Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

Unavo elezea sasa kama ni simpo procidure kwenda huko kambini 😂😂😂😂
 
Kama wengine wamekulipa na mmoja ndiye anakusumbua kwanini useme ni tabia yao wakati aliyekufanyia ni mmoja una shida wewe Kama sio wivu na roho mbaya basi ushawahi kufanyiwa kitendo kibaya umeamua kuwachafua
Hauna akili wew
 
Wewe inakuuma nini!



MAGUFULI4LIFE.
 
Unavo elezea sasa kama ni simpo procidure kwenda huko kambini 😂😂😂😂
Kuna ugumu Gani?Jeshi la sasa hivi ni la wasomi,achana na jeshi la kizamani ,Lile lililopigana na Nduli.Mimi Lugalo baracks, Ngome (Upanga),Kule kibaha Kwa Mathias (Msigani).Mara kadhaa nimeingia huko 🤔
 
Mdomo ukusaidie kula hayo mengine utaharibu weye
 
Sipati picha hicho kisasi chake..
 

Mimi nilienda paka jeshini kwao lakini wapi wananizungusha tu ooh mvumilie mfanye kama ndugu yako
Ulienda ukiwa na vielelezo vyote?
 
kama hawarudishi, usiwakopeshe.
 
Kuna ugumu Gani?Jeshi la sasa hivi ni la wasomi,achana na jeshi la kizamani ,Lile lililopigana na Nduli.Mimi Lugalo baracks, Ngome (Upanga),Kule kibaha Kwa Mathias (Msigani).Mara kadhaa nimeingia huko 🤔
Duuh....
 
HATARI SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…