BekaNurdin
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 2,267
- 2,043
Wote ambao hawakurudi kushukuru walikuwa wayahudi (jamii yake Yesu). Aliyerudi kushukuru alikuwa msamaria!Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.
Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa. Ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia. Ukitaka kuliamini hilo, angalia ule mfano wa kwenye biblia. Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.
Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi? Kama sijakosea. Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.
Tofauti sana na sisi wakristu
Unashangaa mwezi kupasuka wakati sayansi inakubali kuwa kulikuwa kuna "Big Bang".
Unaelewa ni nini hicho?
siku ukigundua kuwa upo kwenye minyororo ya mzungu ndiyo utajua ujuiBwana Yesu asifiwe milele..hakika anazidi kuwafungua watu wake kutoka kwa minyororo ya shetani..
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha roho mbaya..wivu tu unakusumbua.mungu hajawahi kuchagua nabii mwafrica na wala hatokuja kufanya hivyo milele.
Kwahiyo ulifurahi kuona presha imechachamaa..kumbuka hata Yesu aliponya ila alikua anasema imani yako imekuponya..amini kwanza...acha maovu.MWAMPOSA ni tapeli mkubwa,
Nna shangazi yangu anasumbuliwa na presha na kisukari, aliniomba nauli Mimi nikakataa, yaani atoke Tabora aje kuombewa na Mwamposa,eti ana amini atapona, basi bwana akauza Cha kuuza akapata nauli toka Tabora akaenda dar kwa Mwamposa, akakaa week mbili huko, alivyorudi Mimi baada ya mwezi nikampigia kujua maendeleo yake, ah wapi, kisukari kilichachamaa na presha pia,maana aliacha kutumia vidonge vya presha
Roho mbaya inakusumbua..njoo uombewe hayo majini na maruhani yakutoke..karibu kwa mwamposa ukanyage mafuta upate upako.Heri anaeamini majini,kuliko anaewaamini Hawa waganga wa kienyeji kina MWAMPOSA na wengineo,eti chumvi ya upako,Mara leso ya upako,Mara sijui chukua mchanga wa pembe nne kwako akauombee, yaani uchawi mtupu na utapeli
Basi kamiliki na wewe hizo boti..kuna mtu kakukataza?MWAMPOSA tapeli, sasaivi anamiliki boti za uvuvi kule pwani
Pesa kila kona inatolewa hata huko uliko kwa waganga wa kienyeji hua unatoa pesa.Wajinga ni washangiliaji na watoaji sadaka kwa Mwamposa kama wewe. Sio Mwamposa na sio hao wanawake, wanawake hao mnaowasema wapo pale kuteneza pesa na Mwamposa ndio usiseme.
Ni Yesu mkuu sio yesu!
Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha.
Kweli yesu ni jibu.
USSR
Kila mtu yupo kwenye minyororo ya wazungu...kwa namna moja ama nyingine.siku ukigundua kuwa upo kwenye minyororo ya mzungu ndiyo utajua ujui
Ni wengi sana na hilo liko wazi tena wanatoka pwani!,Lindi ,Mtwara...ni waislamu pure!Unajuaje kama ni Waislamu ?
Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Kwa jina la Yesu kila goti linapigwa,jini kitu gani kwa Yesu?Inamjua Jini wewe!!?..Jini umtishie yesu atoke!!
Kama una uelewa wa Marketing and Sales huwezi shtuka. Ushuhuda wa mkristo hauna mvuto si ajabu wakapangiwa siku nyingine ila sio siku yenye hadhara kubwa. Ushuhuda wa mwislamu ndio unauza mahubiri.
Hamna ukweli wowote wale wanapewa pesa kutoa ushuhuda na sio waislamu wale wengine wakristo wanatoka mikoani ile ni marketing level ambayo ni promotion kuwa makini wali serious na magonjwa wapo hospital aende
Kama una akili timamu unashindwa kutambua kitu kidogo kama icho
nikweliKila mtu yupo kwenye minyororo ya wazungu...kwa namna moja ama nyingine.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitakiwa uelewe kwanza nilichokiandika, kuliko kukurupuka kama ulivyo fanya.Ni wengi sana na hilo liko wazi tena wanatoka pwani!,Lindi ,Mtwara...ni waislamu pure!
Kwani kuwa muislam ndo nishindwe kuhangaika kutafuta soln napopata matatizo?
Watu sshv wamechoka kunyang'anywa uhuru wao wa,kuamua maisha yao...kila mtu anaenda kuhangaika kivyake apate soln ya shida yake!
Ni Uhuru tu