hii. Jee wewe umeiona? Una maoni gani?
sasa unadhani kwa kauli za dharau walizonazo dhidi ya makundi mengine ya kisiasa na kiraia kuna mahali watafiki kwa hapa TZ?
si watabaki hivyo hivyo watatu yaani Mwambukusi, Dr. Slaa na Mdude labda na wewe ingawa pia utawakimbia mwanzoni
Chadema wanaona wivu eti watawapaisha akina Mwabukusi endapo wataunga mkono maandamano. Shabash!!!!Tatizo Chadema wanaona kina Mwabukusi wanawafunika!
sawa tutawaona mnaposonga mbele kujiona bora na wema zaidi ya wengine,Ziweke hapa kauli hizo tuzione. Itapendeza pia kuziona kama zinaharamisha agenda zao.
"Egoism" haitatufikisha popote.
Chadema wanaona wivu eti watawapaisha akina Mwabukusi endapo wataunga mkono maandamano. Shabash!!!!
sawa tutawaona mnaposonga mbele kujiona bora na wema zaidi ya wengine,
muda utasema ikiwa nanyi ni watetea wanyonge au matonge.....
Kwanza tuweke kumbukumbu sawa. Maneno niliyoyanukuu ni kichwa cha habari cha mwana JF Uzima Tele alichokiweka leo milango saa 10 jioni. Ndo maana nikakuuliza ikiwa umekiona na hivyo si maneno yangu. Maneno yangu yamo kweny swali "umeiona hii?"UWT ni nani? Mengine yote uliyoandika hapo ni ramli chonganishi zile zile za ma CCM na vibaraka wao.
Mimi nikidhani kuwa wewe ni kibaraka wa CCM kudhoofisha damira za wananchi, utasema je?
Kwahiyo nini kifanyike watu wakae Tu au siyo? Daah unaakili nyingi hongera ndg yngWote wachumia tumbo.Hata huyo uliyemu-quote Fidel Castro mwisho wa siku alimwachia nchi mdogo wake....
Kwanza tuweke kumbukumbu sawa. Maneno niliyoyanukuu ni kichwa cha habari cha mwana JF Uzima Tele alichokiweka leo milango saa 10 jioni. Ndo maana nikakuuliza ikiwa umekiona na hivyo si maneno yangu. Maneno yangu yamo kweny swali "umeiona hii?"
Baada ya utangulizi huo nirudi kwenye mada. Mimi nilidhani ungekuja kwenye mada yako na mjadala wangu. Kwamba ungeniambia kwamba umeiona au la. Ni bahati mbaya wakati kama huu mambo huwa mengi hivyo yanahitaji utulivu.
Mimi nirudie tu lile swali langu la kwamba umeiona? Na nini maoni yako? Ukijua kwamba hiyo habari sio yangu.
Mwabukui aligombea ubunge akakosa...means naye ni mchumia tumbo tu kama wengine........... akipata madaraka huwezi jua atakuwaje......kama anagombana na akina Chadema wakati lengo lao ni moja, basi ujue ni takataka tu kama Slaa
Jisemee wewe! Usilazimishwe wewe na nani? Masisiem mbona ni mapumba..v sanaUmekatazwa na nani kuwaunga mkono? Kila mtu na interest zake so usitulazimishe.
Pumba vuuuuJisemee wewe! Usilazimishwe wewe na nani? Masisiem mbona ni mapumba..v sana