Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Kwanini Wakristo sio wafanyabiashara wakubwa na matajiri?

Usemacho ni kweli .Na Tofauti ya wakristo na hao wengine ambao si wakristo ni moja Tu Nayo ni hii;

Wakristo walio wengi Wana uchumi mzuri (kipato cha Kati na cha juu)...inclusive economy..Kwa lugha niyingine,sehemu yenye wakristo wengi wanaweza easier matajiri Sana lkn pia wanakuwa Wana maisha mazuri ya kupata three basic needs,food, clothes and shelter bila shida

Hao wengine ambao siyo wakristo anaweza kujitokeza mmoja au hata kumi wakawa matajiri wa kutisha lkn the rest wakawa walala Hoi wa kutupwa(masikini mbwa)..Hiyo ndy tofauti
Chukiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Kaka mkubwa with all due respect hawa matajiri makubwa ni mabinafsi na machoyo sana na ndio yaliyotajwa kwenye Bible kuwa ni rahisi kwa ngamia kupenya tundu la sindano kuliko wao kuurithi ufalme wa Mungu
Haya matajari makubwa hayatengezi network ya wengi wapate hivyo hujikusanyia mpaka kile cha fukara wa mwisho
Hawa wengine wasioingia kwenye network ya ukwasi wa dunia wana utajiri wa mtandao kuanzia familia, ndugu mpaka watu baki na ndio furaha yao kuona 'wote tunapata'!

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Asante sana kaka.
Hapa mtaani kwetu Kuna Mzee ana sukari Kali sana, kakatwa miguu tote, katolewa na jicho. Anauza Mali zake zote. Mpaka sasa ameuza nyumba 19, anasema hataki mtoto wake arithi hata kijiko kwani maagano aliyoyaingia hataki yawatese wanawe
 
😂 haya anza kufanya sensa hapo mtaan kwenu... Kati ya wakristo na waislam nan wana maisha mazuri...? Ni sawa ujivunie utajiri wa mume wa dada zako wakat ukoo wenu wote masikini, hivyo ndivyo unamaanisha Billionaire wa Tz wengi waislam ila waislam wengi ni masikin wa kutupwa wanalala misikitini wakicheza karata bao na kunywa alkasus huku wakisubiri kupewa mikate na matajiri...
 
Haja ya Wakristo wote ni kuuona Ufalme wa Mungu, sasa kama Biblia imetuambia ni rahisi kwa ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko TAJIRI kuuona Ufalme wa Mungu, wewe unategemea nani anapenda kuwa "Tajiri"? that is not so necessary but the truth is:

Gap kati ya TAJIRI na Maskini ni kubwa zaidi kwa hizo dini nyingine ulizo mention ukilinganisha na Wakristo, kama huamini angalia hapa Tanzania, maeneo ambayo wakazi wake majority ni Wakristo nenda ukalinganishe na maeneo ambayo majority ni Waislam, nenda Lindi na Pwani vijijini uangalie maisha wanayoishi, halafu nenda ukalinganishe na maisha wanayoishi kule Bukoba, au Moshi au Mbeya utapata jibu kwamba ni bora kwenye population majority wakaishi maisha ya wastani, kuliko kuwa na Matajiri wakubwa top 10 halafu common wananchi wote majority wanaishi kwenye vibanda na nyumba za nyasi.
Hata hapo Dar es Salaam, fanya utafiti wakazi wengi wa Buguruni, Temeke na Mbagala, halafu nenda ukalinganishe na wakazi wa Tabata, Mbezi na Kimara utapata majibu yako!
Umesahau na SIMIYU na KATAVI !!!
 
Asante sana kaka.
Hapa mtaani kwetu Kuna Mzee ana sukari Kali sana, kakatwa miguu tote, katolewa na jicho. Anauza Mali zake zote. Mpaka sasa ameuza nyumba 19, anasema hataki mtoto wake arithi hata kijiko kwani maagano aliyoyaingia hataki yawatese wanawe
kwani maagano aliyoyaingia hataki yawatese wanawe[emoji3064]

Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
 
Njooni muone wafia dini wa africa wanavyojifariji KWA vifungu vya vitabu vilivyotumika kuwatia babu zao utumwani, .

Wakijifanya wanaijua dini kuliko waliowaletea
Maamuma kweli wewe. Wakristo akina Wilberforce ndio walipambana babu zako unaowasema wakawa huru na utumwa ukakoma. Hao walisukumwa na hicho kitabu unachokiponda. Ndio uipime akili ya kuhadithiwa!
 
Unaongelea wakristo gani wewe
Halisi
Au bandia
Ila ukisema wakristo wote
Mimi nitakujibu wakristo wengi ndo matajiri wakubwa kuliko waislam au dini yeyote
Ukienda kwenye list ya matajiri wa ulimwengu wengi wana toka katika dini ya kikristo yaani Roman Catholic Na orthodox christian

Kwanza ni kupe tofauti ya Wakristo bandia na Wakristo halisi
Wakristo bandia ni wale wanao kwenda makanisani na kusikia maubiri ya Mungu alafu matendo yao ni tofauti na imani ya kikristo

Wakristo halisi ni wale wenye kusikia neno na kulishika

Hawa halisi sio kwamba sio matajiri
Ni matajiri bali sio wapenda sifa kama hawa bandia na wengine
 
Kwenye orodha yamatajiri duniani, hata ukiona ana jina la Kikristo tajiri huyo atakuwa ni mpagani, asiyeamini Mungu, haendi kanisani na Wala sio msharika wa Kristo.

Pia unaweza kukuta ni Myahudi. Dini ya Mayahudi na Ukristo ni vitu viwili tofauti sana.

Ukikuta Mkristo ni tajiri mkubwa, anakuwa ametajirikia hukohukp kwenye dini na sio kwa kufanya biashara, mfano T. D. Jakes, Odeyempo, nk.

Kwa bongo tajiri Mkristo aliyekuwa mfanyabiashara ni Mengi peke yake.

Ukipenda kwa matajiri wote utakuta ni Waislam, Wahindu, Islailiya na dini nyingine.

Kitu Gani kinachosababisha Wakristo wasiwe matajiri wakubwa?

Ni wapi wanapokosea?
Baseless thread
 
Back
Top Bottom