Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
- Thread starter
- #61
Hizo kura ni za wizi..... Maana hata huku field bila kubeba na kuswaga watu kama mbuzi mikutano haijaiUsijali. Hizo namba kubwa unazotaka kuziona utaziona kwenye sanduku la kura mwaka 2025. Ingekuwa vema ungewalilia CHADEMA wenye namba kubwa mtandaoni ila kwenye sanduku la kura hakuna kitu.