Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Mr kuku hii aliyokuwa anatangaza joti au?Kweli mkubwa hawa wakina Mr.Kuku nao wamepiga billion kadhaa za hawa wapenda vitonga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr kuku hii aliyokuwa anatangaza joti au?Kweli mkubwa hawa wakina Mr.Kuku nao wamepiga billion kadhaa za hawa wapenda vitonga
Hao haoDesign ya Mr. Kuku!
kuna jamaa angu mmoja amemaliza Chuo Udom mwaka juzi akaja mtaani tukampa mbinu za kujikwamua kimaisha bila kusubiri kuajiriwa, kwa kuwa alikuwa ni rafiki etu tulimchangia na mtaji kidgo tukaanza kupambana,. ...wakaja hao jamaaa Glob Alliance wakamshawishi weeeee kaingia mkenge alipokuja kwetu kutushawishi nasisi kabla ya kutoa pesa tulimwambia usifanye hivyo katu, lakini jamaa alitutishia elimu yake bn akasema tatzo letu sisi tuna imani za kizamani mara ooh mimi nimesoma siwez tapeliwa kirahis ivyo,,,, baasi bn akaingia katoa laki 5 kamuingiza na demu wake kamtolea laki tano, lakini walikotokomea AMESHINDWA ata aanzie wapi kudai pesa zake aise,Kuna kisanga kipya cha Global alliance...!
Na hao ndiyo tegemeo la kuwapa elimu vijana wetu, kweli kazi ipo...Kwani wewe hujui walimu wengi ni form four failures??huonagi pia wanatumika km mtaji wa wanasiasa...inshort walimug wengi sio wote hawajielew especially wa primary ndo kabisaa...Pia mazingira wanyofanyia kazi hasa vijijin hata akili haichangamki kureason things
Mtelemko (Slope) Uliponza Lori!!!!kama mnachelewesha mafao watu wafanyaje.
Hapo Sasa Hivi Ndiyo Utaelewa Huu MsemoNa hao ndiyo tegemeo la kuwapa elimu vijana wetu, kweli kazi ipo...
Hapo mwishoni ndo umejiharibia boss.mimi nina division one form four wewe kuna la mama yako
mimi binafsi kuna mtu namfaham kaweka milioni kumu huko akitegemea apate 15 mwisho wa mwaka hee alnajuta bora angefanya biashara sio hii kichaaMr kuku hii aliyokuwa anatangaza joti au?
Wamejiokoa mapema wameingia kwenye soko la hisa DSENa something JATU watalia watu very soon
Shughuli yao ni ipi ?Wamejiokoa mapema wameingia kwenye soko la hisa DSE
Now wako safe [emoji23][emoji23], maana mara ya kwanza walikuwa wanaendesha biashara kwa mfumo huo huo wa Mr kuku
Now ukitaka kujiunga inabidi ukanunue hisa zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo cha mazao. Unaenda wanakupa mchanganuo wa zao unalotaka mwanzo Hadi kuvuna + faida kwa ekari, kisha unawapatia pesa kulingana na ekari unazotaka, kisha unakaa kusubiria faida, maana wanakutafutia hadi sokoShughuli yao ni ipi ?
Jamani hizi si ni bidhaa zinauzwa?Kuna hii inaitwa Neo Life nayo vipi mkuu?