Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 804
- 2,131
yani nimesoma comment zenu nimebaki nacheka tu...mnaongea vitu ambavyo hamna hata uhakika navyo bac tu mnajitungia....hakuna mwanajeshi anayelipwa tarehe 15...nyinyi mliozoea kukopesha wanajeshi kopeshen hukohuko mkishndwana mkaja kambini tunaanza na ww uliemkopesha kwanza coz hatukukutuma umkopshe!!...then huo ujinga wa kukopa unafanywa na baadhi ya wanajeshi then mna tujumuisha woooteeeeeeeeee..achen hizo