Bruno Jewel
New Member
- Sep 28, 2023
- 4
- 2
Kumekuwa na tabia inayoendelea kushika kasi kwenye nchi yetu ya wananchi kutaka au kuwasilisha kero zao na matatizo yao moja kwa moja kwa rais, wakati huo viongozi wa mikoa na wilaya wapo na wameaminiwa na rais kumuwakilisha.
Swala hili limeshika kasi sana katika nchi yetu ya Tanzania. Swali ni; je viongozi wa mikoa na wilaya mbali mbali wamefeli kutekeleza kazi zao au hawawatendei haki wananchi? Je, hili swala linaonyesha taswira gani kwa nchi kwa ujumla?
Swala hili limeshika kasi sana katika nchi yetu ya Tanzania. Swali ni; je viongozi wa mikoa na wilaya mbali mbali wamefeli kutekeleza kazi zao au hawawatendei haki wananchi? Je, hili swala linaonyesha taswira gani kwa nchi kwa ujumla?