Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Nimweka picha hapo huoni🤣🤣🤣hata Ndungai mbona kaenda au unatakaje? Bisha kama izo picha ni za uongo.
Weka andiko kijana

Jiwe linabusiwa na andiko lipo linafuta dhambi

...bin Ubaid bin Umair that a man said: "O Abu abdur-Rahman, why do I only see you touching these two corners?" He said: "I heard the Messenger of Allah say: 'Touching them erases sins.' And I head him say: 'whoever circumambulates seven times, it is like freeing a slave.'" Sunan an-Nasa'i 2919
 
Nimweka picha hapo huoni🤣🤣🤣hata Ndungai mbona kaenda au unatakaje? Bisha kama izo picha ni za uongo.
Wakristo hakuna andiko la kubusu ukuta wala hakuna andiko la kubusu msalaba

Waislamu kubusu , kusujudia na kuli piga denda jiwe ni ibada na ni amri ya Allah , jiwe siku ya mwisho litakuwa na macho na mdomo na litaongea walioliabudu kwa moyo wa kweli
 
Weka andiko kijana

Jiwe linabusiwa na andiko lipo linafuta dhambi

...bin Ubaid bin Umair that a man said: "O Abu abdur-Rahman, why do I only see you touching these two corners?" He said: "I heard the Messenger of Allah say: 'Touching them erases sins.' And I head him say: 'whoever circumambulates seven times, it is like freeing a slave.'" Sunan an-Nasa'i 2919
Unaelew maana ya kukiss ? Haswa kama sehemu ni holy ?

Wakristo mna kiss misalaba.

Wakristo mna kiss sanamu ya yesu na maria.

Wakristo hawa viongozi wa juu Wana kiss each other .

Wakristo Wana kiss wall of Jericho in Israel.

Hapo chini mkienda tembelea hilo kanisa Kuna baadhi ya michoro ya kale mnakiss👇👇

Screenshot_20230115-133506.png



Mbona hushangai mtu akimkiss mama ake au mpenzi wake?

Kuna kiss la upendo.

Kiss la peace and justice.

Tafuta uhalali wa Kaaba kwanza sio unasema kukiss ndo nn? Swali lako huwezi kuelezewa hata Qur an kwa vile ni holy na inamaanisha dini ya amani na upendo tunakiss kama watu huru.
 
Unaelew maana ya kukiss ? Haswa kama sehemu ni holy ?

Wakristo mna kiss misalaba.

Wakristo mna kiss sanamu ya yesu na maria.

Wakristo hawa viongozi wa juu Wana kiss each other .

Wakristo Wana kiss wall of Jericho in Israel.

Hapo chini mkienda tembelea hilo kanisa Kuna baadhi ya michoro ya kale mnakiss👇👇

View attachment 2482113


Mbona hushangai mtu akimkiss mama ake au mpenzi wake?

Kuna kiss la upendo.

Kiss la peace and justice.

Tafuta uhalali wa Kaaba kwanza sio unasema kukiss ndo nn? Swali lako huwezi kuelezewa hata Qur an kwa vile ni holy na inamaanisha dini ya amani na upendo tunakiss kama watu huru.
Kijana jiwe la macca ni ibada na mnalisujudia na linamaana kulibusu Allah kaweka wazi , hao wakristo wanaobusu wanafanyia nje ya maandiko ni uamuzi wao na hauma impact kwenye Imani

Tofauti na jiwe litakalo hukumu siku ya mwisho
 
Hujui maana ya kuabudu nenda darasani kajifunze kwanza ,hakuna anyejali kuhusu nyota na mwezi na wala vitu hivyo havipo katika dini bali watu wameamua kuweka tu kama identify na pambo .

Mtu akivaa saaa au kofia basi ndio anabudu hivyo ? Au akipaka ndani kwake rangi nyeupe nasi ndio anaabudu hiyo ?

