Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

yani nimesoma comment zenu nimebaki nacheka tu...mnaongea vitu ambavyo hamna hata uhakika navyo bac tu mnajitungia....hakuna mwanajeshi anayelipwa tarehe 15...nyinyi mliozoea kukopesha wanajeshi kopeshen hukohuko mkishndwana mkaja kambini tunaanza na ww uliemkopesha kwanza coz hatukukutuma umkopshe!!...then huo ujinga wa kukopa unafanywa na baadhi ya wanajeshi then mna tujumuisha woooteeeeeeeeee..achen hizo
 
yani nimesoma comment zenu nimebaki nacheka tu...mnaongea vitu ambavyo hamna hata uhakika navyo bac tu mnajitungia....hakuna mwanajeshi anayelipwa tarehe 15...nyinyi mliozoea kukopesha wanajeshi kopeshen hukohuko mkishndwana mkaja kambini tunaanza na ww uliemkopesha kwanza coz hatukukutuma umkopshe!!...then huo ujinga wa kukopa unafanywa na baadhi ya wanajeshi then mna tujumuisha woooteeeeeeeeee..achen hizo
Kambini waje kufanya nini

Ukweli wanajeshi polisi na wavaa uniform wote wanapenda mambo ya dezo dezo tu

Ova
 
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Walinzi wa nchi jmn aibu kwa nani
 
yani nimesoma comment zenu nimebaki nacheka tu...mnaongea vitu ambavyo hamna hata uhakika navyo bac tu mnajitungia....hakuna mwanajeshi anayelipwa tarehe 15...nyinyi mliozoea kukopesha wanajeshi kopeshen hukohuko mkishndwana mkaja kambini tunaanza na ww uliemkopesha kwanza coz hatukukutuma umkopshe!!...then huo ujinga wa kukopa unafanywa na baadhi ya wanajeshi then mna tujumuisha woooteeeeeeeeee..achen hizo
Sawa lakini baada ya kuja mgulani mara mbili leo ndo kanilipa pesa yangu cash
 
yani nimesoma comment zenu nimebaki nacheka tu...mnaongea vitu ambavyo hamna hata uhakika navyo bac tu mnajitungia....hakuna mwanajeshi anayelipwa tarehe 15...nyinyi mliozoea kukopesha wanajeshi kopeshen hukohuko mkishndwana mkaja kambini tunaanza na ww uliemkopesha kwanza coz hatukukutuma umkopshe!!...then huo ujinga wa kukopa unafanywa na baadhi ya wanajeshi then mna tujumuisha woooteeeeeeeeee..achen hizo
Achana nao hao. Hata serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania yenyewe inadaiwa isije kuwa sisi.
 
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Samahani Mkuu, unaweza kuja PM kunitajia jina au namba ya huyo Mwanajeshi aliyekopa na hakulipa?
 
Mazoezi na vyakula uhakika.kwa hiyo bao linakuja likiwa standard..nina classmates zangu watatu wajeda mmoja ana watoto 5,mwingine wa 4 ,mwingine tena wa 4...wote tumezaliwa BTW 95-96
Duuuh, kumbe we Mdg wangu kwa miaka kadhaa

Nisalimie kaka yako hapa
 
Kabla ya kumkopesha mwanajeshi;Unatakiwa ufahamu namba yake ya utambulisho jeshini na Jina lake kamili(Kitambulisho cha taifa/mpiga kura kinahusika,manake mtaani hamkosi kuitana baba fulani bila kujua Jina halisi),kikosi/kambi aliyopo,halafu unamsainisha kwenye deni lake.

Siku ikitokea anazungusha kulipa usimpeleke polisi bali nenda kwenye kikosi chake,ukutane na wakubwa wake,kule watamuadabisha na utapata haki yako.Jeshi la Wananchi ni moja ya taasisi zenye nidhamu sana kwa ujumla wake [emoji848]
🫡

Umesema yote!
 
Pamoja na kupewa pesa tarehe 15....nachingwea huku wananichekeshaga wakipata mshahara basi jua mademu wote wao hupati hata mmoja..wakienda bar hawajuagi kununuliana pombe kila mtu anajinunulia kreti lake...cha ajabu wanapanga Lodge moja unakuta chumba kimoja wanajeshi 6 hawalali hiko chumba ni kwa ajili ya kupokezana kwenda kupiga miti..kuna vitu vinachekesha sana karibu nachingwea Zurich pub,y2k,kidimbwi ujionee vituko vyao...mimi pia ni limbukeni wa pesa ila kwao asee hapana ubabe wanaofanyiwa wasimamizi wa guest sio poa
Acha uduwanzi na upimbi tabia mbaya za wachache zisikuaminishe kuwa wote tabia zao ziko hivyo
 
Back
Top Bottom