Kwanini wanachama wa CCM wamewaacha viongozi wao akiwemo Kinana kushambuliwa mitandaoni bila kuwatetea?

Kwanini wanachama wa CCM wamewaacha viongozi wao akiwemo Kinana kushambuliwa mitandaoni bila kuwatetea?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Mhe. Kinana anazungumza na waandishi wa habari Dodoma. Katika mambo aliyozungumza ni kudai tume itakuwa huru, kudai Rais ana nguvu kwenye kila tume ya uchaguzi Duniani na kudai Chadema wanamepewa uhuru siku chache na wanahubiri chuki.

Katika haya yote hakuna linaloonekana kuungwa mkono X na Instagram wala facebook. Kila mtandao uliopost habari zake wachangiaji wengi wamekosoa na kumshauri astaafu atuachie nchi yetu

Hoja yangu; je hakuna wanachama wa CCM wanaotumia mitandao ya kijamii? Je ukimya wao unamaanisha nini kwa chama chao?Kwanini wameimarika sana katika kuwapuuza viongozi wa chama chao?

Kwanini chama tawala kinakuwa na wanachama wengi wasioweza kutoka adharani na kukitetea? Siku hizi hata kuvaa t-shirt za chama imekuwa nongwa na aibu...wanachama wanavaa ukumbini wakitoka wanaweka kwenye mabegi!

CCM wanaoana hii ni hali ya kawaida?
 
Hata ungekuwa wewe ungewezaje kutetea sheria kama hizi?

Screenshot_2024-05-05-14-01-34-1.png
 
Mhe. Kinana anazungumza na waandishi wa habari Dodoma. Katika mambo aliyozungumza ni kudai tume itakuwa huru, kudai Rais ana nguvu kwenye kila tume ya uchaguzi Duniani na kudai Chadema wanamepewa uhuru siku chache na wanahubiri chuki.

Katika haya yote hakuna linaloonekana kuungwa mkono X na Instagram wala facebook. Kila mtandao uliopost habari zake wachangiaji wengi wamekosoa na kumshauri astaafu atuachie nchi yetu

Hoja yangu; je hakuna wanachama wa CCM wanaotumia mitandao ya kijamii? Je ukimya wao unamaanisha nini kwa chama chao?Kwanini wameimarika sana katika kuwapuuza viongozi wa chama chao?

Kwanini chama tawala kinakuwa na wanachama wengi wasioweza kutoka adharani na kukitetea? Siku hizi hata kuvaa t-shirt za chama imekuwa nongwa na aibu...wanachama wanavaa ukumbini wakitoka wanaweka kwenye mabegi!

CCM wanaoana hii ni hali ya kawaida?
Ni ngumu sana kutetea uongo au mtu mwongo
 
Mhe. Kinana anazungumza na waandishi wa habari Dodoma. Katika mambo aliyozungumza ni kudai tume itakuwa huru, kudai Rais ana nguvu kwenye kila tume ya uchaguzi Duniani na kudai Chadema wanamepewa uhuru siku chache na wanahubiri chuki.

Katika haya yote hakuna linaloonekana kuungwa mkono X na Instagram wala facebook. Kila mtandao uliopost habari zake wachangiaji wengi wamekosoa na kumshauri astaafu atuachie nchi yetu

Hoja yangu; je hakuna wanachama wa CCM wanaotumia mitandao ya kijamii? Je ukimya wao unamaanisha nini kwa chama chao?Kwanini wameimarika sana katika kuwapuuza viongozi wa chama chao?

Kwanini chama tawala kinakuwa na wanachama wengi wasioweza kutoka adharani na kukitetea? Siku hizi hata kuvaa t-shirt za chama imekuwa nongwa na aibu...wanachama wanavaa ukumbini wakitoka wanaweka kwenye mabegi!

CCM wanaoana hii ni hali ya kawaida?
Kinana anavuna alichokipanda wacha asakamwe
 
Back
Top Bottom