Zombi Mweusi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2017
- 841
- 1,755
Umenifanya nichekeMkuu una uhakika wino wako hauvuji kwenye simu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifanya nichekeMkuu una uhakika wino wako hauvuji kwenye simu?
Ukizingatia polisi wetu ni milenda wanachati muda wote ndio maana Hamza kawachukulia bunduki2Tanzania
Hii nchi inahitaji kina hamza kama kumi WATALETA HESHIMA SANA
mashujaa hufa. huwa hawakamatwi.
Polisi wetu wa singesema sababu sana sana wangempakazia na pengine wangemlazimisha amtaje Mbowe
Ukizingatia polisi wetu ni milenda wanachati muda wote ndio maana Hamza kawachukulia bunduki2
MAJINGA KABISAAUkizingatia polisi wetu ni milenda wanachati muda wote ndio maana Hamza kawachukulia bunduki2
Mojawapo ya sababu lukuki za kuchukiwa jeshu hili ni kuwa mkono wa kulia wa CCM (kutumika kutesa wapinzani)..Katika pitapita zangu mitaani nimeshtushwa sana na wananchi badala ya kuhuzunika kwa gaidi kuuwa polisi wetu na badala yake wamegeuka wanawalaumu pili kwa matendo yao ya kubambikizia kesi,dhuluma,uonevu,kuchochea chuki,kuuawa raia wawapo mahabusu nk. Hii inaashiria kiti gani mbona si kawaida?
Napata mshituko mkubwa sana kuona rais wamekosa uzalendo wa kuliamini jeshi lao kiasi hiki. Polisi katika hili wajitafakari sana hii siyo kawaida, sasa watafanyaje kazi ikiwa raia hawatawapa Tena ushirikiano?
Lipo tatizo nadhani, hili jeshi linahitaji Reformation tena ya kikatiba kabisa. Recruitment ya polisi iwe ya hali ya juu sana, jeshi kulaumiwa kiasi hiki si kawaida.
Hii ni kuonesha kwamba raia hawana imani na vyombo vya dola, si polisi, jeshi hata mahakama zetu ni dhuluma tu. Na vyote hivyo vinaendeshwa kisiasa tu. Kwa vile serikali iliyopo inategemea vyombo vya dola kuilinda, na serikali inalinda uhalifu wao.Katika pitapita zangu mitaani nimeshtushwa sana na wananchi badala ya kuhuzunika kwa gaidi kuuwa polisi wetu na badala yake wamegeuka wanawalaumu pili kwa matendo yao ya kubambikizia kesi,dhuluma,uonevu,kuchochea chuki,kuuawa raia wawapo mahabusu nk. Hii inaashiria kiti gani mbona si kawaida?
Napata mshituko mkubwa sana kuona rais wamekosa uzalendo wa kuliamini jeshi lao kiasi hiki. Polisi katika hili wajitafakari sana hii siyo kawaida, sasa watafanyaje kazi ikiwa raia hawatawapa Tena ushirikiano?
Lipo tatizo nadhani, hili jeshi linahitaji Reformation tena ya kikatiba kabisa. Recruitment ya polisi iwe ya hali ya juu sana, jeshi kulaumiwa kiasi hiki si kawaida.
Kwa jinsi somo alilotoa HAMZA kwa polisi lilivyopokelewa na raia wema wanaodhulumiwa na polisi kila uchao, tutarajia akina HAMZA wengine kujitokeza. Serikali inatakiwa kuliangalia jambo hili kwa umakini mkubwa. Wakiipendelea polisi kwa sababu inawaweka madarakani, watavuna walichopanda.Wakipatikana akina Hamza kumi polisi watahesihu katiba na raia.
Amini mkuu, kwa jinsi raia wema walivyolipokea tukio hili, watajitokeza wengine siku siyo nyingi. Polisi wakae chonjo. Kilangila.Tanzania
Hii nchi inahitaji kina hamza kama kumi WATALETA HESHIMA SANA
Tatizo theory hii inakosa logic. Naamini kuna kikosi maalum ndio kilienda baada ya tukio kuanza na wao kupewa taarifa. Sasa ukisema walimmaliza asitoe siri basi inamaana huko polisi kila mtu alikuwa anajua kuwa kuna polisi wamemdhulumu Hamza?! Hilo linaingia akilini?!Zaid ya yote waliogopa angeweza akawa anapiga kelele mahakamani kuwa polisi walimdhulumu madini yake Siri ikafichuka...ndo maana wakaamua wamalizane naye mazima
Nimlaumu Nani Hamza?Halafu ukipigwa ulaumu... Wachokozi bhana!
Tatizo theory hii inakosa logic. Naamini kuna kikosi maalum ndio kilienda baada ya tukio kuanza na wao kupewa taarifa. Sasa ukisema walimmaliza asitoe siri basi inamaana huko polisi kila mtu alikuwa anajua kuwa kuna polisi wamemdhulumu Hamza?! Hilo linaingia akilini?!
Tatizo theory hii inakosa logic. Naamini kuna kikosi maalum ndio kilienda baada ya tukio kuanza na wao kupewa taarifa. Sasa ukisema walimmaliza asitoe siri basi inamaana huko polisi kila mtu alikuwa anajua kuwa kuna polisi wamemdhulumu Hamza?! Hilo linaingia akilini?!
Sijui hapa kwetu, wenzetu wanakitu inaitwa “ Rules of engagement “Inasemekana mkuu wa operation Kanda maalumu alihusika kwenye hyo dhuluma....sasa inawezekana pia kuwa alitoa maagizo kuwa Hamza asipatikane akiwa hai...