Kwanini wakinadada wanawapenda sana play boys kuliko wastaarabu

Kwanini wakinadada wanawapenda sana play boys kuliko wastaarabu

Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.

Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.

Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
siku ukiwaelewa hao mama zetu ujue unakaribia kufa
 
Mapenzi bwana ni kama yana kapepo flani hivi...

1. Ukiwa huna demu ni ngumu kupata mbunye.

2. Ukiwa na single madha, wasubiri msururu yaani unagusa tuu

3. Ukiwa na mke wa mtu , wasubiri

4. Ukiwa na upepo wa wanafunzi ... Tobaaa

5. Ukiwa na upepo wa wauza mgahawa .... Ujue hawapindui

6. Ukiwa....
7. Ukiwa.....


Na kadhalika
 
Mapenzi bwana ni kama yana kapepo flani hivi...

1. Ukiwa huna demu ni ngumu kupata mbunye.

2. Ukiwa na single madha, wasubiri msururu yaani unagusa tuu

3. Ukiwa na mke wa mtu , wasubiri

4. Ukiwa na upepo wa wanafunzi ... Tobaaa

5. Ukiwa na upepo wa wauza mgahawa .... Ujue hawapindui

6. Ukiwa....
7. Ukiwa.....


Na kadhalika
Very true
 
Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.

Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.

Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Play boys wana tach flav hivi ammaizing ambazo ukiwa na gentlemen ni ngumu kuzipata tena akiwa na pesa Looh. Yaan tuna kazi sana kuchagua moja..hivi viplay boys vnajua tunapenda nn.
 
Play boys wana tach flav hivi ammaizing ambazo ukiwa na gentlemen ni ngumu kuzipata tena akiwa na pesa Looh. Yaan tuna kazi sana kuchagua moja..hivi viplay boys vnajua tunapenda nn.
Vinawatesa sana eti
 
Wanawake wanavutiwa na wanapenda kuzaa na mwanaume mwenye alpha elements. Na mara nyingi hao bad boys ndio wanazo hizo alpha elements.

Mwanaume ukiwa mstaarabu sana wanawake wanakuona dhaifu na unaboa, na hawapendi kuzaa na mwanaume wanaemuona ni dhaifu.

Sema mara nyingi hao wanaume dhaifu(wastaarabu) wanakuwaga ni mababa wazuri Sana, wanajali na wana upendo hata kwa watoto wasiokuwa wao!

Na wanawake wengi wanalifahamu hili na ndio maana wakishazalishwa na hao play boys wanarudi kwa hao wastaarabu(nice guys) kwa ajili ya malezi ya watoto wao.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
📌
 
siku za ujana za mwanamke si nyingi kama ilivyo kwetu sisi wanaume yaani akizaa tu tayari dosari so katika ujana wao wanawake wengi hutamani kuwa na mtu mwenye pilika pilika nyingi ili waweze kuinjoy mengi ya dunia ambayo hawatayaona wakiwa wamevuka hiyo stage, asa kwa mwanaume mstaarabu hivyo vitu havipo so wanaona play boys ndio watu sahihi.
 
Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.

Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.

Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Hawa bad boys wanapendwa sana na wanawake sababu wanaishi maisha ya kufake kwanzia kuvaa,kula,na kunywa hawa wengi hawana malengo ya mafanikio watu kama hawa ata akipata milion 1 inaweza kaishia kweny mavazi na vinywaji matokeo yake huishia kuzalisha wanawake na kuacha na kuacha familia zenye maisha magumu

Tofauti na vijana wastaarabu ambao hawa wao wanaishi maisha ya kawaida hawapendi kuigiza maisha hii ndo sababu hawapendw na wanawake wao ni watu wa malengo ya kupata mafanikio na kuhakikisha familia yake inakuja tuishi maisha mazuri
 
Ndio maana binafsi siwezi kumuonea huruma single mother never kwa sababu ni wajinga na kipindi cha ubinti walikuwa wanajivuna na kudharau nice guys
Unakuta kana vitoto kimwanaume kilichozalisha hakieleweki kimaisha nk.. Sometimes nikimtokea single mom afu aanze kunizungusha huwa napiga chini yaani uzalishwe huko afu uje kunizingua
 
Alafu wakiumizwa utawasikia "wanaume wote hawana maana".

Kumbe kuna mseminari mmoja mpole alimnyanyasa na kumpiga chini akaenda kwa playboy, kisa anajua kukojoza, anajua kuvaa, ana swaga nk.

Ila baadae huwaga wanawakumbukaga hawa wapole umri ukienda au wakipewa mimba na kuachwa,ila ndio hivyo nao wanakuwa tayari kwenye ndoa zao,wanabakia na "ningejua ningejua......ule ulikuwa utoto tu......".
Wewe jamaa na mapenzi wapi na wapi, kacheze masebene ya Wcb
 
Ndio maana binafsi siwezi kumuonea huruma single mother never kwa sababu ni wajinga na kipindi cha ubinti walikuwa wanajivuna na kudharau nice guys
Unakuta kana vitoto kimwanaume kilichozalisha hakieleweki kimaisha nk.. Sometimes nikimtokea single mom afu aanze kunizungusha huwa napiga chini yaani uzalishwe huko afu uje kunizingua
punguza hasira mkuu
 
Back
Top Bottom