Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

Kwanini Wakili Mwabukusi na wenzake wanastahili kuungwa mkono

weka jina lako halisi kama siyo waoga sisi? sis ni waoga..... brazaj kama unamwamini Slaa aliyehongwa na magufuli ubalozi akatupa kila alichokiamini for "centuries", basi naanza kukuelewa sasa ni mtu wa namna gani!

Ukishindwa kunielewa kwa maana hii:

Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Utakuwa umeamua kutokunichagulia tusi kama anitukanaye tu.

Lakini huo ndiyo ulio ukweli.

Wewe kama ni mwoga tafadhali usituunganishe na wengine humo wala awaye yote. Kila mtu na ajisemee mwenyewe.

Kulikoni kutishana?

Anasema Mwenyekiti Mbowe:

"Kwani taabu Iko wapi?"

NB: jina halisi halina maana yoyote ndiyo maana si lazima humu JF na hata lako si halisi.
 
Kwa nini umewachagua hao. Vipi kuhusu wengine...?

Zingatia kina Mwabukusi wanaungwa mkono na CDM wengi na baina yao ndiyo walio vinara ..
82.3% ya Wafuasi wa Chadema wanamuunga mkono Dr Slaa akiwemo Tundu Lisu na Mnyika

Sasa Mbowe na Mrema kila wakifikiria hilo wanamuona Mwabukusi ni hatarishi kwa Maslahi yao
 
Jitihada za kina Mwabukusi ni zenye mlengo wa kuwakabili maadui zetu kwa vitendo.

Kina Mwabukusi hawaongelei agenda za vyama. Kina Mwabukusi wanaongelea agenda za wananchi.

Nini kilicho bora kuliko agenda za wananchi?

Ikumbukwe ukombozi hauhitaji watu wote:

View attachment 2773394

Hapa ndipo zilipo tofauti zetu na kwingine pote.

"Mwoga yeyote asitwambie watanzania ni waoga. Mwoga yeyote asitwambie sisi ni tofauti na Kenya."

Tuwakumbushe waoga hawa kuwa Kwingine hawana urafiki wala uadui wa kudumu. Pia kwingine, na vigogo huwepo kwenye maandamano.

"Kwamba hakuna katiba mpya hakuna uchaguzi ni agenda ya turufu kwenye mustakabala wetu kama taifa, na inawezekana."

Vuguvugu la kina Mwabukusi limetuonyesha nani ni nani baina yetu.
Mbona anafanya harakati zake kwa kushambulia wenzake wanaofanya zao kupitia vyama vyao?
Anapanga , anaamua anaweka ratiba na kupelekea wengine ili wafuate alichoamua.
Yeye na kichwa chake ndiye Halmashauri kuu, ndiye Kamati ndogo ya Halmashauri Kuu, Yaye ndiye Kamati Kuu. Wenzake wana uzoefu, yeye bado ni toddler.
Anayoyataka sasa wenzake walishayafanya mara nyingi tu back then.
Anapaswa kujifunza kujadiliana na kusikilizana pia awe tayari kupoteza.
Ili jambo lako lifanikiwe haupaswi kuwa mbinafsi.
Unaweza ukawa na vision, mission na objectives zako nzuri tu, ukishakaribisha watu ili mshirikiane, wataanza kuzipangua ibjectives moja mpaka nyingine, wataingia kwenye mission kote watasambaratisha, muda wote unatakiwa uwe mvumilivu, as long as Vision is still intact.
Sasa watu ukigusa tu objective ya kwanza, vita inaanzia hapo, maana kwenye objectives mdipo kwenye ulaji (pesa), ndipo kwenye ujiko (visibility) , ndipo penye connections, kwa kifupi pana vitu vingi vya kuweza kumpa mtu vingi na kubadili kabisa maisha yake binafsi huku vision , wakati mwingine vision vikibaki vipovipo tu.
 
Sote tunaweza .. isipokuwa ki*gai ..
Hata huyo akiwa nje ya magwanda ni mwenzetu tu, changamoto ni kuwa anaiogopa adhabu itakayompata pindi akijulikana kuwa kajiunga nao. Tena watakaomuadhibu anawaona jinsi walivyo na usongo naye.
 
For a sensible man, Msaliti huwa ni adui wa kudumu!

Sensible men?

F7iw4TwXAAAZ6NP.jpeg


Jitafute humo kwa makini. Utajitambua ulipo.

Watu kama nyie kwa kujua au kutojua, ni mzigo.

No wonder imekuwa kudai mazingira yetu ni tofauti na Kenya. Kauli ambazo ni bullshit!
 
Hata huyo akiwa nje ya magwanda ni mwenzetu tu, changamoto ni kuwa anaiogopa adhabu itakayompata pindi akijulikana kuwa kajiunga nao. Tena watakaomuadhibu anawaona jinsi walivyo na usongo naye.

Huwezi kujua mbona Kuna Retired, imhotep, JokaKuu tukidhani ni makamanda wenzetu, Leo una shangaa?

Live bila chenga tumewaambia, chamani hatutoki. Ila ikija hoja ya wananchi, wananchi kwanza.

U chawa? Big No!

