Yaani unashauri kabisaaaa waache Mila na desturi zao?kwani zinakuathiri vipi mwananchi uliyeacha Mila na desturi zako na kudaka za magharibi au za mashariki?Masai akitoboa sikio wewe inakuathiri vipi?kweli wamebeba sime na rungu wamekupiga nalo?Cmooooon jamani
Sasa si mnataka wasibaguliwe! Basi waishi maisha kama wanayoishi wengine. Wakiendelea na maisha yao ya kizamani, watabaguliwa tu. Maana hakuna namna.
Dunia inabadilika. Na wenyewe hawana budi kubadilika. Hivyo kitendo cha wao tu kujitenga na wengine kimila, kimavazi, kitamaduni, nk. Tayari huo ni ubaguzi. Kwa hiyo hata wenyewe pia ni wabaguzi.
utamfundisha masai kweli anafundishika kweli? kunguru huwa anafugika? nimekwambia hata wakipata phd huwa akili ipo porini bado. si umeona wale kina ole ngurumo wanavyopambana ndugu zao waendelee kuliwa na wanyama na kushi bila vyoo kule ngorongoro? hata hawaelewi na ni wanasheria kabisa.
Sio kwamba madini yaliisha rasmi17 March 2017?ndo hivyo lakini tunapata
kuna mtu alipata millioni mia
hela ya kula hatukosi
sema sasa hata hayo mabaki wameyazungushia ukuta
Achana na huyo rumegi, akili yake inawaza ndito na @ngomosiI’m sure hujui chochote kuhusu ngorongoro wala hujawah kufika..
Hawafundishiki kwamba sio watu? Acha madharau kama hawafundishiki hizo PHD ambaozo wao wanapata naww huna wamepataje
Hapo ukute ni form four failure huyo anatukana watu.I’m sure hujui chochote kuhusu ngorongoro wala hujawah kufika..
Hawafundishiki kwamba sio watu? Acha madharau kama hawafundishiki hizo PHD ambaozo wao wanapata naww huna wamepataje
Wote wafugaji, ulitaka niwalinganishe na wazaramo.wasukuma wamefikaje tena hapa??
basi wazirenge sime siyo mutu!!Labda wanaingia na sime. Wakilewa na hivyo visu ni hatari
Tangazo linahusu wamasai wanaoingia kwa ajili ya kukaa tu bila kununua chochote.View attachment 2130328
Bar ya Sun Siro imepiga marufuku watu wa jamii ya Kimasai kuingia kwenye bar hiyo.
Huu ni ubaguzi rasmi ambao hauna jina jingine ila ubaguzi wa kikabila.
Nyerere alishasema dhambi ya ubaguzi wa kikabila ni sawa na kula nyama ya mtu.
Nazuimba mamlaka zinazohusika na kutoa na kusimamia leseni za vileo, zisilifumbie swala hili macho
Mkuria anaweza kuchukua ile sime ya mmasai na kumcharanga mtu kwa wivu wa mapenzi.Wapi umesikia masai kafyeka mtu bar?
Muasisi wa ubaguzi na chuki kwa wamasai ni CCM. CCM ndio wanataka wamasai wafukuzwe Ngorongoro, pia CCM iliuza Loliondo Gate ardhi ya Wamasai
Na wamefukuzwa Ngorongoro.