Kwanini Wanajeshi wa Tanzania wanashambuliwa DRC?

Daah tutazika ndugu, rafiki zetu baada ya mazishi daah tutamlilia Mungu, Mungu atajibu maombi tutapata majibu nani yupo nyuma ya haya matukio ya kinyama hivi!!??? na kwann iwe sisi tu wakati huu aah napata hasira
 
Daah tutazika ndugu, rafiki zetu baada ya mazishi daah tutamlilia Mungu, Mungu atajibu maombi tutapata majibu nani yupo nyuma ya haya matukio ya kinyama hivi!!??? na kwann iwe sisi tu wakati huu aah napata hasira
 

Hakuna nchi ya kinafiki kama Rwanda
 
Hatuwarudishi majeshi nyumbani hiyo itakua ushindi wa Tall, maana inawezekana ndio anaechezesha draft, muhimu ni kutowaamini wote hapo, hata hayo majeshi ya Congo ni hovyo na wamejaa pua ndefu kibao, muhimu zaidi
kuwapiga ikiwezekana tulitume mpaka Kigali ili nao wasikie raha ya kufiwa
 
Tutathimini upya uhusiano wetu na Rwanda, kwann mauaji ya Majeshi yetu yanatokea sana kipindi hiki?? Wanyumbani aliona mbali xana sijui imekuaje kipindi hiki
 
hao wanajeshi wa UN wakifika Congo hawajishughulishi na kulinda amani.....wanatafuta madini na wao wanakuwa hawana tofauti na waasi, huo ndio ukweli mchungu hao wameingiliana kwenye magendo yao ya kutafuta madini na hao waasi.....
 
Kwann tusipeleke drone zetu zikaenda piga hii mutu aiseeeee. tunaendelea kuonyesha vifaa vyetu kwenye sherehe za kitaifa badala ya kufanya kazi zilizokusudiwa. i heard tuna drone kadhaaaaπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰
 
siwaelewi wanaokejeli vifo vya vijana wetu na siwaelewi wanaoshangaa vifo vya mashujaa wetu ,walikuwa wanajua exactly nini wanafanya kule and what ti expect lakini hao wanaokejeli hawajui maana ya wanajeshi
 
Kwann tusipeleke drone zetu zikaenda piga hii mutu aiseeeee. tunaendelea kuonyesha vifaa vyetu kwenye sherehe za kitaifa badala ya kufanya kazi zilizokusudiwa. i heard tuna drone kadhaaaaπŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

you heard!!!!!?
 
hao wanajeshi wa UN wakifika Congo hawajishughulishi na kulinda amani.....wanatafuta madini na wao wanakuwa hawana tofauti na waasi, huo ndio ukweli mchungu hao wameingiliana kwenye magendo yao ya kutafuta madini na hao waasi.....

Mmaaaa!!!!!umetufungua macho dada ahsante
 
Ifike wakati mabeyo azizuie peace keeping mission
 
Watu wanafikiri kule congo madini ni kujichotea tu.

Kule kuna well established company za kiisrael ambazo ziko listed kwenye stock exchange za london etc.
Kama kuna madini yanavusha labda ni yale ya kutoka kwa wachimbaji wadogo,
kuna muisrael yeye ndo ananunua madini,hasa almasi karibu zote kutoka kwa wachimbaji wadogo,
sidhani kama Rwanda bado anachukua madini kwa style ile ya miaka ya 96
 
Watu wanafikiri kule congo madini ni kujichotea tu.

Kule kuna well established company za kiisrael ambazo ziko listed kwenye stock exchange za london etc.
Kama kuna madini yanavusha labda ni yale ya kutoka kwa wachimbaji wadogo,
kuna muisrael yeye ndo ananunua madini,hasa almasi karibu zote kutoka kwa wachimbaji wadogo,
sidhani kama Rwanda bado anachukua madini kwa style ile ya miaka ya 96
 
Cc The Bold
 
Makamanda wetu mnapokua vitani acheni stori, kama mnavokua hapa bongo, huko ambushi ni mda wowote, kaeni mkao wa vita adui akijishaua ueni bila huruma bora lawama kuliko fedheha, iiiiiiihihihihihihiihi.... Poleni makamanda wetu
 
Kagame hawezi kuwa mshauri wako wa karibu then ukabaki salama haiwezekani.
Watusi wanaitawala Kongo kwa msaada wa kagame na mseven ambao wote ni wakaribu sana kwa Dereva wa pulling.
Ikiwa watz twaweza kuvumilia nchi yetu kuongozwa na raia wa kigeni basi tuwasihi wakongo Wa vumilie ikiwa hatuwezi basi tuwasaidie kuondoa utawala huo. Tutaona mengi.
 
Huu ndio usenge wa mwisho kabisa. Kundi lolote na likiwa na viongozi wenye majina ya kiislamu basi linahusishwa na dini ya uislamu. Lakini tumeshuhudia Australia wameamua kufirana lakini hakuna kuhusishwa na dini.
Mashoga wengi wapo Manzese, Temeke na Magomeni nadhani umeshaelewa ni kina nani wanapenda mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…