Kabisaaa......jamii nying za kiislam Ni za Hali ya chini SanaUsemacho ni kweli .Na Tofauti ya wakristo na hao wengine ambao si wakristo ni moja Tu Nayo ni hii...
Yaani nikisoma mtu kaandika mambo yanayofaa Watanzania kwa dini na kabila napandwa hasira sana.Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo...
HaHA HahAhHAhAhA hiki ni kijiwe Cha gahwa sheikh, karibu tunywe. Utamu wa kahawa ni uchungu wakeYaani nikisoma mtu kaandika mambo yanayofaa Watanzania kwa dini na kabila napandwa hasira sana.
DuhHapana,Nina I'd moja tu..hata mm nilistuka siku moja baada ya kukutana na hiyo I'd inayofanana na mm
Punguani kweli wewe, nikutajie list ya wakristo matajiri Dunia ulinganishe na hao waislam?Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo...
UTAJIRI WA LOWASSA NI KIASI GANI?Punguani kweli wewe, nikutajie list ya wakristo matajiri Dunia ulinganishe na hao waislam?
1. King Solomon-YAHUDI
2.Daud-YAHUDI
3.Ayoub-YAHUDI
4.Elon mask-PAGANI
5.Billgate-PAGANI
6.Markzugaberg- YAHUDI
7.Mengi
8.Lowasa.
9.King Musukuma
10.Mizengo pinda na wengine wamejaa mtaani tele ila hawatakagi show off.
Ukizingumzia Dar matajiri wakazi wengi wa Posta, Upanga, Kariakoo, Ilala, Masaki, Oysterbay nakadhalika ni waislamu.Haja ya Wakristo wote ni kuuona Ufalme wa Mungu, sasa kama Biblia imetuambia ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko TAJIRI kuuona Ufalme wa Mungu, wewe unategemea nani anapenda kuwa "Tajiri"? that is not so necessary but the truth is:
Gap kati ya TAJIRI na Maskini ni kubwa zaidi kwa hizo dini nyingine ulizo mention ukilinganisha na Wakristo, kama huamini angalia hapa Tanzania, maeneo ambayo wakazi wake majority ni Wakristo nenda ukalinganishe na maeneo ambayo majority ni Waislam, nenda Lindi na Pwani vijijini uangalie maisha wanayoishi, halafu nenda ukalinganishe na maisha wanayoishi kule Bukoba, au Moshi au Mbeya utapata jibu kwamba ni bora kwenye population majority wakaishi maisha ya wastani, kuliko kuwa na Matajiri wakubwa top 10 halafu common wananchi wote majority wanaishi kwenye vibanda na nyumba za nyasi.
Hata hapo Dar es Salaam, fanya utafiti wakazi wengi wa Buguruni, Temeke na Mbagala, halafu nenda ukalinganishe na wakazi wa Tabata, Mbezi na Kimara utapata majibu yako!
Wapo kwenye orodha ya matajiri Tanzania na Africa? Wanafanya biashara gani au ndo hizi za kuwakamua masikini wakristo wanaopeleka sadaka kwa kuamini miujiza ya mafanikio badala ya kufanya kazi?Nabii Joshua, Gwagima, Kakobe, Mwingira na wengine wengi sio matajiri? Fanya urafiti wa kutosha, wakristu ndio matajiri wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo kwenye orodha ya matajiri Tanzania na Africa mashariki?Inaonekana hawajui kina Hans Macha na Ernest Massawe
Walikimbilia Elimu ya Mzungu,the white collar job kazi za kinyonyaji na za kimasikini, low wages to ensure retainment of labour powerKwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Wakristo Pesa wanapeleka kwa Wachungaji,Wachungaji wanatajirika kupitia kwenye migongo ya WauminiAkili mtu wangu akili.
Wakristo wameharibiwa akili..yaani wanachezewa akili kwa kuaminishwa vitu vya uongo. Mfano wanaamini kuwa kila kitu hupangwa na Mungu.
Pili wanaamini zaidi KATIKA miujiza.
3 Hata kile kidogo wanachopata wanaenda kukigawa kanisani kama sadaka, kikumi n.k
Misadaka mingi na matoleo inatufilisi, hao wengine hawanyonyaniKwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.
Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.
Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.
Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.
Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.
Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?
Ni wapi wanapokosea?
Mungu anampenda yule anayetoa kwa moyo wake woteMisadaka mingi na matoleo inatufilisi, hao wengine hawanyonyani
Joke
swadaktaungezungumzia kwa situation ya Bongo hapo sawa
kwa Tz ni kweli na hao waislam ni wale wenye asili ya Kiasia tu na sababu kubwa hawa jamaa bado wana principle za kikoloni katika kutafuta mali wao wakiwa wanatafuta wanaenda sehem zenye masikini wa kutupwa na kujijengea himaya yao kwa kuwanyonya na kuwatumikisha wazawa na wakishachuma wanahamia Dar, Mwanza na Arusha kuendelea kuwatumikisha Masikini kwenye viwanda vyao kwa ujira mdogo huku nyuma ya pazia wakitoa misaada na kulisha masikini .
Kwa hiyo Wachungaji ni matajiri sana? Wana assets na investments gani?Wakristo Pesa wanapeleka kwa Wachungaji,Wachungaji wanatajirika kupitia kwenye migongo ya Waumini
Lakini kiwano cha umasikini kwenye kaya za Waislam ni kikubwa zaidi, kwanini?Walikimbilia Elimu ya Mzungu,the white collar job kazi za kinyonyaji na za kimasikini, low wages to ensure retainment of labour power
Hivi unapozungumzia tajiri mkristo unamaanisha nini? Mfano kwenye list ya matajiri 10 duniani nani kasema yeye mkristo au muislamu?Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo...