Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Experience matters, mwenye nacho huongezewa, na mwisho ni asili kwa kiumbe Cha kike kuangalia kidume chenye masculine characters, hii iko ndani yao hata wenyewe wanajua na hubisha kwa Sababu ya trend za kidunia tu, Simba mmoja anahudumia kundi zima la majike.Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Nikweli yaan Ukiwa mtulivu huwez wapata.Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
I know you know somehow 😅🏃
Sinaga interest na playboys kwa kweli..Mimi nafall kwa wanaume@Chakorii @yna2 @Saint Anne tuibieni siri tuache upole.
Uzoefu..😀😀I know you know somehow 😅🏃
Mwisho na ngoma unatoka nayo baada ya kugundua alicho nacho[emoji12]Huwa tunaogopa huyu mtu mkimya kweli ama ndiyo chini chini mambo yake(dillema).
Ila sijui tu kwa mimi mtu mstaarabu sana aarh anaboa mwisho mnaishiwa stories na anapenda mambo yaende formal formal tu[emoji14] Bad boys bana kwanza ule ukauzu wao habembelezi sana coz ana wengi na ukizingua vibao kidogo huyo ndiyo safi sasa naamini hicho kiwivu ndiyo anakupenda, afu kuna ile kwanini ana wadada wengi ana kitu gani unique ngoja nami nitest[emoji848]
Duh nacheka huku naogopaa😒 ila wastaarabu nao hawana amsha amsha zile mara umefuma sms hujakaa sawa mdada kampigia😀Mwisho na ngoma unatoka nayo baada ya kugundua alicho nacho[emoji12]
Daah kweli dada zangu hamjui mnachokitaka,ila mkishazalishwa na kuachwa ndio akili zina wakaa sawa na kugundua mlikuwa mnapoteza mda.Duh nacheka huku naogopaa😒 ila wastaarabu nao hawana amsha amsha zile mara umefuma sms hujakaa sawa mdada kampigia😀
Duh haya tutajirekebisha mkuu! Maneno yanachoma 🙄🙄Daah kweli dada zangu hamjui mnachokitaka,ila mkishazalishwa na kuachwa ndio akili zina wakaa sawa na kugundua mlikuwa mnapoteza mda.
Acha kugeneralize mambo wewe unasema wanawake ni wajinga inamaana wote wana date na hao maplayboy?Halafu play boy akishawapachika mimba wanaanza kuwatafuta wanaume wastaarabu wawaoe. Wanawake ni wajinga Sana
Mjinga mwenyewe mkuu. Acha kupangia watu namna ya kuishi.Wanawake ni wajinga Sana