Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni mwingine tunayi nyumbini
Siwaamini wanyarwanda wanaweza kua sababu ya vijana kushambuliwa! Miaka yote ya nyuma hatukuandamwa na wimbi la mauaji kiasi hiki !!
Sidhani hicho kikundi bado kina ideology ya kidini,
kumbuka sisi ndo tulimkamata kiongozi wa kundi hili,
isijekuwa ikawa ni mambo ga kisasi...
Uyasemayo yana ukweli fulani kwani utajiri mkubwa wa Kagame na pia sehemu kubwa ya maendeleo anayosifiwa Kagame kuyaleta Rwanda ni uwizi wa Raslimali za Wakongo iliyokuwa ikiporwa na askari wa Rwanda kwa kivuli cha M23, baada ya hao M23 kuvurushwa na walinzi wa amani kwa msaada wa JWTZ Kagame alihamaki enzi za J.M.Kikwete.Mimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.
Hakuna atakae ish milele hata mm Na ww tutakufa boya weeHongera wewe utaishi milele
Utakuwa una matatizo makubwa sana, unahitaji msaada wa daktari.Wafe tuuh, urafiki na kagame mnategemea nini??
Labda baba anawatoa wanae kafara kulinda urafiki na jamaa yake !! Mengi yanatokea ikiwemo kuwapa watuendeshee nchi kupitia udhibiti wa mtandaoMission yetu ya Kwanza ilikiwa ni kuwazuia M23 na tulifanikiwa sana yukiwa pamoja na Malawi na RSA, sasa hilo kundi halipo tena, so Tupo DRC kulinda Amani,
Iweje Jeshi letu pekee ndio lishambuliwe?, Mbona Malawi na RSA tuliokuwa kwenye mission moja wao hawapati taabu tuipayo sisi?
DRC kuna majeshi ya Kimataifa kutoka kwenye nchinzaidi ya Kumi, India, Pakistan, Uruguay, Brazil, Kenya, Tanzania, Malawi, RSA, Ghana ect,
Kuna kitu hakiko vizuri sehemu
Yote majibuMkuu inamana kweli PaKa anaweza akawa na Nguvu kutuzidi? Au ni uswahiba usio na kichwa wala miguu ndo umetufikisha hapa..!!!!
popote paleMmhhhh mtoto wakike wa mfalme na malikia ..
Kwan wangefia TZ usingekua sad ? Au wao kufia Congo ndo Sad ??.