AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Shalom waisrael wenzangu!
Kama umebahatika kuhudhuria projects za wanaJF mara kwa mara mfano ile ya kutembelea mahosptalini nadhani hautapata shida kuthibitisha hoja yangu,
Je wekundu huu wa macho kwa wanaJF wengi unatokana na nini (Females +males) au ndio kusema kukesha kwenye screen za simu na laptop wakibrowse JF siku nzima?
Au bangi viroba na pombe ndiyo chanzo?,
Hapo kwenye ufupi sina jibu wala assumption.
Kama umebahatika kuhudhuria projects za wanaJF mara kwa mara mfano ile ya kutembelea mahosptalini nadhani hautapata shida kuthibitisha hoja yangu,
Je wekundu huu wa macho kwa wanaJF wengi unatokana na nini (Females +males) au ndio kusema kukesha kwenye screen za simu na laptop wakibrowse JF siku nzima?
Au bangi viroba na pombe ndiyo chanzo?,
Hapo kwenye ufupi sina jibu wala assumption.