hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Walinzi wengi ni wamasai na wanaonekana kuipenda na kutokuchoshwa na kazi hii ya ulinzi , je ndiyo ndoto yao kubwa na yenye sifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna shule huna mbadala!Walinzi wengi ni wamasai na wanaonekana kuipenda na kutokuchoshwa na kazi hii ya ulinzi , je ndiyo ndoto yao kubwa na yenye sifa?
Kwaiyo hawa wa Ilala wanaosuka dada zetu nakuuza shanga mikanda viatu vyangozi na pete walugulu mkuu?Umeona wapi Wamasai wanaofanya kazi za ulinzi?
Wamasai asili ya shughuli zao ni ufugaji tu.
NyotaayaulinziiiWalinzi wengi ni wamasai na wanaonekana kuipenda na kutokuchoshwa na kazi hii ya ulinzi , je ndiyo ndoto yao kubwa na yenye sifa?
Walio na shule wanafanya hizo kazi mbona.Kama huna shule huna mbadala!
ELIMU HAKUNA VICHWANIWalinzi wengi ni wamasai na wanaonekana kuipenda na kutokuchoshwa na kazi hii ya ulinzi , je ndiyo ndoto yao kubwa na yenye sifa?
Uongo Mzee dunia imebadirika Sasa hivi sio tena km zamani Serekali imefanya modifications walinzi wengi kwenye makampuni ni kuanzia la 7 kuendelea na Masai wengi shule ni hakuna kwenda na pia Masai wanaonekana washamba siku hizi makabila yote unayoyajua wewe yanalinda na yanafanya kazi ya ulinzi, ukitaka kuelewa waulize polisi jamii na ulinzi shirikishiWalinzi wengi ni wamasai na wanaonekana kuipenda na kutokuchoshwa na kazi hii ya ulinzi , je ndiyo ndoto yao kubwa na yenye sifa?
Siku hizi sio wamasai tena Meza ishapinduka wamasai wamehamia kwenye kusuka wamama sio kwenye ulinzi kwenye ulinzi hawapo labda maeneo machache saaanaWalio na shule wanafanya hizo kazi mbona.
Sikuhizi meza imepinduka.
Ndo mwandiko gani huu?Nyotaayaulinziii