Kwanini wanamuziki wengi wa Marekani hawatoi nyimbo zenye maneno matamu ya mapenzi kama ilivokuwa miaka ya 1980's?

Kwanini wanamuziki wengi wa Marekani hawatoi nyimbo zenye maneno matamu ya mapenzi kama ilivokuwa miaka ya 1980's?

Diddy alikuwa na mpango wa kuanzisha kundi lituletee ile miondoko ya RnB miaka ya nyuma, bahati mbaya majanga yameanza kumuandama na mipango itakuwa imekufa.
 
Nyimbo za US hivi sasa ni kusifu gari, madawa, wizi, umalaya, uhalifu n.k
 
Japo nyimbo nyingi hasina depth na lyrics kali kama ballads lakini nyimbo za mapenzi bado zipo mkuu.

Msikilize Ed Sheeran, summer Walker, Adele, Ella Mai, Muni Long, Bruno Mars "Silk sonic" Etc..

Wengi wanaimba RnB Ila zile ballads kama za kina whitney, luther, Celine zimepotea kiasi. Kwa sasa anaziimba adele tu
 
Ni wewe tu umezeeka, alafu kingine lazima ujue ile rnb na soul ya mpka miaka ua 2000 haipo tena...trend imehamia kwenye pop na country! Ukitaka maneno matamu ya mapenzi basi sikiliza country, japo pop na makelele yake no wanajitahidi!
Na hamna watu wanaandika kama hawa wamarekani!
Wewe umemaliza Mimi sitoweka neno,mtoa post sio mtu wa mziki,wakina Sabrina carpenter,Nikki,Ella Mai,Dua Lipa,wanatoa kazi Kila siku,yeye anamskiliza Doja cat
 
Kama umepata wasaa wa kuwasikilizq akina Trisha Yearwood, Faith Hill, Carrie Underwood na Reba McEntire na hukuwaelewa ndo basi tena [emoji3]
Country music Ndio mziki ambao umebaki iuwa mziki wa heshima na ambao haujavamiwa na wapuuzi
 
ushoga umeharibu vitu vingi sana, unakuta mwanamziki alishaingia huko, sasa atamuimbia nani nyimbo zenye maudhui ya kuvutia?
 
Habarini,

Miaka ya 1980 kulikuwa na nyimbo kali za mziki zilizo romantic, kama vile stuck on you Lionel Richie, all my life -kci Jojo, endless love, end of the road Boyz to men, hard to say am sorry, Chicago, kina peabo Bryson na Roberta etc

Sahivi nyimbo za aina hiyo mbona hazitungwagi tena??
I think unaongelea different types of music. Even in the 80s sio track zote zilikuwa za love, zipp za street hustling pia.
 
Japo nyimbo nyingi hasina depth na lyrics kali kama ballads lakini nyimbo za mapenzi bado zipo mkuu.

Msikilize Ed Sheeran, summer Walker, Adele, Ella Mai, Muni Long, Bruno Mars "Silk sonic" Etc..

Wengi wanaimba RnB Ila zile ballads kama za kina whitney, luther, Celine zimepotea kiasi. Kwa sasa anaziimba adele tu
Hawajafika levels za malegend akina James Ingram , Boyz to men , Phil Collins , Whitney ,Patcy Cline , Michael Bolton , Steve wonder nk
Mziki ulikuwa umepangika kimashairi ,ujumbe wa kuelimisha , sauti tamu na instruments zinadunda sauti za kueleweka, sio sasa hivi wanajiimbia upuuzi tu ilimradi .
Ngoja nikupe ladha kidogo ..
Kasikilize ngoma za hao malegends ,halafu rudi hapa utoe mrejesho ....

 
Hawajafika levels za malegend akina James Ingram , Boyz to men , Phil Collins , Whitney ,Patcy Cline , Michael Bolton , Steve wonder nk
Mziki ulikuwa umepangika kimashairi ,ujumbe wa kuelimisha , sauti tamu na instruments zinadunda sauti za kueleweka, sio sasa hivi wanajiimbia upuuzi tu ilimradi .
Ngoja nikupe ladha kidogo ..
Kasikilize ngoma za hao malegends ,halafu rudi hapa utoe mrejesho ....

View attachment 3003033
Brother legends ni legends lakini pia hizo ballads na RnB zinapambana sana music market kwa sasa. Ila bado kuna wasanii wanaotoa quality music ambayo hata ingetoka 1980's bado zingekuwa ni hit songs

Zijaribu hizi, zikiwa mbaya niambie, kuanzia kwenye lyrics hadi vocal delivery

1. Ed Sheeran - perfect & Thinking Out Loud
2. Silk Sonic - leave the door open
3. Adele - when we were Young & easy on me
4. Beyonce & miley - most wanted
5. Zayn - Entertainer
6. John Legend - all of me
 
........ honestly kizazi kilichoenjoy muziki mzuri ni miaka ya 90, 80, na 70, hii miaka ya Sasa tuna waimbaji tu na sio wanamuziki, angalau mwanzoni mwa miaka ya 2000 ngalau walimalizia akina backstreet boys, Westlife, joe Thomas, usher, kci and Jojo etc ila Kwa miaka ya Sasa wimbo mkali ni mpaka usimuliwe kama wanvyotaja wadau hapo juu, kumpata mwanamuziki kama Judy boucher leo hii sijui labda ngoja tusubiri......
 
Mi namuongezea

Love me like u do-Ellie Goulding
I dont wanna live forever -Zayn & Taylor Swift
Capital letters -Hailee Steinfeld
For you -Liam Payne & Rita Ora
Hold my Hand - Jess Glynne
Uzuri uzi haujafika mbali, napenda nimjazie hizo nyimbo zipo, na zinaimbwa vizuri zaidi. Maybe yeye anafatilia hizo nyimbo za matusi ila souls bado zipo na zinatoka kila kukicha. Marekani , uk hazijawahi chacha nyimbo za soul.
Mfano ukiwa uingereza hizo nyimbo za kufoka foka unaweza usizisikie kabisa kwenye radio zao, ukiwa kwenye gari. Au hata nyumbani unaangalia TV
 
Inategemea ila mziki mzuri ni wa zamani sikupingi...

Siku hizi hakuna good music sana sana ni beat (Instrumental) ikiwa kali tu baaasi umemaliza..

Bongo tuna Mwanamziki kaimba FUKUZA KUNGURU.. na bado anapata mashabiki.
 
Habarini,

Miaka ya 1980 kulikuwa na nyimbo kali za mziki zilizo romantic, kama vile stuck on you Lionel Richie, all my life -kci Jojo, endless love, end of the road Boyz to men, hard to say am sorry, Chicago, kina peabo Bryson na Roberta etc

Sahivi nyimbo za aina hiyo mbona hazitungwagi tena??
Kizazi kishabadilika. Mfano mzuri hata hapa bongo nyimbo siyo zile za Nigger J aka professor J ya Chemsha bongo.
Usher raymond - My Boo
 
Mapenzi yenyewe siku hizi hayana utamu wowote sasa iweje watoe nyimbo za kitu kisichokiwepo
Upo juu unajitafuta na kifo cha mende, mwanamke anawaza ataondoka na shiling ngapi.
Unapeleka moto kwanza anakuambia anadaiwa 20,000 anatakiwa apeleke leo leo
 
Back
Top Bottom