Serikalini hawana kipimo cha "performance", serikalini "performance" yako inapimwa na mashushushu walio kuzunguka. Kikulacho ki nguoni mwako.Kama mtu hapafomu sehemu inabidi atolewe kwenye mfumo sio kuhamishwa post.
Ndiyo maana inchi imejaa mariasili lakini wananchi wake choka mbayaSerikalini hawana kipimo cha "performance", serikalini "performance" yako inapimwa na mashushushu walio kuzunguka. Kikulacho ki nguoni mwako.
Fitina, majungu, kurogana, kukandiana, unafik, kuchekeana na kupongezana kiuongo uongo ndivyo vilivyojaa kila idara ya serikali. Kila uchawi na mabaya unayoyajuwa na usiyoyajuwa wewe yapo huko.
maliasiliNdiyo maana inchi imejaa mariasili lakini wananchi wake choka mbaya
Siyo kweli huoni wezetu waarabu wanavyonufaika na mali zoo za asili?maliasili
Kuchoka kwako hakuhusiani na serikali, ni wewe unashindwa kuziona fursa.
Wezi wa serikalini wote wanatafuta watu wa kuwafanyia kazi na biashara zao nje ya serikali, halafu vijana kwa ujinga wao wanatafuta kazi serikalini badala ya kutafuta kazi kwa wezi wa serikalini. Hao kazi zao ni kugawana nao faida, siyo mshahara.
hao ni wateule kama Taifa la Israel. Akitolewa anapumzika tu. Anarudi tenaMoja ya jambo linalojitokeza kwenye mikeka ya uteuzi na kutumbua ni kujirudia kwa majina. Tumekuwa tunawaapisha watu walewale kila siku na hivyo hata maono yamebaki ni yale yale...
"Waarabu" wepi unaoongelea wewe?Siyo kweli huoni wezetu waarabu wanavyonufaika na mali zoo za asili?
Miaka yote imekuwa hivyo tangu uhuru. Nadhani kuna mkataba wanatekeleza haiwezekani wote wanafata mtindo ule uleAnayerecruit ndio kaishiwa, hana maarifa ya kupata new good talents.
kalibu inchi zote Za ghuba wazalishaji wa mafuta"Waarabu" wepi unaoongelea wewe?
Serikalini hawana kipimo cha "performance", serikalini "performance" yako inapimwa na mashushushu walio kuzunguka. Kikulacho ki nguoni mwako.
Fitina, majungu, kurogana, kukandiana, unafik, kuchekeana na kupongezana kiuongo uongo ndivyo vilivyojaa kila idara ya serikali. Kila uchawi na mabaya unayoyajuwa na usiyoyajuwa wewe yapo huko.
Huwezi kupata mabadiliko yoyote kama Unatumbua na kuteua watu wale wale.Moja ya jambo linalojitokeza kwenye mikeka ya uteuzi na kutumbua ni kujirudia kwa majina. Tumekuwa tunawaapisha watu walewale kila siku na hivyo hata maono yamebaki ni yale yale.
Je, kuendelea kuteua watu wale wale kuna tija kwa Taifa au ni tija kwa familia ya wanaoteuliwa? Je Taifa halina watu wenye capacity yakuongoza wizara?
Hujuwi aliyeondolewa ndiye shushu mwenyewe. Utajuwaje? Kamaliza kazi moja anapelekwa kwenye kazi nyingine.Kama mashushu wamesema unavuruga kwanini usiwekwe kando badala ya kuhamishwa post?
Maza akiambiwa mtu fulani hafai na yeye akakubali kwamba hafai inabidi amuweke kando mazima sio kufanya reshuffling kila siku. Unazunguka mule mule unategemea kupata matokeo tofauti?