Kajifunze maana ya kuabudu kabla ya kukomenti na kudhihirisha ujinga wako hapo..
Mzee mrema hakuacha kuvaa barakashia ,, mpk anakufa nayo...

Huyo Jamaa hajui nyota na mwezi ni Nini na Wala hajui maana ya kuabudu
 
Kijana jiwe la macca ni ibada na mnalisujudia na linamaana kulibusu Allah kaweka wazi , hao wakristo wanaobusu wanafanyia nje ya maandiko ni uamuzi wao na hauma impact kwenye Imani

Tofauti na jiwe litakalo hukumu siku ya mwisho
pope-francis-kisses-holy-bible-during-he-has-presides-over-a-solemn-easter-vigil-ceremony-in.jpg
OSS118-317_2018_113410_hd.jpg
pope-francis-kisses-the-cross-during-the-celebration-of-the-passion-of-the-lord-on-good-friday...jpg




Kiufupi hujui chochote 😂😂

Wenzio wanaenda Israel kwenda kukiss ule ukuta na huko ndo kweny dini yenu...pia hujui.

Endelea kuchunga Ng'ombe Masai😂😂
 
View attachment 2482119View attachment 2482120View attachment 2482121



Kiufupi hujui chochote 😂😂

Wenzio wanaenda Israel kwenda kukiss ule ukuta na huko ndo kweny dini yenu...pia hujui.

Endelea kuchunga Ng'ombe Masai😂😂
Maandiko ndio Cha muhimu, ao wanaubusu ni wamejitungia tu hakuna andiko na hakuna Cha maana utakachopata ukibusu msalaba au ukuta

Ila kubusu jiwe kwa waislamu Kuna maana na ni ibada Yani ukibusu jiwe dhambi zako zote zinakuwa zimefutwa na jiwe na pia jiwe litahukumu siku ya mwisho

Andiko la waislamu kuhusu jiwe
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
 
Wenzio wanaenda Israel kwenda kukiss ule ukuta na huko ndo kweny dini yenu...pia hujui.
Niwekee andiko kama hili la ukuta ,

Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
 
Maandiko ndio Cha muhimu, ao wanaubusu ni wamejitungia tu hakuna andiko na hakuna Cha maana utakachopata ukibusu msalaba au ukuta

Ila kubusu jiwe kwa waislamu Kuna maana na ni ibada Yani ukibusu jiwe dhambi zako zote zinakuwa zimefutwa na jiwe na pia jiwe litahukumu siku ya mwisho

Andiko la waislamu kuhusu jiwe
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Hamna hilo andiko sio kaabah iyo😂😂😂punguza uongo ile ni nyumba tangu enzi za nabii suleiman
 
Maandiko ndio Cha muhimu, ao wanaubusu ni wamejitungia tu hakuna andiko na hakuna Cha maana utakachopata ukibusu msalaba au ukuta

Ila kubusu jiwe kwa waislamu Kuna maana na ni ibada Yani ukibusu jiwe dhambi zako zote zinakuwa zimefutwa na jiwe na pia jiwe litahukumu siku ya mwisho

Andiko la waislamu kuhusu jiwe
Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allah, Allah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Narrated by al-Tirmidhi, 961; Ibn Maajah, 2944
Kwa hyo kubusu msalaba ,kumkiss pope ,kubuss bible vyote ni dhambi?
 
Kwa hyo kubusu msalaba ,kumkiss pope ,kubuss bible vyote ni dhambi?
Sio dhambi ,ila havina umuhimu wowote kwenye Imani , Yani havikusaidii chochote

Ila jiwe la macca linafuta dhambi ukilibusu , ndio ujue ile ni ibada ya jiwe
 
Sio dhambi ,ila havina umuhimu wowote kwenye Imani , Yani havikusaidii chochote

Ila jiwe la macca linafuta dhambi ukilibusu , ndio ujue ile ni ibada ya jiwe
Lile lipo tangu enzi za nabii Ibrahim.. Ni holy stone sio la muhamad limelindwa vizazi na vizazi.
 
