Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Wakristo pesa zao nyingi zinatokana na kuajiriwa kutokana na Elimu(kusoma SHULENI),
Waislam wengi wamejiajiri
 
Hata huyo Reginald hakuwa mkristo, alikuwa anaigiza tu ukristo.

Tutakuwaje matajiri na tunachopata wanataka turejeshe asilimia kumi, na nyingine tujenge ma synagogue na nyingine tunawapa kwenda kuwahonga michepuko yao
 
Kauze mali zako zote kisha unifuate mm ndio inatuponza
 
Matajiri wengi waliona shule zin gewapotezea muda,wakristo wengi wanaamini zaidi katika elimu kuliko biashara.wengi wameajiriwa katika sekta rasmi kutokana na vyeti vyao
Huwezi kuwa bilionea kwa kuajiriwa
Naunga mkono hoja
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.

Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.

Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.

Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.

Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.

Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?

Ni wapi wanapokosea?
Bulldozer

Gwajuboy
 
Utajiri unahusisha sana ukatili na ushirikina wa hali ya juu sana. Wakristo huwa na roho flani ya Kiungu isiyohusisha matokeo makubwa. Huamini katika kufanya kazi halali ili wapate kipato halali na wanafanya kazi kweli. Ndio maana ukiangalia mikoa walio wakristo wengi kiwango cha umaskini si sawa na mikoa yenye waislam wengi. Wakristo wanaamini sana katika elimu... angalia jamii za waislam na wakristo utaiona tofauti yao.

Wakriso hawawezi kufuga majini. HAWAWEZI
 
Mfano hapa Tanzania, matajiri wengi ni waisilamu, na hata mahindi pia yana hela
 
wakristo wanahela ila wapo kwenye jamii ya wenye hela ndio maana hawa wenzetu wakiwa na hela lazma ajulikane kwakua jamii zao zimejaa ufukara mkubwa wakutisha
 
Nakumbuka miaka hiyo nipo kwenye kazi hizi za C&F kuna mteja wetu mmoja alikuja kutoa gari yake bandari ya hapa kupeleka Rwanda , yeye alikuwa ni Msudani (Khartoum) lkn alikuwa anaishi Rwanda kikazi

Mie nilikuwa kama mkalimani ktk kumtembeza mjini na kufatilia mambo ya kutoa gari yake na ndo nimetoka toka tu shule bado lugha haijasahaulika haha,
Nakumbuka tulijikuta tunazungumzia mambo ya dini kwa mazingira ya hapa nchini, mie nikamumbia Waislam wengi hawajapata elimu kama wenzao wa imani ya Ukristo na mwishoe Waislam wengi wao wamekuwa na maisha duni sababu hawana ajira rasmi, alichonijibu naona kina mahusiano na hii mada

Akasema hilo la kukosa elimu upande mmoja ni tatizo lakini upande mwingine litafanya jamii ya Kiislam kuingia kwenye sekta ambazo sio rasmi na kwenye biashara kwa wingi na mapema, na baadhi yao watafanikiwa huko kwenye biashara zao na hata kwenye hizo ajira ambazo sio rasmi, na wao ndo watakaofanikiwa zaidi kwenye biashara , na pia watakaofanikiwa wanaweza baadae kuwapa elimu nzuri watoto wao ktk shule nzuri za ndani na nje ya nchi , ni miaka kama 17 toka aniambie kauli hii haikuwa na mashiko kwangu kipindi hicho lkn ina uhalisia pia ambao upo wazi japo kwa asilimia fulani
 
Mimi ni muislamu lakini sikubaliani na wewe.

Mwarabu tajiri kuliko wote ni Mkiristo, jina lake anaitwa Nasseff Sawiris ni raia wa Misri. U ca google him

Unamfahamu Prince Al-Waleed Bin Talaal?..
Na pia Je, unafahamu kuwa Carlos Slim ni mwarabu mwenye asili ya Lebanon ambaye walihamia Mexico miaka mingi iliyopita?
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.

Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.

Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.

Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.

Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.

Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?

Ni wapi wanapokosea?
Tuko bize kuutafuta Ufalme wa mbinguni.Tunajitajirisha kwa Mungu zaidi.
 
Usemacho ni kweli .Na Tofauti ya wakristo na hao wengine ambao si wakristo ni moja Tu Nayo ni hii;

Wakristo walio wengi Wana uchumi mzuri (kipato cha Kati na cha juu)...inclusive economy..Kwa lugha niyingine,sehemu yenye wakristo wengi wanaweza wasiwe matajiri Sana lkn pia wanakuwa Wana maisha mazuri ya kupata three basic needs,food, clothes and shelter bila shida

Hao wengine ambao siyo wakristo anaweza kujitokeza mmoja au hata kumi wakawa matajiri wa kutisha lkn the rest wakawa walala Hoi wa kutupwa(masikini mbwa)..Hiyo ndy tofauti
Mkuu unafaa sana kumuuguza mgonjwa,unajua sana kufariji watu.
 
Back
Top Bottom