Habari ndiyo hiyo.
 
weka jina lako halisi kama siyo waoga sisi? sis ni waoga..... brazaj kama unamwamini Slaa aliyehongwa na magufuli ubalozi akatupa kila alichokiamini for "centuries", basi naanza kukuelewa sasa ni mtu wa namna gani!
We jamaa una kichwa kizito sana. Slaa ameondoka Chadema kabla Magufuli hajawa Rais.Huko kuongwa ni kupi?Kati ya Mbowe na Slaa nani msaliti wa mapambano ya ukombozi?Mbowe ndiye aliyemleta Lowasa kubwa la mafisadi Chadema. Ulitaka Slaa naye azunguke nchi nzima kumnadi Lowasa na kusema sio fisadi?Shida Mbowe kawashika ufahamu hadi hamjui nani jinamizi huko kwenye chama chenu.
 
Chadema na wafuasi wao mkubwa saizi ni Akina Mwabukusi na Sukuma gang na sio CCM.Nikisema niki sio Chama bali genge la wahuni tuwe tunaelewana.
 
Mbona anafanya harakati zake kwa kushambulia wenzake wanaofanya zao kupitia vyama vyao?
Anapanga , anaamua anaweka ratiba na kupelekea wengine ili wafuate alichoamua.
Yeye na kichwa chake ndiye Halmashauri kuu, ndiye Kamati ndogo ya Halmashauri Kuu, Yaye ndiye Kamati Kuu. Wenzake wana uzoefu, yeye bado ni toddler.
Anayoyataka sasa wenzake walishayafanya mara nyingi tu back then.
Anapaswa kujifunza kujadiliana na kusikilizana pia awe tayari kupoteza.
Ili jambo lako lifanikiwe haupaswi kuwa mbinafsi.
Unaweza ukawa na vision, mission na objectives zako nzuri tu, ukishakaribisha watu ili mshirikiane, wataanza kuzipangua ibjectives moja mpaka nyingine, wataingia kwenye mission kote watasambaratisha, muda wote unatakiwa uwe mvumilivu, as long as Vision is still intact.
Sasa watu ukigusa tu objective ya kwanza, vita inaanzia hapo, maana kwenye objectives mdipo kwenye ulaji (pesa), ndipo kwenye ujiko (visibility) , ndipo penye connections, kwa kifupi pana vitu vingi vya kuweza kumpa mtu vingi na kubadili kabisa maisha yake binafsi huku vision , wakati mwingine vision vikibaki vipovipo tu.

Wapi Mwabukusi kamtaja mtu. Una maana hawa wanaong'aka hIvi ndiyo wataka ubunge na ruzuku?
 
Chadema na wafuasi wao mkubwa saizi ni Akina Mwabukusi na Sukuma gang na sio CCM.Nikisema niki sio Chama bali genge la wahuni tuwe tunaelewana.

Hapa sijakusoma labda rejea kupanyoosha. Chadema si genge la wahuni. Huko kama CCM kuna chawa. Lakini na wazalendo wapo na si wachache ..
 
Ukitaka twende hivyo mbona ni rahisi sana. Wapi niliposema amemtaja fulani?

Umesema "wenzake" wala sikwenda mbali nimekuuliza ni kina nani hao au ndiyo hawa wanaong'aka?
 
Mbona anafanya harakati zake kwa kushambulia wenzake wanaofanya zao kupitia vyama vyao?
Anapanga , anaamua anaweka ratiba na kupelekea wengine ili wafuate alichoamua.
Yeye na kichwa chake ndiye Halmashauri kuu, ndiye Kamati ndogo ya Halmashauri Kuu, Yaye ndiye Kamati Kuu. Wenzake wana uzoefu, yeye bado ni toddler.
Anayoyataka sasa wenzake walishayafanya mara nyingi tu back then.
Anapaswa kujifunza kujadiliana na kusikilizana pia awe tayari kupoteza.
Ili jambo lako lifanikiwe haupaswi kuwa mbinafsi.
Unaweza ukawa na vision, mission na objectives zako nzuri tu, ukishakaribisha watu ili mshirikiane, wataanza kuzipangua ibjectives moja mpaka nyingine, wataingia kwenye mission kote watasambaratisha, muda wote unatakiwa uwe mvumilivu, as long as Vision is still intact.
Sasa watu ukigusa tu objective ya kwanza, vita inaanzia hapo, maana kwenye objectives mdipo kwenye ulaji (pesa), ndipo kwenye ujiko (visibility) , ndipo penye connections, kwa kifupi pana vitu vingi vya kuweza kumpa mtu vingi na kubadili kabisa maisha yake binafsi huku vision , wakati mwingine vision vikibaki vipovipo tu.
SIASA anazofanya Mbowe na genge lake zimepitwa na wakati na hazina impact yyt kwa Taifa hili chawa wa Mbowe mlijue. Hatutaki Siasa za kiwabembeleza watawala utadhani kufanya siasa ni hisani ya chama tawala. Tunataka SIASA za kuwawajibisha watawala pale wanapojiona wako juu ya katiba na sio SIASA za kuwabembeleza eti tupo kwenye maridhiano. Mnaridhiana nini na CCM?Wanauza bandari nyie mnaleta porojo za maridhiano, serious?Mnaacha kuungana na wanaopambana jino kwa jino na wezi nyie mnakuja na porojo za tuna ratiba zetu,mko serious?Toka mmeanza hizo operation mmeona CCM wakiangaika kujibu au kuwazuia?Lakini vipi hili valangati la akina Mdude?Hamuoni CCM wanakereka sana na SIASA za akina mdude kuliko zenu?
 
Back
Top Bottom