Kwanini wameanza kuhamasisha watanzania kumiliki nyumba Dubai?

Kwanini wameanza kuhamasisha watanzania kumiliki nyumba Dubai?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Ajira zilizopo bandari katika ngazi zote nyeti ni watoto wa wakubwa; wanaofanya kazi wote forodha ni watoto wa wakubwa; wanaosimamia miundombinu ni watoto wa wakubwa. Wanapataje huu mchongo? Fedha wanazopiga wanazipeleka wapi mboni hawana business tofauti na kumiliki maghorofa? Au ndio wanajiandaa wakaishi Dubai?

Je, kama hawa niwwatoto wa wadosi DP world ataweza kuwakoromea au wataungana kupeleka dola nje? Mbona nimeona kwenye mitandao tumeanza kuletewa wauza majumba Dubai? Watanzania wanaweza kwenda kununua nyumba Dubai? Nini kimepelekea wauza nyumba wa Duabai kuja kutushawishi tukanunue nyumba huko?
 
Of course wapiga dili, wezi ndio watakuwa wanunuzi.
 
Ajira zilizopo bandari katika ngazi zote nyeti ni watoto wa wakubwa; wanaofanya kazi wote forodha ni watoto wa wakubwa; wanaosimamia miundombinu ni watoto wa wakubwa. Wanapataje huu mchongo? Fedha wanazopiga wanazipeleka wapi mboni hawana business tofauti na kumiliki maghorofa? Au ndio wanajiandaa wakaishi Dubai?

Je kama hawa niwwatoto wa wadosi DP world ataweza kuwakoromea au wataungana kupeleka dola nje? Mbona nimeona kwenye mitandao tumeanza kuletewa wauza majumba Dubai? Watanzania wanaweza kwenda kununua nyumba Dubai? Nini kimepelekea wauza nyumba wa Duabai kuja kutushawishi tukanunue nyumba huko?
Muulize Mbowe mbona anamiliki ki flat huko miaka mingi sasa?
 
Hii mada yako umeiweka kama ulivyoiweka, kama kiutani hivi, lakini ni jambo zito sana hili.

Hawa wanaosemwa na kundi la utetezi wa DPWorld hawawasemi hawa vigogo (watoto wa vigogo), kuwa ndiyo sababu ya bandari kufanya kazi hovyohovyo, kwa sababu hili ni kundi lao.

Wanaosema kukwamisha shughuli za Bandari, ni makundi mbalimbali tofauti na hao uliowataja hapo. Lakini kiuhakika kabisa tatizo la Bandari linaanzia kwao.

Kwa hiyo usishangae ukisikia kwamba kundi hilo ni shiriki katika kuwaleta DP World hapa ili mambo yao yazidi kunoga.

Akina Karamagi na wale wenye ICD wanaotumiwa kuwa ndio wanaopinga juhudi hizi za wapigaji huko serikalini ni viini macho tu kwa wananchi.

Mwisho, inanibidi niulize, kwa sababu sijui: Hivi huko Dubai kuna mvuto gani? Maisha ya huko yapoje, ni kama Disneyland hivi, au kule Las Vegas kimji cha kila aina ya dhambi unayoweza kuifikiria duniani?

Sasa maisha ya namna hiyo yana mvuto gani kuyaishi hata miezi kadhaa tu!
 
Kusema kweli TZ ikaje kua kama Dubai dunia ITAKUA mwishonii, hapo ni kiyama, so kununua nyumba Kule ni kheri tu.
 
Hii mada yako umeiweka kama ulivyoiweka, kama kiutani hivi, lakini ni jambo zito sana hili.

Hawa wanaosemwa na kundi la utetezi wa DPWorld hawawasemi hawa vigogo (watoto wa vigogo), kuwa ndiyo sababu ya bandari kufanya kazi hovyohovyo, kwa sababu hili ni kundi lao.

Wanaosema kukwamisha shughuli za Bandari, ni makundi mbalimbali tofauti na hao uliowataja hapo. Lakini kiuhakika kabisa tatizo la Bandari linaanzia kwao.

Kwa hiyo usishangae ukisikia kwamba kundi hilo ni shiriki katika kuwaleta DP World hapa ili mambo yao yazidi kunoga.

Akina Karamagi na wale wenye ICD wanaotumiwa kuwa ndio wanaopinga juhudi hizi za wapigaji huko serikalini ni viini macho tu kwa wananchi.

Mwisho, inanibidi niulize, kwa sababu sijui: Hivi huko Dubai kuna mvuto gani? Maisha ya huko yapoje, ni kama Disneyland hivi, au kule Las Vegas kimji cha kila aina ya dhambi unayoweza kuifikiria duniani?

Sasa maisha ya namna hiyo yana mvuto gani kuyaishi hata miezi kadhaa tu!
Dubai hakuna maajabu yoyote. Tumeishi USA , UK, tuna nyumba huko ila Tanzania ndio nyumbani. Tunapita Dubai, Qatar kila miezi mitatu
 
Dubai hakuna maajabu yoyote. Tumeishi USA , UK, tuna nyumba huko ila Tanzania ndio nyumbani. Tunapita Dubai, Qatar kila miezi mitatu
EEEeeh Bhwanah!

Hebu sema mkuu! Nina amini wewe siyo kati ya hao wanaozungumziwa kwenye mada hii, wanaozoa Bandarini na kuififisha Bandari yetu ili wakanunue nyumba Dubai, ambazo watakuwa hawaishi humo, ila kupitia tu kila mwaka kwa miezi mitatu tu kwa mwaka!

