Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo...
Punguani kweli wewe, nikutajie list ya wakristo matajiri Dunia ulinganishe na hao waislam?
1. King Solomon
2.Daud
3.Ayoub
4.Elon mask
5.Billgate
6.Markzugaberg
7.Mengi
8.Lowasa.
9.King Musukuma
10.Mizengo pinda na wengine wamejaa mtaani tele ila hawatakagi show off.
 
Punguani kweli wewe, nikutajie list ya wakristo matajiri Dunia ulinganishe na hao waislam?
1. King Solomon-YAHUDI
2.Daud-YAHUDI
3.Ayoub-YAHUDI
4.Elon mask-PAGANI
5.Billgate-PAGANI
6.Markzugaberg- YAHUDI
7.Mengi
8.Lowasa.
9.King Musukuma
10.Mizengo pinda na wengine wamejaa mtaani tele ila hawatakagi show off.
UTAJIRI WA LOWASSA NI KIASI GANI?
UTAJIRI WA MUSUKUMA NI KIASI GANI?
JE TUNAWEZA KUPATA TAARIFA ZAO ZA KIFEDHA? KINA SULEIMAN SIO WAKRISTO NI MAYAHUDI
 
Haja ya Wakristo wote ni kuuona Ufalme wa Mungu, sasa kama Biblia imetuambia ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko TAJIRI kuuona Ufalme wa Mungu, wewe unategemea nani anapenda kuwa "Tajiri"? that is not so necessary but the truth is:

Gap kati ya TAJIRI na Maskini ni kubwa zaidi kwa hizo dini nyingine ulizo mention ukilinganisha na Wakristo, kama huamini angalia hapa Tanzania, maeneo ambayo wakazi wake majority ni Wakristo nenda ukalinganishe na maeneo ambayo majority ni Waislam, nenda Lindi na Pwani vijijini uangalie maisha wanayoishi, halafu nenda ukalinganishe na maisha wanayoishi kule Bukoba, au Moshi au Mbeya utapata jibu kwamba ni bora kwenye population majority wakaishi maisha ya wastani, kuliko kuwa na Matajiri wakubwa top 10 halafu common wananchi wote majority wanaishi kwenye vibanda na nyumba za nyasi.
Hata hapo Dar es Salaam, fanya utafiti wakazi wengi wa Buguruni, Temeke na Mbagala, halafu nenda ukalinganishe na wakazi wa Tabata, Mbezi na Kimara utapata majibu yako!
Ukizingumzia Dar matajiri wakazi wengi wa Posta, Upanga, Kariakoo, Ilala, Masaki, Oysterbay nakadhalika ni waislamu.

Na maeneo haya kwa Dar ndo upper residential area.
 
Nabii Joshua, Gwagima, Kakobe, Mwingira na wengine wengi sio matajiri? Fanya urafiti wa kutosha, wakristu ndio matajiri wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapo kwenye orodha ya matajiri Tanzania na Africa? Wanafanya biashara gani au ndo hizi za kuwakamua masikini wakristo wanaopeleka sadaka kwa kuamini miujiza ya mafanikio badala ya kufanya kazi?
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.

Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.

Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.

Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.

Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.

Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?

Ni wapi wanapokosea?
Walikimbilia Elimu ya Mzungu,the white collar job kazi za kinyonyaji na za kimasikini, low wages to ensure retainment of labour power
 
Akili mtu wangu akili.

Wakristo wameharibiwa akili..yaani wanachezewa akili kwa kuaminishwa vitu vya uongo. Mfano wanaamini kuwa kila kitu hupangwa na Mungu.

Pili wanaamini zaidi KATIKA miujiza.

3 Hata kile kidogo wanachopata wanaenda kukigawa kanisani kama sadaka, kikumi n.k
Wakristo Pesa wanapeleka kwa Wachungaji,Wachungaji wanatajirika kupitia kwenye migongo ya Waumini
 
ungezungumzia kwa situation ya Bongo hapo sawa

kwa Tz ni kweli na hao waislam ni wale wenye asili ya Kiasia tu na sababu kubwa hawa jamaa bado wana principle za kikoloni katika kutafuta mali wao wakiwa wanatafuta wanaenda sehem zenye masikini wa kutupwa na kujijengea himaya yao kwa kuwanyonya na kuwatumikisha wazawa na wakishachuma wanahamia Dar, Mwanza na Arusha kuendelea kuwatumikisha Masikini kwenye viwanda vyao kwa ujira mdogo huku nyuma ya pazia wakitoa misaada na kulisha masikini .
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.

Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.

Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.

Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.

Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.

Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?

Ni wapi wanapokosea?
Misadaka mingi na matoleo inatufilisi, hao wengine hawanyonyani

Joke
 
ungezungumzia kwa situation ya Bongo hapo sawa

kwa Tz ni kweli na hao waislam ni wale wenye asili ya Kiasia tu na sababu kubwa hawa jamaa bado wana principle za kikoloni katika kutafuta mali wao wakiwa wanatafuta wanaenda sehem zenye masikini wa kutupwa na kujijengea himaya yao kwa kuwanyonya na kuwatumikisha wazawa na wakishachuma wanahamia Dar, Mwanza na Arusha kuendelea kuwatumikisha Masikini kwenye viwanda vyao kwa ujira mdogo huku nyuma ya pazia wakitoa misaada na kulisha masikini .
swadakta
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo...
Hivi unapozungumzia tajiri mkristo unamaanisha nini? Mfano kwenye list ya matajiri 10 duniani nani kasema yeye mkristo au muislamu?

Ukija Tanzania watu matajiri wana rangi gani? Na wana historia ipi? Je, ni matajiri kwa sababu ni waislam au kwa sababu wanatoka tabaka fulani? Ukienda Afrika kusini matajiri wanatoka matabaka yapi?

Nadhani swali lingekuwa kwanini Waafrika wengi weusi si matajiri?
 
Back
Top Bottom