Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Duh nacheka huku naogopaa[emoji19] ila wastaarabu nao hawana amsha amsha zile mara umefuma sms hujakaa sawa mdada kampigia[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nacheka huku naogopaa[emoji19] ila wastaarabu nao hawana amsha amsha zile mara umefuma sms hujakaa sawa mdada kampigia[emoji3]
siku ukiwaelewa hao mama zetu ujue unakaribia kufaHivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Very trueMapenzi bwana ni kama yana kapepo flani hivi...
1. Ukiwa huna demu ni ngumu kupata mbunye.
2. Ukiwa na single madha, wasubiri msururu yaani unagusa tuu
3. Ukiwa na mke wa mtu , wasubiri
4. Ukiwa na upepo wa wanafunzi ... Tobaaa
5. Ukiwa na upepo wa wauza mgahawa .... Ujue hawapindui
6. Ukiwa....
7. Ukiwa.....
Na kadhalika
Kweli mkuu, anza kuwa 'bad boy' ule mema ya dunia.Uzi mzuri kuna kitu hapa najifunza
Play boys wana tach flav hivi ammaizing ambazo ukiwa na gentlemen ni ngumu kuzipata tena akiwa na pesa Looh. Yaan tuna kazi sana kuchagua moja..hivi viplay boys vnajua tunapenda nn.Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Walaa mimi najua nnachotaka na nilishakubaligi matokeo...hawa wapaka spray bila kuoga sio level zanguVinawatesa sana eti
📌Wanawake wanavutiwa na wanapenda kuzaa na mwanaume mwenye alpha elements. Na mara nyingi hao bad boys ndio wanazo hizo alpha elements.
Mwanaume ukiwa mstaarabu sana wanawake wanakuona dhaifu na unaboa, na hawapendi kuzaa na mwanaume wanaemuona ni dhaifu.
Sema mara nyingi hao wanaume dhaifu(wastaarabu) wanakuwaga ni mababa wazuri Sana, wanajali na wana upendo hata kwa watoto wasiokuwa wao!
Na wanawake wengi wanalifahamu hili na ndio maana wakishazalishwa na hao play boys wanarudi kwa hao wastaarabu(nice guys) kwa ajili ya malezi ya watoto wao.
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
Wewe umeelewa,ila wengine bado wanabisha.Playboys ni wanaume wanaojua kucheza na akili ya wanawake,anachohitaji yeye ni kumtumia mwanamke kwa kujifurahisha tu,na ndio wanaoongoza katika kuwatenda wanawake hasa teenagers...Duh haya tutajirekebisha mkuu! Maneno yanachoma [emoji849][emoji849]
Kwanza play boy Ana swagger....anajua kucheza na hisia za demu,ku mpa attention....pia wanajua ku break the ice....saa wee upo upo Kama uji wa msibani hauna chumvi Wala sukari.
Hawa bad boys wanapendwa sana na wanawake sababu wanaishi maisha ya kufake kwanzia kuvaa,kula,na kunywa hawa wengi hawana malengo ya mafanikio watu kama hawa ata akipata milion 1 inaweza kaishia kweny mavazi na vinywaji matokeo yake huishia kuzalisha wanawake na kuacha na kuacha familia zenye maisha magumuHivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Wewe jamaa na mapenzi wapi na wapi, kacheze masebene ya WcbAlafu wakiumizwa utawasikia "wanaume wote hawana maana".
Kumbe kuna mseminari mmoja mpole alimnyanyasa na kumpiga chini akaenda kwa playboy, kisa anajua kukojoza, anajua kuvaa, ana swaga nk.
Ila baadae huwaga wanawakumbukaga hawa wapole umri ukienda au wakipewa mimba na kuachwa,ila ndio hivyo nao wanakuwa tayari kwenye ndoa zao,wanabakia na "ningejua ningejua......ule ulikuwa utoto tu......".
punguza hasira mkuuNdio maana binafsi siwezi kumuonea huruma single mother never kwa sababu ni wajinga na kipindi cha ubinti walikuwa wanajivuna na kudharau nice guys
Unakuta kana vitoto kimwanaume kilichozalisha hakieleweki kimaisha nk.. Sometimes nikimtokea single mom afu aanze kunizungusha huwa napiga chini yaani uzalishwe huko afu uje kunizingua