Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

Kwanini wanajeshi wanapenda sana kukopa vitu ovyo?

Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Majibu yako na nakuomba uyaamini yote kwa 100% na kuanzia hapa Usisumbuke nao tena.....

1. Washamba
2. Wazinzi
3. Malofa
4. Wana Akili za Kipa Katoka
5. Elimu duni
6. Malezi mabovu
7. Kuiga / Kuigana

Na hapa GENTAMYCINE nimewalenga hawa wa chini ( Non Commissioned Officers tu ) ambao ndiyo wana huu Upopoma ( Upumbavu ) ila wale Commissioned Officers ni Makini, Werevu, Wastaarabu, Wanajitambua na wana Maendeleo na hata Wakikopa bado watafanya Jambo la maana Kimaendeleo na Kiuchumi kwa Familia zao.

Kila la Kheri Mkuu.....!!
 
We kwanini umkopeshe mwanajeshi na unafahamu tu kwamba ni mtu ambae maisha yake yapo rehani kukulinda wewe?

Unamkopesha akienda vitani akafia huko nani atakulipa?
 
Majibu yako na nakuomba uyaamini yote kwa 100% na kuanzia hapa Usisumbuke nao tena.....

1. Washamba
2. Wazinzi
3. Malofa
4. Wana Akili za Kipa Katoka
5. Elimu duni
6. Malezi mabovu
7. Kuiga / Kuigana

Na hapa GENTAMYCINE nimewalenga hawa wa chini ( Non Commissioned Officers tu ) ambao ndiyo wana huu Upopoma ( Upumbavu ) ila wale Commissioned Officers ni Makini, Werevu, Wastaarabu, Wanajitambua na wana Maendeleo na hata Wakikopa bado watafanya Jambo la maana Kimaendeleo na Kiuchumi kwa Familia zao.

Kila la Kheri Mkuu.....!!
Naunga mkono hoja kaka 👍👏
 
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Hao ni polisi. Hakuna mwanajeshi wa hovyo namna hiyo
 
Pamoja na kupewa pesa tarehe 15....nachingwea huku wananichekeshaga wakipata mshahara basi jua mademu wote wao hupati hata mmoja..wakienda bar hawajuagi kununuliana pombe kila mtu anajinunulia kreti lake...cha ajabu wanapanga Lodge moja unakuta chumba kimoja wanajeshi 6 hawalali hiko chumba ni kwa ajili ya kupokezana kwenda kupiga miti..kuna vitu vinachekesha sana karibu nachingwea Zurich pub,y2k,kidimbwi ujionee vituko vyao...mimi pia ni limbukeni wa pesa ila kwao asee hapana ubabe wanaofanyiwa wasimamizi wa guest sio poa
Hao ni wanajeshi wa vyeo vya chini ambao elimu yao ni form4. Maofisa wa vyeo vya juu huwa wanajitambua na ni wastaarabu sana.
Maofisa hawanaga ubabe wa kishamba wala ulimbukeni huo.

We chunguza elimu na vyeo vyao, ni wale wenye V
 
Hamna nyie mna haaminika ndo maana mna tuzaa na mnatupenda saana bila nyie sisi tusingekuwepo duniani mimi nilimkuta jamaa yupo dukani na mke wangu anamlazimisha kukopa akamkopesha ile anatoka nje kufungua friji ampe soda akamgusa makalio asee nikivo ona kwanza alishtuka nikaenda kumpiga ngumi moja nzito hadi akatoa damu ulikuwa ugomvi mkubwa mno yaani
Ulifanya jambo LA msingj sana
 
Kuwa na adabu na wanajeshi wetu. We unazungumzia wa zamani. Wa kisasa wana elimu zao na wanalipwa vizuri.
**** Madaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k

Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
Noma sana
 
Hao ni wanajeshi wa vyeo vya chini ambao elimu yao ni form4. Maofisa wa vyeo vya juu huwa wanajitambua na ni wastaarabu sana.
Maofisa hawanaga ubabe wa kishamba wala ulimbukeni huo.

We chunguza elimu na vyeo vyao, ni wale wenye V
Unawasoma wanajeshi kwenye magazine boss kaa nao utawajua hamna kitu pale
 
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Nani Kasema wanepwa Pesa Kubwa Kila Mwezi ?
Moja ya Kada yenye Njaa Kali Sana Nchini ni hao Jamaa
 
Kuwa na adabu na wanajeshi wetu. We unazungumzia wa zamani. Wa kisasa wana elimu zao na wanalipwa vizuri.
**** Madaktari, wanasheria, Engineers, Land officers, Architects, nurses, Geologists, Walilmu n.k

Hawa wote wanalipa almost double salaries kwa majukumu yao ya Kitaalum then maslahi ya kijeshi
Hakuna Kitu kama hicho
Wanalipwa Kwa Ranks, Pesa Mbuzi Sana
Ni Vile WA Tanzania wengi Malimbukeni Wanawaabudu wanajeshi
 
Hii imekuwa kero sana baadhi ya wanajeshi wamekuwa wakikopa madukani na hawarudishi vitu na pengine hutumia ubabe wao kutokulipa hata unakuta ukimpeleka polisi ana achiwa tu maana hutumia kazi yao kujiona wakubwa kwa wenzao yaani wanapewa pesa kubwa kila mwezi lakini huishia kwenye pombe na kukopa hovyo sana wanajeshi badilikeni
Kwani Sir Mpwayungu kijiji analizungumziaje hili la hawa wajomba?
 
Nina marafiki polisi,uhamiaji. A zimamoto na wanajeshi wanalipwa allowance nyingi katikati za kisheria tena kama una familia ndo unapewa hela nzuri maana asiye na familia anapewa 300000 hapo baada ya week unapokea mshahara ila card zao zimeshikiliwa micro credit
Wanakopa mikopo kausha damu na pasua kichwa [emoji1787]
 
Unawasoma wanajeshi kwenye magazine boss kaa nao utawajua hamna kitu pale
Wa Tanzania wengi ni Mbumbumbu
Wakiwaona wanajeshi wanahisi wameona Kitu cha Maana Sana na kuanza kuwaabudu.
Ndio Maana kuna Mmoja anasema Mwanajeshi alianzisha Mazoea na Mkewe halafu akawa anajikesha
 
Back
Top Bottom