Huku Tanzania mnapokuja kututembelea mara moja moja, na kuwaona wazee waliokuwa majirani zenu wakati wa utoto wenu, sijui mnawaonaje hali zao?

Na hawa vijana wa rika lenu, ambao wazazi wao siyo vigogo kama wale wa kwenu waliowawezesha kuwa katika nafasi hizo za kuvuna na kusaza, siku hizi sijui mnawaonaje mkipita kwenye vijiwe vyao? Bila shaka mnawasimulia habari za huko Dubai, US na UK na kuwaonyesha kama nyinyi mnaishi peponi vile, lakini kama ulivyosema, maisha hayo kwenu ni ya kawaida kabisa!

Sasa sijui nimalize vipi. Ningependa kukupongeza kwa mafanikio hayo, lakini roho inakataa kufanya hivyo, hasa kama mko huko Bandarini mkitukwamisha kwa juhudi zetu za kujikwamua toka kwenye hali duni ya maisha.

Basi bhwanah, fikiria mwenyewe mawazo yangu haya yana maana gani kwako binafsi, kwa jamii yako na kwa waTanzania wenzako.
 
EEEeeh Bhwanah!

Hebu sema mkuu! Nina amini wewe siyo kati ya hao wanaozungumziwa kwenye mada hii, wanaozoa Bandarini na kuififisha Bandari yetu ili wakanunue nyumba Dubai, ambazo watakuwa hawaishi humo, ila kupitia tu kila mwaka kwa miezi mitatu tu kwa mwaka!

Huku Tanzania mnapokuja kututembelea mara moja moja, na kuwaona wazee waliokuwa majirani zenu wakati wa utoto wenu, sijui mnawaonaje hali zao?

Na hawa vijana wa rika lenu, ambao wazazi wao siyo vigogo kama wale wa kwenu waliowawezesha kuwa katika nafasi hizo za kuvuna na kusaza, siku hizi sijui mnawaonaje mkipita kwenye vijiwe vyao? Bila shaka mnawasimulia habari za huko Dubai, US na UK na kuwaonyesha kama nyinyi mnaishi peponi vile, lakini kama ulivyosema, maisha hayo kwenu ni ya kawaida kabisa!

Sasa sijui nimalize vipi. Ningependa kukupongeza kwa mafanikio hayo, lakini roho inakataa kufanya hivyo, hasa kama mko huko Bandarini mkitukwamisha kwa juhudi zetu za kujikwamua toka kwenye hali duni ya maisha.

Basi bhwanah, fikiria mwenyeweMkuu mawazo yangu haya yana maana gani kwako binafsi, kwa jamii yako na kwa waTanzania wenzako.
Mkuu kalamu nipo na wewe upande wako kutetea Tanganyika. Labda nifute post yangu. Haijaeleweka vizuri. Ilivyotakiwa.
 
Mkuu kalamu nipo na wewe upande wako kutetea Tanganyika. Labda nifute post yangu. Haijaeleweka vizuri. Ilivyotakiwa.
LOooh!

Hapana mkuu wangu 'Setin', inaeleweka vizuri kabisa.

Hayo mawazo niliyoweka hapo hayakuhusu wewe binafsi moja kwa moja. Nimetumia tu nafasi hiyo kwa wahusika wa namna ile, hasa hao wanaozungumziwa kuwepo pale Bandarini kwa kupitia kwa wazee wao vigogo.

kama hujawadhulumu waTanzania hayo maneno niliyoandika hapo yatakuhusu vipi wewe mkuu?
 
Ajira zilizopo bandari katika ngazi zote nyeti ni watoto wa wakubwa; wanaofanya kazi wote forodha ni watoto wa wakubwa; wanaosimamia miundombinu ni watoto wa wakubwa. Wanapataje huu mchongo? Fedha wanazopiga wanazipeleka wapi mboni hawana business tofauti na kumiliki maghorofa? Au ndio wanajiandaa wakaishi Dubai?

Je kama hawa niwwatoto wa wadosi DP world ataweza kuwakoromea au wataungana kupeleka dola nje? Mbona nimeona kwenye mitandao tumeanza kuletewa wauza majumba Dubai? Watanzania wanaweza kwenda kununua nyumba Dubai? Nini kimepelekea wauza nyumba wa Duabai kuja kutushawishi tukanunue nyumba huko?
Where do you dream these imaginations?
 
LOooh!

Hapana mkuu wangu 'Setin', inaeleweka vizuri kabisa.

Hayo mawazo niliyoweka hapo hayakuhusu wewe binafsi moja kwa moja. Nimetumia tu nafasi hiyo kwa wahusika wa namna ile, hasa hao wanaozungumziwa kuwepo pale Bandarini kwa kupitia kwa wazee wao vigogo.

kama hujawadhulumu waTanzania hayo maneno niliyoandika hapo yatakuhusu vipi wewe mkuu?
Mkuu wewe ni kati ya wazalendo huwa nakusoma.
 
Muulize Mbowe mbona anamiliki ki flat huko miaka mingi sasa?
===
Vipi kuhusu tuhuma hizi?
 
===
Vipi kuhusu tuhuma hizi?
Tuhuma ipi hapo? Sijaona tuhuma yoyote.
 
Back
Top Bottom