kuna jamaa angu mmoja amemaliza Chuo Udom mwaka juzi akaja mtaani tukampa mbinu za kujikwamua kimaisha bila kusubiri kuajiriwa, kwa kuwa alikuwa ni rafiki etu tulimchangia na mtaji kidgo tukaanza kupambana,. ...wakaja hao jamaaa Glob Alliance wakamshawishi weeeee kaingia mkenge alipokuja kwetu kutushawishi nasisi kabla ya kutoa pesa tulimwambia usifanye hivyo katu, lakini jamaa alitutishia elimu yake bn akasema tatzo letu sisi tuna imani za kizamani mara ooh mimi nimesoma siwez tapeliwa kirahis ivyo,,,, baasi bn akaingia katoa laki 5 kamuingiza na demu wake kamtolea laki tano, lakini walikotokomea AMESHINDWA ata aanzie wapi kudai pesa zake aise,
ila uzuri wake alirudi na ushuhudu kuwa kapigwa...
umenikumbusha uliponiambia GLOBAL ALLIANCE Mkuu