Lile lipo tangu enzi za nabii Suleiman.. Ni holy stone sio la muhamad limelindwa vizazi na vizazi.
Na Lina maandiko kabisa kwamba linafuta dhambi

Ndio maana nimekwambia kwa wakristo hakuna andiko la kubusu msalaba wala kubusu ukuta na hakuna faida utakayopata ukivibusu
 
Lile lipo tangu enzi za nabii Suleiman.. Ni holy stone sio la muhamad limelindwa vizazi na vizazi.
  • Sanamu jiwe unalolisujudi kila siku lisome kazi zake, kALIGUSE jiwe likusamehe dhambi 😂😂😂
  • Jiwe jeusi lina fyonza dhambiza waislamu
    • Ibn Abbas alisisitiza kwamba: Muhammad alisema: "Jiwe jeusi liliteremka kutoka Peponi, na lilikuwa jeupe zaidi kuliko maziwa, kisha likatiwa weusi na dhambi za watoto wa Adamu. Jami` at-Tirmidhi 877
  • Jiwe jeusi kutoa hukumu siku ya mwisho
    • Imesimuliwa kwamba Ibn 'Abbaas alisema: Muhammad alisema juu ya Jiwe: "Na Allaah, Allaah Atalileta jiwe hiyo Siku ya Kiyama, na jiwe litakuwa na macho mawili na ambayo yanaona na mdomo ambao utaongea , na jiwe litashuhudia kwa wale walioigusa kwa moyo wa kweli. "Jami` at-Tirmidhi 961
  • Jiwe linafuta dhambi likiguswa kwa moyo wa kweli
    • Imesimuliwa kutoka kwa Abdullah bin Ubaid bin Umair kwamba: "Ewe Abu abdur-Rahman, kwanini nikuone tu ukigusa hizi pembe mbili?" Alisema: "Muhammad alisema: Kuzigusa zinafuta dhambi." Sunan an-Nasa'i 2919
 
Na Lina maandiko kabisa kwamba linafuta dhambi

Ndio maana nimekwambia kwa wakristo hakuna andiko la kubusu msalaba wala kubusu ukuta na hakuna faida utakayopata ukivibusu
😂😂Tatizo lako ushamba lipo ndio andiko ..
Unachotakiwa sema upewa uhalali wa Al kaabah.

Kukiss mbona hata wapenzi wanakiss ni ishara ya amani na upendo...Haina athari kwa namna yeyote ndo maana huwezi kumkiss adui wako.
 
Lile lipo tangu enzi za nabii Suleiman..
Kwamba ni mojawapo ya masanamu yaliyotengenezwa ma majini kipindi Cha muislamu selemani?

Koran 34:13. Hao majini wakifanya atakacho Suleiman, kama misikiti kwa ajili ya ibada, na masanamu,....
 
😂😂Tatizo lako ushamba lipo ndio andiko ..
Unachotakiwa sema upewa uhalali wa Al kaabah.

Kukiss mbona hata wapenzi wanakiss ni ishara ya amani na upendo...Haina athari kwa namna yeyote ndo maana huwezi kumkiss adui wako.
Jiwe lina athari na linakuwa Shahid siku ya mwisho na linafyonza dhambi
 
Huyo ndo Santander ameaminishwa katika vichwa vya watu akija watadhani ndo Jesus mwenyew basi wataanza kumuabudu na atakuwa na miujiza.Sema atawaantamiza wengi.
 
Kukiss mbona hata wapenzi wanakiss ni ishara ya amani na upendo...Haina athari kwa namna yeyote ndo maana huwezi kumkiss adui wako.
Jiwe ni tofauti , unaua ,unabaka , ukienda akalibusu au kulipungia tu dhambi zako zinafyonzwa na jiwe na Allah anasema lilikuwa jeupe ila dhambi inazozifyonza inalifanya linakuwa jeusi
 
Back
Top Bottom