Kwanini wananchi wengi wanadai Masoko yanayoungua hayaungui kwa bahati mbaya bali yanachomwa?

Kwanini wananchi wengi wanadai Masoko yanayoungua hayaungui kwa bahati mbaya bali yanachomwa?

Dhana hii ndiyo inayozungumzwa na Watu wengi mno, kutokana na mazingira yalivyo inaaminika kwamba masoko haya yanapigwa kiberiti, japo haijatajwa hasa ni yupi anayefanya unyama huo.

Lengo langu si kufanya uchochezi, nilichozingatia ni ile methali isemayo MFICHA UCHI HAZAI au MFICHA MARADHI MAUTI HUMUUMBUA, hii ni kwa vile 99% ya raia hawaamini kama moto huu ni ajali, sasa tukiacha hali hii bila kujadili hapa JF na kutafuta ufumbuzi inaweza kuleta mkanganyiko mkubwa sana.

Jambo hili ni lazima lijadiliwe ili kupata Ukweli. Je, ni kweli masoko haya yanachomwa moto au ni ajali tu za kawaida?

Naomba kuwasilisha
Shida ni pale masoko hasa ya wamachinga kuungua kipindi hiki cha Mama
 
Kwenye kuwarejesha ndo tutahakiki lilichomwa au liliungua ni kama kuna kakikundi kamegundua vibiashara vya kisupamarket kinatamani maeneo yaliyochangamka tayari au kinataka kuwalazimisha wananchi wazoee biashara zao waende kwao. Wanatafuta uti wa mgongo wa kujiegemeza
 
Eti tume ije na majibu mazuri, ni kweli watakuja na majibu mazuri ya kuwapoteza ufahamu wananchi, hapo utaambiwa tu ilitokea hitilafu ya umeme
Kumbe ukweli unajulikana kabisa kwamba ni hujuma hizo za watu fulani kwa maslahi yao fulani na wanyonge ndio wanaoumia
[emoji38][emoji38]
 
Dhana hii ndiyo inayozungumzwa na Watu wengi mno, kutokana na mazingira yalivyo inaaminika kwamba masoko haya yanapigwa kiberiti, japo haijatajwa hasa ni yupi anayefanya unyama huo.

Lengo langu si kufanya uchochezi, nilichozingatia ni ile methali isemayo MFICHA UCHI HAZAI au MFICHA MARADHI MAUTI HUMUUMBUA, hii ni kwa vile 99% ya raia hawaamini kama moto huu ni ajali, sasa tukiacha hali hii bila kujadili hapa JF na kutafuta ufumbuzi inaweza kuleta mkanganyiko mkubwa sana.

Jambo hili ni lazima lijadiliwe ili kupata Ukweli. Je, ni kweli masoko haya yanachomwa moto au ni ajali tu za kawaida?

Naomba kuwasilisha
Huu moto ni ajali za kawaida.

Hakuna ambaye anakusudia kuchoma moto haya masoko ili yaungue watu wapate hasara.

Ndio maana hakuna ripoti yoyote iliyotolewa mpaka hivi leo kuhusiana na vyanzo mbalimbali vya moto kwa sababu jakuna mchawi zaidi y ajali za kawaida tu.

Wanaoamini k2amba moto umetokana na mbinu za watu hao ndio watupe full information.
 
Kuna report ya moto umewahi ona? Itakuwa muujiza tukipewa. Wanajua Watanzania ni wa kusahau.
mkuu swala likishapoa hakuna mtu atasimama jukwaani kuja kukweleza kua ilikuwa hivi ilikuwa vile ila report ukiihitaji utaipata mbona wengi huzipata tuu. pia si rahisi zisomwe kwenye vyombo vya habari maana hata hivyo mbombo vya habari kwao inakuwa ssi habari yenyemvuto kwa wengi.
 
ngoja tuone kamati inakuja na nini, tuliofuatilia vyombo mbali mbali vya habari nadhani tutakuwa na kitu hasa tukikumbuka ushuhuda wa mhanga mmoja ambaye yeye alisema yu tayari kuwa shahidi na aliona tukio zima
Kama ulimboka hakuwahi sema chochote baada ya kupona tusitegemee chochote kwa mashuhuda wa hili.
 
Dhana hii ndiyo inayozungumzwa na Watu wengi mno, kutokana na mazingira yalivyo inaaminika kwamba masoko haya yanapigwa kiberiti, japo haijatajwa hasa ni yupi anayefanya unyama huo.

Lengo langu si kufanya uchochezi, nilichozingatia ni ile methali isemayo MFICHA UCHI HAZAI au MFICHA MARADHI MAUTI HUMUUMBUA, hii ni kwa vile 99% ya raia hawaamini kama moto huu ni ajali, sasa tukiacha hali hii bila kujadili hapa JF na kutafuta ufumbuzi inaweza kuleta mkanganyiko mkubwa sana.

Jambo hili ni lazima lijadiliwe ili kupata Ukweli. Je, ni kweli masoko haya yanachomwa moto au ni ajali tu za kawaida?

Naomba kuwasilisha
we ukitaka kujua kuwa sio bahati mbaya baada ya soko kuungua waliounguliwa na vitu wakitaka kurudi kujenga upya vibanda vyao, wanakatazwa jiulizwe kwanini wakatwaze huku sababu ikiwa eti uchunguzi haujakamilika baada ya mda anapewa mkandarasi linajengwa jengo lingine tofauti na lilikuwepo mwanzo
 
we ukitaka kujua kuwa sio bahati mbaya baada ya soko kuungua waliounguliwa na vitu wakitaka kurudi kujenga upya vibanda vyao, wanakatazwa jiulizwe kwanini wakatwaze huku sababu ikiwa eti uchunguzi haujakamilika baada ya mda anapewa mkandarasi linajengwa jengo lingine tofauti na lilikuwepo mwanzo
Aiseee
 
we ukitaka kujua kuwa sio bahati mbaya baada ya soko kuungua waliounguliwa na vitu wakitaka kurudi kujenga upya vibanda vyao, wanakatazwa jiulizwe kwanini wakatwaze huku sababu ikiwa eti uchunguzi haujakamilika baada ya mda anapewa mkandarasi linajengwa jengo lingine tofauti na lilikuwepo mwanzo
Unaweza kutoa mfano mmoja tu sehemu iliyo UNGUA kili jengwa kitu tofauti na kilicho kuwapo awali hasa kwenye masoko au sehemu yoyote ya JUMIIYA ilitujue na sisi.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom