Kwanini Wakristo mnamkosea Yesu heshima mnapomchora

Jiwe jeusi ni Yakuti nyeupe katika yakuti za Peponi,na kwa hakika limekuwa jeusi kwa makosa ya washirikina.Litaletwa siku ya kiyama (kwa) mfano wa mtu lishuhudie kwa kila aliyellishika na kulibusu katika watu wa Dunia."
Kwa hiyo Muislamu hatakiwi kuambatanisha Utukufu wa Allah na jiwe hilo.
Γ‚ 'Umar ibnul-Khatwaab .


Wewe unampinga muhammad aliesema siku ya mwisho litaongea ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe unampinga muhammad aliesema siku ya mwisho litaongea ? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Jiwe jeusi ni Yakuti nyeupe katika yakuti za Peponi,na kwa hakika limekuwa jeusi kwa makosa ya washirikina.Litaletwa siku ya kiyama (kwa) mfano wa mtu lishuhudie kwa kila aliyellishika na kulibusu katika watu wa Dunia."
Kwa hiyo Muislamu hatakiwi kuambatanisha Utukufu wa Allaah .
 
Halina manufaaa kwa vile sio lazima ?
Yani wewe umekuwa mbora kuliko muhammad aliesema litaongea na litasema walioenda kuligusa kwa moyo wa unyenyekevu na kulitii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Bora ku debate na Kisai huwa akiambiwa jambo la waislamu hapingi anakazana nalo mpaka Jua kuzama matopeni alisema ni kweli na Allah ndie kasema
 
Jiwe linalotembelewa na linalo sujudiwa kuelekea lilipo kila siku mara Tano
Wewe unakuja kusema halina maana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ karibu kwa Yesu
Jiwe lip wakati ile ni kaabah kwa ujumla tangu enzi za SuleimanπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Nikileta ukuta wa Israel unaktaa oh haijasemwa na bible...Jaribu kuquote kweny qur an
 
Kwenda kuhij sio lazima ni kwa aliye kuwa na uwezo.
Hija imefaradhishwa kwa Waislamu wenye uwezo wa kusafiri na kugharimia safari na masurufu, mara moja katika maisha yao. Mwenye uwezo wa kuhiji, akaacha makusudi kuhiji si Muislamu japo ataendelea kujiita Muislamu na watu wataendelea kumuita hivyo, kwani Allah (s.w) .

Jinsi gani mtu atasamehewa dhambi akitokea hijaπŸ‘‡πŸ‘‡

Abu Hurairah (r.a) amesimulia kuwa Mtume wa Allah amesema: β€œAtakayefunga safari ya Hija kwa ajili ya Allah bila kuongea maneno maovu na kufanya vitendo viovu, atarudi (akiwa huru na dhambi) kama siku ile aliyozaliwa na mama yake. ” (Bukhari na Muslim).

Kwamba ukiachana kufanya vitendo vya dhambi ndo utakuwa hauna dhambi.




Uliyotaja ni manufaa ya jiwe au sio manufaa ?
 
Nikileta ukuta wa Israel unaktaa
Ukuta hakuna andiko lolote la wakristo likiwataka wakabusu ukuta , na pia hakuna andiko lolote likitaka wabusu msalaba na wala hakuna andiko lolote lililotoa manufaa ya kufanya jambo hilo
 
Kwenda kuhij sio lazima ni kwa aliye kuwa na uwezo.
Wenye uwezo ndio dhambi zao zinafutwa kwa safari ya hija , jiwe lina erase dhambi ukilibusi tu au ukilipungia

Ndio maana nimekwambia jiwe ni ibada
 
.Litaletwa siku ya kiyama (kwa) mfano wa mtu lishuhudie kwa kila aliyellishika na kulibusu katika watu wa Dunia."
Ujibu kwa Nini Umar alikuwa anapinga manufaa ya jiwe na kusema halinufaishi?

Umar alikuwa na akili alijua ibada ya jiwe muhammad kaichomeka tu ili awapate waarabu walio kuwa wanaabudu jiwe

Walikuwa wanapita uchi kwa sasa mmeboresha hamvai nguo za ndani
 
Alifungua ni mkristo sio muislamu leta picha tuone kama upo analazimisha kweny dini yetu wala hayupo na alishakanywa.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wakristo Wana force tufanane kwanza hamna imam mwanamke.
 
Yeye ndo kamsikia nmekupa majibu kutokana na hadithi naona unarudi pale pale πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…