Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

Huko hakuna M23 wala mini kule kuna wasaka tonge
 
Hii habari imesambaa dunia nzima vifo vya wanajeshi 14 si jambo dogo lazima assessment ifanyike na igundue tatizo ninini mbona ni tznians tuu? Kama vip mwakiborwa arudi Kongo na operesheni iwe na lengo zaidi ya peace keeping. Hawa bahima Tangu lini wakatushinda kivita hapa lazima kuna mole tuu na itajuliiana tuu muda utasema tuu. Yaani tunawalinda tunawakaribisha kwetu , wanakula , wanavaa wanaimba mamuziki yako kisha wanaleta mambo ya ajabu ajabu. Imeniuma sana. If PAKA anahusika anatakiwa a pay dearly na ajue this is Tanzania
 
Hapa unapocoment ni forum iliyoanzishwa na mtz mwenye mapenzi mema na nchi yake. Unapomuita mshenzi unafanya tuamini ile genocide bado inaathari sana ktk maisha ya watutsi waliowengi. Naamini pia ww si mtutsi.

Ahahaha ahahaa ahaha mtajuuuta We taja tu hayo maneno wala hatuna mda mtaendelea kufa tu huko DRC
 



Mkuu embu dadavua hapo, siasa zimekuwaje?

Inatakiwa ziweje?

Kwanini JW wanashambuliwa?
 
Uhusiano wetu na rwanda sasa ni mzuri kuliko siku zote,
haingii akilini eti tena rwanda ianze kuua askari wetu,
labda kama jeshi letu kule lina jukumu jingine zaidi ya kulinda amani,jukumu linaloingilia interest za Rwanda,

naamini jeshi letu kule lipo kulinda amani na sio kulinda migodi ya almasi na dhahabu ya congo ili kagame asiibe madini kule,
so why our force are being targeted?
Je waasi wanalipa kisasi kwa Tanzania kwa kumkamata kiongozi wao?

Ama kuna link na majambazi yale tunayoyatwanga risasi za miguu yakafa yakikimbizwa hospitali,ama ni kweli masoja wetu wanawekea kauzibe interest za watu kule?

Kumbuka israel inategemea sana almasi ya congo kuendesha uchumi wake,main export ya israel nearly 50% ni almasi na wanazitoa katika nchi kama congo,je kuna link kati ya israel,Rwanda na hawa waasi.

Kwanini majeshi mengine hayawi targeted?
 
ngoja tumalize msiba mziki utausikia! maslahi ya Tanzania kongo ikifunguka ni zaidi ya east africa hatuwezi kushindwa kirahisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…