Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Vimbwenerehi hawajui kutumia mitandao.Unamanisha nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vimbwenerehi hawajui kutumia mitandao.Unamanisha nini?
Wao wako bize na Gongo, visungura na Double KickiVimbwenerehi hawajui kutumia mitandao.
Duuhlabda mtandao wa wenye mihemko na waporomosha matusi 🐒
ni utimbankwiri urecordiwe video filed, halafu tena wewe huyo huyo unababaika na hiyo kitu YouTube 🐒
Ushahidi uliopo unadhihirisha ccm huwa hawashindi.Kuna chawa anasema wao ni vipenzi vya watanzania
Kumbe hata wao hawajielewi
Unawaza mambo ya kizamani sana.Kavla ya youtube waliishije acha ufara wa kutujazia maujinga humu
we ungeweza?Ndugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.
Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.
Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.
Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.
Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.
Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.
Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM
Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.
Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.
Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.
View attachment 3043706
Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.
Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?
Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.
View attachment 3043710
Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?
Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries
Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.
Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.
Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.
Hili nalo mkalitazame.
Kuweza kufanya nini?we ungeweza?
lazima ujue nature ya ccm!Ndugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.
Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.
Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.
Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.
Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.
Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.
Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM
Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.
Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.
Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.
View attachment 3043706
Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.
Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?
Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.
View attachment 3043710
Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?
Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries
Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.
Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.
Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.
Hili nalo mkalitazame.
You nailed it.lazima ujue nature ya ccm!
Watu wanaingia huko kwa ajili ya maslahi (keki ya nchi)
Watu wanaingia kwasababu ya kulinda mali zao ukiwa mpinzani nchi hii utakiona
Watu wanaingia huko kama njia yakuja kuongoza nchi hii
Ni wachache wanaoingia kwa sababu wanapenda muenendo au sera za chama….
maana uhalisia mna uona
YouTube hawapelekwi na makarandingaNdugu Zangu Namba hazidanganyi, wanachama wameikacha hii channel yao.
Kunahitajika utafitu wa kina kujua kwanjni tunaanbiwa idadi ya wanachama wa ccm na hata wasio wanachama lakini wafuasi ni wengi ispokuwa Channel inayotangaza matukio na elimu bado hawaifati.
Baadhi ya Watu wanasema hawaifatilii kwa sababu haina mvuto na wengine wanasema kinachotangazwa kule ni bla bla tu na ahadi zisizotekelezeka za miaka nenda miaka rudi.
Hata hivyo kwa takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa idadi ya wanachama ni Takribani milioni 10 hadi 12.
Na Idadi ya Watanzanzia wanaotumia simu na mitandao yaani internet inakadiriwa kufika milioni 20 hadi 22.
Watu hao hao ndio watumiaji wa mitandao kwa wingi kama Youtube, Facebook, Twitter, Instagrma, telegram na Whatsapp ikiwemo inayoibukia Tiktok.
Inashangaza kwamba vijana na watumiaji wa mitandao hii kwa wingi wameikacha mitandao inayojinasibu na Shughuli za Chama cha mapinduzi CCM
Utakuta matukio makubwa ya Mwenyekiti wa Chama Taifa view haifiki hata 1000 kwa muda wa mwaka mzima.
Jana nilikiwa napitia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama Taifa Dr Samia Suluhu Hassan akiwa na waandamizi huko Katavi Namanyele live view tulikuwa 7 tu. Huku jumla ya watemebeleaji mpaka masaa 12 baadae ikiwa ni 132 pekee.
Hii inakatisha tamaa sio tu kwa Viongozi bali pia kwa wanamitambo wanaofanya kazi usiku na mchana kuhakikisha Channel inakuwa Live.
View attachment 3043706
Hapo juu utaona video ya masaa 2 na nusu kwa muda wa siku 2 Tukio kubwa la Mwenyekiti views ni 670 pekee.
Je ni watu hawaoni umuhimu au vijana wao wako bize kula pesa ya uchawa tu huku mambo mengine wakiyapa kisogo?
Ktk ulimwengu huu wa kidigitali ni kosa kubwa sana kuignore nguvu ya mitandao ya kijamii.
View attachment 3043710
Utasema labda wananchi wamekinai Neno CCM ngoja nitazame kwa Wamiliki wengine wa Online Tv hali ikoje?
Bado haina matumaini. Ni kama Wananchi wameichoka CCM na mambo yake yoote. Hao wachache wanaoonekana hapa na pale vi wale direct beneficiaries
Sisi wachambuzi huru wa siasa mtandaoni tunaona hili swala linaweza kuibua maswali mengi juu ya Upendo na ufuasi wa Watu juu ya chama hiki.
Ktk Pool ya mamilioni ya Watuamiaji wa mitandao na ikaonekana ccm tu ndio hainufaiki nayo basi haya ni mapungufu makubwa sana.
Itikadi ya chama, hamasa na ushereheshaji umeshuka sana. Ama viongozi husika hawatimizi wajibu wao ama ni Wananchi tu wameichoka. Wanaone bora connections, facebook na Mipira kuliko Chama Tawala.
Hili nalo mkalitazame.
Comrade ume comments Kwa uchungu kutoka moyoni.Tuliamua ujinga kama taifa Kwa kuruhusu chama kimoja kukaa madarakani muda mreeefu Hadi tukaanza kutetea wezi na wabadhirifu kisa ni wanaccm!
Kwakufanya hivyo tuliua vipaji vya uongozi ndani ya chama !MTU kama pole pole hakupaswa kuwa mwanaccm Bora angeenda nccr mageuzi tukapata WiGo mpana wa viongozi hasta jpm angeshinda urais kwa chama kama Act wazalendo angepata nafasi kubwa sana ya kifanya mageuzi akiwa nje ya CCM kuliko ndani ya CCM,ndio maana ccm ilimchanganya Hadi akaanza ununuzi was watu coz chama kilishakua kimeoza,nguvu zote hizo zinheelekezwa kwenye mageuzi ya kiuchumi tungefika mbali!!
Mapenzi ya chama huzaliwa,hukomaa na kufa hata chadema imekomaa ikielekea kufa,ilipaswa chama kinapoanza kuchokwa Dola inabdili uelekeo na kwenda chama chenye mvuto,hapo tusingekua na KAZI ya kutumia gharama kubwa kunadi chama mfu badala ya kufanya maendeleo!!
No rahisi sana kukipa Dola chama ambacho wanachama wake hawabebwi na malori kama mang'ombe Bali wanachama wanajitolea Kwa kichanga fedha wenyewe!!
Ccm inabebwa na pesa nyingi na Dola ambazo fedha hizo zingetumika kuondoa umaskini tungefika mbali sana!!
Lakini dola imelala usingozi wa pono Hadi inaacha wezi plus wabadhirifu wanakichafua chama na gharama ya kuwasafisha inatumika kubwa!!!
Aisew umeongea point moja kubwa sana.YouTube hawapelekwi na makarandinga
Usemacho ni kweli. Namna habari zao walivyozipa kisogoUtafiti huu unaonesha ukweli wa hali ya kisiasa nchini Tanzania, kuwa raia wanataka mabadiliko.
Wakijitokeza kwa wingi waTanzania hawa kupiga kura na kuzilinda watakuwa wamemaliza mchezo kama Donald Trump anayesubiri kwa uhakika republican kuingia Ikulu