demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Mjinga mwenyewe mkuu. Acha kupangia watu namna ya kuishi.
Hahahahah nimeheka sana!
Umemuita Mjinga halafu ukamuita Mkuu hapohapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga mwenyewe mkuu. Acha kupangia watu namna ya kuishi.
Nakubali[emoji106]Wanawake wanavutiwa na wanapenda kuzaa na mwanaume mwenye alpha elements. Na mara nyingi hao bad boys ndio wanazo hizo alpha elements.
Mwanaume ukiwa mstaarabu sana wanawake wanakuona dhaifu na unaboa, na hawapendi kuzaa na mwanaume wanaemuona ni dhaifu.
Sema mara nyingi hao wanaume dhaifu(wastaarabu) wanakuwaga ni mababa wazuri Sana, wanajali na wana upendo hata kwa watoto wasiokuwa wao!
Na wanawake wengi wanalifahamu hili na ndio maana wakishazalishwa na hao play boys wanarudi kwa hao wastaarabu(nice guys) kwa ajili ya malezi ya watoto wao.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Sinaga interest na playboys kwa kweli..Mimi nafall kwa wanaume
Duh nacheka huku naogopaa[emoji19] ila wastaarabu nao hawana amsha amsha zile mara umefuma sms hujakaa sawa mdada kampigia[emoji3]
Hahahaha, halafu huwa ndio busara na upendo vinaongezeka,Daah kweli dada zangu hamjui mnachokitaka,ila mkishazalishwa na kuachwa ndio akili zina wakaa sawa na kugundua mlikuwa mnapoteza mda.
Itakuwa hujui maana ya ustaarabu. Kwa maelezo sahali ustaarabu ni tabia njema, yaani kufanya jambo kwa uzuri. Sasa hapo jihukumu mwenyewe, tena sisi ambao ndiyo tunawasimamia hawa wanawake kwa ujumla ndiyo tunatakiwa haswa tupambike na vazi bora la ustaarabu (Tabia nzuri/njema).Ustaarabu ni hulka ya kike.
Ni sawa sawa leo hii mimi niwapende au nimpende mwanamke kiruka njia.Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Umesha wajaribu wangapi mpaka sasa hivi halafu wakakuangusha kwenye hiyo sector?Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
Mionekano mizuri kuvalia suruale chini ya makalioLabda kwasababu play boys wengi wana mionekano mizuri
hivi huo uhuni wa kuvalia suruali chini ya makalio bado upo?Mionekano mizuri kuvalia suruale chini ya makalio
Uchangamkeje mama, hebu fafanua..au zile care hazitoshi!Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
Yeah upo,hata mwenyewe nimepiga mlege wangu hapahivi huo uhuni wa kuvalia suruali chini ya makalio bado upo?
Nikweli yaan Ukiwa mtulivu huwez wapata.
Madem wanapenda bad boys sanaa yaan sanaaa.
Alafu ukiwa unapiga pisi kalikali yaan wee utakua wa pisi kalikali
Wanakitu fulan mie nakiitaga "Kuonja yaliyomo"