Kwanini wanamziki wa Twanga Pepeta wamepukutika?

Hamis Mkali,babu chuchu na mkali wa rap Mau Santiago! Chuchu sound niliwakubali sana hapa Ndio Gaby Katanga alipiga drams kame kama sio vinanda sikumbuki.
 
Gabby Kattanga Yero Masai alifariki mwishoni mwa miaka ya 1990es kwa ajali ya gari Kinondoni Studio
 
Hata kwaya za makanisa ni hivyo hivyo
 
Kuna Yule mwingine wa kuitwa Queen Aliyah alikuwa mnenguaji wa Tam Tam.
Sijuwi nae yupo wapi kwa sasa,

Mwaka 2005 nilionana nae sehem magomeni.

Nikatongoza,,

Queen Aliyah alikuwa na domo fulani la kunyonya ub*oo*,
Kiuno nyigu..

Nikapeleka gheto lakini sikumla siku ile..

Alinipa ahadi ya kuja akipata chance..
Hawa wacheza show muda wao mzr wa kuenjoy ni mchana,

Usiku wote wapo busy Sana..

So alinipangia siku moja wao wanapumzika,,

Hana show wala mazoezini hawaendi.
Sasa sijuwi alinizuga au ni kweli,

Nikakubaliana nae,,
nikatoa kibunda cha noti,nikampa.

Akaondoka zake.

Baada ya siku mbili nimelala saa nane usiku nasikia muungurumo wa gari hapo nje.

Mara nasikia kuna mtu anagonga dirisha la chumbani kwangu.
Kutoka,,

Ni yule Queen Aliyah.

"Basi powa kesho "
Queen Aliyah akiwaaga wenzie aliokuwa nao kwenye hilo bus lililomleta pale kwangu..

Nilishangaa Sana,
Kuja bila ahadi halafu alisema usiku anakuwa busy.?

Nikaona hii ni hatari sasa,

Ndani nina mtoto mzr sana wa chuo fulani,,
tunafanya discussion ya Mambo ya mapenzi..

Basi nikaona huyu kulala nae ni noma .,
Nina mwanamke mwingine ndani.

Niliingia ndani nikabadili nguo,
nikatafuta tax nikampeleka kwao ,

alikuwa anaishi maeneo ya magomeni karibu ya annex pub mtaa wa kibondo..

Baada ya siku mbili tatu,
nikajakupata taarifa zake,
nikampotezea sikumla tena.

Queen Aliyah nae ni wale wale..

Mungu alinilinda kwa mara ingine..
 
Njooooni kwenye Shooo za Twanga kwa sasa imesheheni karbia Wanamuziki wengi Wamerudi Mzigoni. Leo Jumapili mapemaaaa GWAMBINA LOUNGE pale TCC Chang'ombe watu wazima Lwiza, Choki, Diouf, Chokoraa, Chalz Baba nk nk wanakuwa wanawasha moto ile mbaya.
 
Juzi kati nilikua mwananyamala na mshikaji wangu maeneo kisiwan akaniambia hivi unajua Ally choki yuko majalala kinoma? Akanambia amepanga chumba(kachangiwa na rafiki zake) tena hajaweza kununua kitanda ameweka godoro chin na kapeti analala..je wasanii wanafanyaga stunts za maisha yao au vipi? Ali choki leo wakulala chin?
 
Kuna
Jumapili leo wafate pale mawasiliano park ..wana warembo watatu tu wanajitahidi ila huyo mmoja ana miuno ya kumfanya putin awasamehe Ukraine
Aisee hiyo pisi Ina figa Kali na miuno hatari sana no mzuri kwakweli.
 
Maisha ndivyo yalivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…