Kwanini Wanachama wa CCM ni wengi lakini hawavutiwi kuangalia Youtube Channel ya Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu?

Kwanini Wanachama wa CCM ni wengi lakini hawavutiwi kuangalia Youtube Channel ya Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu?

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Ndugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.

Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.

Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.

Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.

Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.

Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.

Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM

Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.

Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.

Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.

Screenshot_2024-07-16-00-57-44-977_com.google.android.youtube.jpg

Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.

Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?

Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.

Screenshot_2024-07-16-01-02-13-515_com.google.android.youtube.jpg

Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?

Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries

Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.

Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.

Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.

Hili nalo mkalitazame.
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-00-59-56-240_com.google.android.youtube.jpg
    Screenshot_2024-07-16-00-59-56-240_com.google.android.youtube.jpg
    1.7 MB · Views: 1
Ndugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.

Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.

Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.

Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.

Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.

Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.

Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM

Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.

Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.

Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.

View attachment 3043706
Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.

Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?

Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.

View attachment 3043710
Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?

Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries

Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.

Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.

Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.

Hili nalo mkalitazame.
Mkuu, kwa kuwa wengi wao ni machawa kila wakiangalia wanaishia kuona mapichapicha kama vile wanaangalia "movie" za Kihindi.
 
Tuliamua ujinga kama taifa Kwa kuruhusu chama kimoja kukaa madarakani muda mreeefu Hadi tukaanza kutetea wezi na wabadhirifu kisa ni wanaccm!

Kwakufanya hivyo tuliua vipaji vya uongozi ndani ya chama !MTU kama pole pole hakupaswa kuwa mwanaccm Bora angeenda nccr mageuzi tukapata WiGo mpana wa viongozi hasta jpm angeshinda urais kwa chama kama Act wazalendo angepata nafasi kubwa sana ya kifanya mageuzi akiwa nje ya CCM kuliko ndani ya CCM,ndio maana ccm ilimchanganya Hadi akaanza ununuzi was watu coz chama kilishakua kimeoza,nguvu zote hizo zinheelekezwa kwenye mageuzi ya kiuchumi tungefika mbali!!

Mapenzi ya chama huzaliwa,hukomaa na kufa hata chadema imekomaa ikielekea kufa,ilipaswa chama kinapoanza kuchokwa Dola inabdili uelekeo na kwenda chama chenye mvuto,hapo tusingekua na KAZI ya kutumia gharama kubwa kunadi chama mfu badala ya kufanya maendeleo!!

No rahisi sana kukipa Dola chama ambacho wanachama wake hawabebwi na malori kama mang'ombe Bali wanachama wanajitolea Kwa kichanga fedha wenyewe!!

Ccm inabebwa na pesa nyingi na Dola ambazo fedha hizo zingetumika kuondoa umaskini tungefika mbali sana!!
Lakini dola imelala usingozi wa pono Hadi inaacha wezi plus wabadhirifu wanakichafua chama na gharama ya kuwasafisha inatumika kubwa!!!
 
Ndugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.

Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.

Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.

Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.

Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.

Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.

Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM

Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.

Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.

Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.

View attachment 3043706
Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.

Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?

Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.

View attachment 3043710
Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?

Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries

Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.

Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.

Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.

Hili nalo mkalitazame.
hiyo nadhani hutumiwa zaidi na vitimbakwiri kujiliwaza, kujipiga kifua, na kujipumbaza kwamba wana wanachama na mashabiki wengi🤣

kisha field wanaumbuliwa kwa kura 2 au 3 kuthibitisha tu kwamba hawajulikani, hawafahamiki nje ya hiyo kitu....🐒
 
hiyo nadhani hutumiwa zaidi na vitimbakwiri kujiliwaza, kujipiga kifua, na kujipumbaza kwamba wana wanachama na mashabiki wengi🤣

kisha field wanaumbuliwa kwa kura 2 au 3 kuthibitisha tu kwamba hawajulikani, hawafahamiki nje ya hiyo kitu....🐒
Fieled ipi wakati tuna mamilioni ya watumiaji mitandaoni ndio hao hao wako mitaani pia.
 
Kwakufanya hivyo tuliua vipaji vya uongozi ndani ya chama !MTU kama pole pole hakupaswa kuwa mwanaccm Bora angeenda nccr mageuzi tukapata WiGo mpana wa viongozi hasta jpm angeshinda urais kwa chama kama Act wazalendo angepata nafasi kubwa sana ya kifanya mageuzi akiwa nje ya CCM kuliko ndani ya CCM,ndio maana ccm ilimchanganya Hadi akaanza ununuzi was watu coz chama kilishakua kimeoza,nguvu zote hizo zinheelekezwa kwenye mageuzi ya kiuchumi tungefika mbali!!
Kwa kifupi imefilisika
 
Fieled ipi wakati tuna mamilioni ya watumiaji mitandaoni ndio hao hao wako mitaani pia.
labda mtandao wa wenye mihemko na waporomosha matusi 🐒

ni utimbankwiri urecordiwe video filed, halafu tena wewe huyo huyo unababaika na hiyo kitu YouTube 🐒
 
Back
Top Bottom