Kwanini wanapoteuliwa na kutumbuliwa ni wale wale? Hakuna watanzania wengine wenye sifa na maono?

Kwanini wanapoteuliwa na kutumbuliwa ni wale wale? Hakuna watanzania wengine wenye sifa na maono?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hata wakiingia wapya ttz wanaenda kuingia Kwenye mfumo wa ccm Moja Kwa moja na hakuna kutoka njee ya matakwa ya kocha ,Kila kitu n ndio na pongezi hata pasipostaili
FB_IMG_1723007697247.jpg
 
Royal family kama ukoo wenu ampo kwenye circle mtaendelea kusoma pdf tu..bado zamu yangu 2030 niiingie rasmi kwenye asali
 
Moja ya jambo linalojitokeza kwenye mikeka ya uteuzi na kutumbua ni kujirudia kwa majina. Tumekuwa tunawaapisha watu walewale kila siku na hivyo hata maono yamebaki ni yale yale...
Serikalini ni kawaida sana watu kubadiishwa badilishwa, tena siku hizi wanachelewa sana kubadilishwa badilishwa. Hatakiwi mtu azembee sehemu moja serikalini.

Panga pangua za serikalini zizikustuwe sana, wengi ni mashushu wa UWT tu.

Elewa kuwa kila kinachotendeka ofisi za serikali, iwe na waziri au mkuu wa mkoa au katibu mkuu au wakurugenzi tayari habari zipo Ikulu.

Hii nchi swrikalini Majinni ni wengi sana. "Majinni kwa maana ya watu wasiojulikana na au kuonekana. Srerikalini huko kila mtu hamuamini mwenzake, wanawindana kuliko panya na paka, ukizubaa kidogo tu unalo.
 
Wapo hata wewe unafaa!
Moja ya jambo linalojitokeza kwenye mikeka ya uteuzi na kutumbua ni kujirudia kwa majina. Tumekuwa tunawaapisha watu walewale kila siku na hivyo hata maono yamebaki ni yale yale.

Je, kuendelea kuteua watu wale wale kuna tija kwa Taifa au ni tija kwa familia ya wanaoteuliwa? Je Taifa halina watu wenye capacity yakuongoza wizara?
 
USerikalini ni kawaida sana watu kubadiishwa badilishwa, tena siku hizi wanachelewa sana kubadilishwa badilishwa. Hatakiwi mtu azembee sehemu moja serikalini....
Uchumi wenyewe uko wapi? Wangewapisha wengine CCM imeshashindwa wanabaki kuhangaika na matundu ya vyoo
 
USerikalini ni kawaida sana watu kubadiishwa badilishwa, tena siku hizi wanachelewa sana kubadilishwa badilishwa. Hatakiwi mtu azembee sehemu moja serikalini...
Kwamba inaendeshwa Kiswahili hivyo?!
 
Kwamba inaendeshwa Kiswahili hivyo?!
Siyo Kiswahili, Kizanaki, huo ndiyo msingi na mfumo aliouwacha Nyerere.

Tena sasa hivi ni afadhali, tuulize gtuliokuwepo wakati wa Nyerere, hata mkeo au mumeo hamuaminiani, ilikuwa ushushushu kila mahali, siyo serikalini tu.
 
Moja ya jambo linalojitokeza kwenye mikeka ya uteuzi na kutumbua ni kujirudia kwa majina. Tumekuwa tunawaapisha watu walewale kila siku na hivyo hata maono yamebaki ni yale yale.

Je, kuendelea kuteua watu wale wale kuna tija kwa Taifa au ni tija kwa familia ya wanaoteuliwa? Je Taifa halina watu wenye capacity yakuongoza wizara?
Na hili ndo linaingiza mataifa mengi kwenye migogoro , watu waneshazeeka Wana miradi wanarudishwa tena kwann?
Au hatuna vijana wengine wanaoweza kukaa hizo nafasi?
 
Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
Siyo Kiswahili, Kizanaki, huo ndiyo msingi na mfumo aliouwacha Nyerere.

Tena sasa hivi ni afadhali, tuulize gtuliokuwepo wakati wa Nyerere, hata mkeo au mumeo hamuaminiani, ilikuwa ushushushu kila mahali, siyo serikalini tu.
Sasa mbona Nyerere alikuwa habadili sana au kufanya recyclings sana?!
 
Serikalini ni kawaida sana watu kubadiishwa badilishwa, tena siku hizi wanachelewa sana kubadilishwa badilishwa. Hatakiwi mtu azembee sehemu moja serikalini....

Kama mtu hapafomu sehemu inabidi atolewe kwenye mfumo sio kuhamishwa post.
 
Back
Top Bottom