Naiona hoja yako Kiongozi.Kwani wewe hujui walimu wengi ni form four failures??huonagi pia wanatumika km mtaji wa wanasiasa...inshort walimug wengi sio wote hawajielew especially wa primary ndo kabisaa...Pia mazingira wanyofanyia kazi hasa vijijin hata akili haichangamki kureason things
Mwalimu asielewe hakuna hela ya aina hiyo?Mishahara kiduchu na hamna marupurupu...plus makato ya mabank na microfinance uchwara.... mtu akisikia fursa ya kuingiza ela bila kufanya kazi mashetani yote yanaamka na anaaingia kichwakichwa.....
Mafao ndo wanayapeleka hukokama mnachelewesha mafao watu wafanyaje.
Kumbuka kila fani ina hao unaowaita form four failures kuanzia afya, sheria, elimu, kilimo, uhandisi, habari n.kKwani wewe hujui walimu wengi ni form four failures??huonagi pia wanatumika km mtaji wa wanasiasa...inshort walimug wengi sio wote hawajielew especially wa primary ndo kabisaa...Pia mazingira wanyofanyia kazi hasa vijijin hata akili haichangamki kureason things
kifupi ni tamaa au nasema uongo ndugu zanguuMishahara kiduchu na hamna marupurupu...plus makato ya mabank na microfinance uchwara.... mtu akisikia fursa ya kuingiza ela bila kufanya kazi mashetani yote yanaamka na anaaingia kichwakichwa.....
π π π π π π π mashetani yote yanaamka! Jamani nimecheka!Mishahara kiduchu na hamna marupurupu...plus makato ya mabank na microfinance uchwara.... mtu akisikia fursa ya kuingiza ela bila kufanya kazi mashetani yote yanaamka na anaaingia kichwakichwa.....