Sawa utaiona usijariComment..ako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa utaiona usijariComment..ako
Ukiwa unakula beki3 kila beki3 utaburuzaMapenzi bwana ni kama yana kapepo flani hivi...
1. Ukiwa huna demu ni ngumu kupata mbunye.
2. Ukiwa na single madha, wasubiri msururu yaani unagusa tuu
3. Ukiwa na mke wa mtu , wasubiri
4. Ukiwa na upepo wa wanafunzi ... Tobaaa
5. Ukiwa na upepo wa wauza mgahawa .... Ujue hawapindui
6. Ukiwa....
7. Ukiwa.....
Na kadhalika
Unge concentrate na shughuli zako usingesema hayaKupigiwa pie/constant,uwe playboy au mtulivu we cha msingi concentrate na shughuli zako.
Ustaarabu ni hulka ya kike.
Unge concentrate na shughuli zako usingesema haya
"Daah kweli dada zangu hamjui mnachokitaka,ila mkishazalishwa na kuachwa ndio akili zina wakaa sawa na kugundua mlikuwa mnapoteza mda."
Kuna jamaa yangu ndo nyota yake iko huko
piga wanzuki chupa mbili mkuu nakuja kulipaAlafu wakiumizwa utawasikia "wanaume wote hawana maana".
Kumbe kuna mseminari mmoja mpole alimnyanyasa na kumpiga chini akaenda kwa playboy, kisa anajua kukojoza, anajua kuvaa, ana swaga nk.
Ila baadae huwaga wanawakumbukaga hawa wapole umri ukienda au wakipewa mimba na kuachwa,ila ndio hivyo nao wanakuwa tayari kwenye ndoa zao,wanabakia na "ningejua ningejua......ule ulikuwa utoto tu......".
wengi wape.Acha kugeneralize mambo wewe unasema wanawake ni wajinga inamaana wote wana date na hao maplayboy?
Exactly, huwa wanazingua harafu wanakimbilia kutafuta huruma. Wanawake wangengua na akili, hakuna mwanamke angeteseka.Ndio maana binafsi siwezi kumuonea huruma single mother never kwa sababu ni wajinga na kipindi cha ubinti walikuwa wanajivuna na kudharau nice guys
Unakuta kana vitoto kimwanaume kilichozalisha hakieleweki kimaisha nk.. Sometimes nikimtokea single mom afu aanze kunizungusha huwa napiga chini yaani uzalishwe huko afu uje kunizingua
umemaliza mkuu, wanawake wanapenda mtu mkorofi na mwanaume mwene tabia za kiume sio kike....alafu haya majitu mastaarabu hayapo romantic kabisa yani na wanawake wanapenda watu romantic
Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Ni kweli mkuu, niliwahi kuwa that good guy yaani mstaarabu usiseme... naongea kwa upole hadi demu anajihisi kukosea kila wakati.
Kumbe nikawa namkera sana demu, ile kujifanya una busara sana hadi kumbato vema unashindwa... papuchi huipigi pigi rafu vile venye inapaswa!!
Kimsingi wanawake wajinga ambao ndio wengi hao ndo wanapenda hao ma playboy masharobaro ambao nao maisha yao ni hovyo hovyo tuu.Jina lenyewe Playboy,
Nawachukia siwapendi Wala sitegemei kuwapenda hata sekunde ni heri nibaki single.
Hata mm sipendi show off wala masifa kwa watu au on public kwa kitu chochote na huwa nakuwa alone mda mwingi yaani typical introvertlive like better male and have an attitude of an alpha binafsi sina muonekano wa kihuni wala sio mtu wa kutembea na mademu au kuongozana basi walikuwa wananiona descent sana, tofauti ilikuwa kile tunachoongea na kufanya tukiwa wawili kilikuwa out of this world I had balls and guts niliwatia sana vidole LRB.
Rafiki yangu mmoja ana upepo na mademu wauza migahawaz wasaidizi au watoto wao since tuko advance. Mpaka sasa ana mademu cafeteria, migahawa ya nje na mamantilie kibao. Huwa sielewi hiiMapenzi bwana ni kama yana kapepo flani hivi...
1. Ukiwa huna demu ni ngumu kupata mbunye.
2. Ukiwa na single madha, wasubiri msururu yaani unagusa tuu
3. Ukiwa na mke wa mtu , wasubiri
4. Ukiwa na upepo wa wanafunzi ... Tobaaa
5. Ukiwa na upepo wa wauza mgahawa .... Ujue hawapindui
6. Ukiwa....
7. Ukiwa.....
Na kadhalika