Kwanini wakinadada wanawapenda sana play boys kuliko wastaarabu

Kwanini wakinadada wanawapenda sana play boys kuliko wastaarabu

Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.

Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.

Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Una maindi nini wakati wewe ni mwanamme wa Dar tena mla chips mashuhuri. Hivi si ni wewe uliyekuja hapa hivi karibuni ukijisifia kuwa bingwa wa kufakamia michips iliyokaangwa na mafuta ya transfomers, umesahau? Jiulize, mwanamke gani anapenda kuwa na mwanamme bwabwa kama wewe? Nenda kamalizie chips zako na ujilambe vidole.
 
Una maindi nini wakati wewe ni mwanamme wa Dar tena mla chips mashuhuri. Hivi si ni wewe uliyekuja hapa hivi karibuni ukijisifia kuwa bingwa wa kufakamia michips iliyokaangwa na mafuta ya transfomers, umesahau? Jiulize, mwanamke gani anapenda kuwa na mwanamme bwabwa kama wewe? Nenda kamalizie chips zako na ujilambe vidole.
Unatafuta bwana
 
Ukijua wanawake wanapenda nini hasa ujie unakaribia kufa wakipatamwenye kubwawanasema utawatoakizazi akipatamwenye ndogowanamuita anakibamia sasaniambie wanataka size gani hayaeleweki hao
 
There's a fun thing abt them that only we women understands it
 
Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.

Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.

Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Mara myingi hii hutokea pale wadada wanaposimuliana kuhusu jamaa fulani, mathalani story zinaweza anzia kuwa jamaa ni mtaalam, ana mashine kubwa, anajua kuitumia mashine yake, jamaa anakula dudu kama anakula mkate wa boflo, jamaa anakufanya, jamaa ni masai ana kifagio asee jamaa anahinga bao moja tu 100k, jamaa anajua kutunza Etc... so mwanamke akisia story kama hiz anataman naye ajaribu ajionee. Akijarb akijionea nae anarud kuwa shuhuda na mwingine anatamani ajarb.

Angalizo.
UKIMWI UPO, CHUKUA TAHADHALI.
 
Back
Top Bottom