Huko hakuna M23 wala mini kule kuna wasaka tongeMimi bado naamini Rwanda wanafanya kila njia kuhakikisha majeshi yetu yanaondoka Kongo.Baada ya M23 kufurumshwa yale majeshi ya Rwanda kwa mgongo wa M23 bila shaka wanatumia waasi wengine lakini kwa minajili ya kulipiza kisasi.maana bila jeshi letu Rwanda bado wangekuwa Kongo kuvuna rasilimali za huko.Tuwe macho na Rwanda si watu wazuri hata kidogo kwenye ukanda huu.
Poleni sana!Arusha aisee jamaa kama utani vile.Dah so sad
Nene ndi mbifile wavina wahele na lulenga aah
bambuKwi mlongo vangu
....Kabisa aisee, tuliyofanya wakati wa ukombozi kusini yatoshaAisee mimi nahisi hizo habari za peace keeping mission inatakiwa tuziache
Vzuri sanaa,, kweli nivzuri kulipenda jeshi lako .maana jeshi ni Mlinzi.
Vipi ikiwa nitakua Mlinzi wako ,, siku niki rest in peace ,,Kipi utanikumbukia ?? Nakipi utakifanya kunienzi.
mangi rudi shule upyaUmeandika nini hapa wewe Mnyarwanda?
Hapa unapocoment ni forum iliyoanzishwa na mtz mwenye mapenzi mema na nchi yake. Unapomuita mshenzi unafanya tuamini ile genocide bado inaathari sana ktk maisha ya watutsi waliowengi. Naamini pia ww si mtutsi.
Minyarwanda imejaa kila kona
Aisee kuna jamaa yangu mwanajeshi amedai kuwa tatizo ni siasa zetu hasa mahusiano yetu na rwanda hakika mtoa mada hili jambo ni sahihi kabisa
Kuna ukweli mkubwa juu ya maisha ya wanajeshi wetu kule congo ni wakati wa mkulu kurekebisha sera zake dhidi ya mataifa haya ya jirani
Kwa sababu DRC kuna vita vya kuligawa Taifa lao, hivyo ushiriki wetu huko ni kusaidia ili wasije wakajipenyeza na kwetu.
mangi rudi shule upya
njoo kunyumbi hii bombii hii
tafadhali usinifananishe na hao watuPunguza ujinga ww Mtusi waheed
asante sanaPoleni sana!
mangi rudi shule upya
njoo kunyumbi hii bombii hii