Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Hujamuelewa mtoa mada, Wanawake wengi hawawapi hata chembe ya nafasi ya kuwakubalia anyway minaona wako sawa ndo maana wale Wanawake waliotelekezwa na watoto siwaonei huruma hata kidogoGirls like bad man......mtu mbadiii Kama mwaisa,rude boys/thung lovin huwa iko real.we unamchakata demu Kama muimba kwayaaa.....mamaeee mchakatee demu....ulimi sikioni....kidolee kwenye kinyeo....mashinee inazunguka pande zote,unamkunjaa sarakasi zote,ulimi unatembea pande zote....plus ass slapping,fanya unsual sex mzee babaa ndo maana ma Playboy Wana wini sana mademu zenu.
UpuuziUlivyoacha wewe ukajua umeondoka nao?
U nailed it though nobody is near it but I got u from the scratch, Congrats.Women and men are wired differently.
Women hope Men will change, Men hope she won't change.
Na hapo ndo patamu.
Aliyesema wanawake ni Zaidi ya mataahira hakukoseaHuwa tunaogopa huyu mtu mkimya kweli ama ndiyo chini chini mambo yake(dillema).
Ila sijui tu kwa mimi mtu mstaarabu sana aarh anaboa mwisho mnaishiwa stories na anapenda mambo yaende formal formal tuπ Bad boys bana mi nitestπ€
Wa Mambo ya kikubwaUzoefu wa nini malizia
Me too!Kimsingi wanawake wajinga ambao ndio wengi hao ndo wanapenda hao ma playboy masharobaro ambao nao maisha yao ni hovyo hovyo tuu.
Hata mimi wanawake wajinga ambao wanajifanya wasanii sijui wajuaji nk huwa sishoboki nao napenda wastaarabu na watulivu
Nimekupenda mazimaa....@joanah umefikilia kwa upolee kabixa daaah xafiiLabda kwasababu play boys wengi wana mionekano mizuri
Sio wanawake wote, hao ni vichecheIlaa wadada wako sahihi tyuuu.... Sababu haiwekani jitu limepooza mixer kuwaonea aibu wadada...apewe nafasi kilahisi....
Wanawake wanapenda MTU mtundu , hapigiw anacheza, anavaa, vizur mwenye mvuto wa ngonoo....hahahhehe
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Inaonekana huwa una bahati na wanawake hawa vicheche, hebu kutana na wale ladies uone kama hujafurushwa na kata k zako!Ilaa wadada wako sahihi tyuuu.... Sababu haiwekani jitu limepooza mixer kuwaonea aibu wadada...apewe nafasi kilahisi....
Wanawake wanapenda MTU mtundu , hapigiw anacheza, anavaa, vizur mwenye mvuto wa ngonoo....hahahhehe
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu nao ni play girl.....Hivi kwa nini mwanaume akiwa play boy kinadada mnampenda sana? Na akitongoza huwa hamruki? Utakuta mwanaume mstaarabu lakini wanawake wanamkimbia wakati ndo ingebidi wamkimbilie yeye.
Kwanini wanapenda wanaume ambao mara nyingi wanakuwa washakuwa na hata skendo za kutembea na madada madada sana kuliko cool boy ambae mtulivu na asiyependa mambo mengi.
Ukitaka kujua hili hebu chunguza hata hata hapo mtaani kwenu kwa mfano unakuta manzi anamkubali jamaa mifano ya wale jamaa waendesha bodaboda ambao wanakuwa wanapenda sana mademu mademu lakini akitongozwa na jamaa mstaarabu na mwenye stara zake unakuta anamchomolea.
Kha!kha!Ustaarabu ni hulka ya kike.
Wewe umenena.Wanawake akili zao wanazijua wenyewe
Ooh!!!, Kumbe?.Wastaarabu wengine wanakuwaga wakimya(wapole mpaka wanaboa. Mwanaume hata kama ni mpole mstaarabu ila kwenye hiyo sector inatakiwa uchangamke.
πππUstaarabu ni hulka ya kike.
Lakini mzee pamoja na hayo hutakiwii kuzidishaa caca mikata K.....unatakiwa uwe mtanashatiii tyuuu... Mara kujiongeza hawachomokiii mkuuuu hata haoInaonekana huwa una bahati na wanawake hawa vicheche, hebu kutana na wale ladies uone kama hujafurushwa na kata k zako!
Ni kweli ila kwa hao ladies lazima uwe na pigo za kipapaa na si kuhuni huni, hata hawafagilii wahuni. Na hawa wengi wao huwa wa kishua so hawadanganyiki na ubishoo.Lakini mzee pamoja na hayo hutakiwii kuzidishaa caca mikata K.....unatakiwa uwe mtanashatiii tyuuu... Mara kujiongeza hawachomokiii mkuuuu hata hao
#ladies....*
NA NDIO MAANA KUOA SINGO MAZA NI MTIHANI, NI RISK KUBWA. PLAYBOY ATAKUWA ANAKUJA KUSALIMIA MTOTO NA KUCHEZA NA MKEOHalafu play boy akishawapachika mimba wanaanza kuwatafuta wanaume wastaarabu wawaoe. Wanawake ni wajinga Sana