[emoji23][emoji23]Ustaarabu ni hulka ya kike.
Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
Mkishapewaga mimba na kuachwa, ndipo akili zinawarudi na kuwakumbuka hao wanao waboa.Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
[emoji134][emoji134][emoji134]kumbe????Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
True ..Wanawake wanapenda watu romantic play boy wengi wana romance za uongo uongo,dada zangu kureason hawajui ko rahis kuangukia hko
Naam hali inakuwaga hivyo [emoji16][emoji16]demu: yule jamaa hajatulia lakin ana wanawake wengi, wenzangu wanampendea Nini!? Hebu ngoja na mimi nikajionee mwenyewe.
Tayari kashaliwa hadi hapo.
[emoji16][emoji16][emoji16] nitakutafuta namba yako ninayoWastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.