deedee
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 257
- 417
Hata ukiweka Neutral, gears pekee zitakua excluded, other parts zitazunguka.sawa lakini sio hatari kihivyo mana gari inakuwa haipati moto.pia unaivuta ikiwa kwenye free gia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukiweka Neutral, gears pekee zitakua excluded, other parts zitazunguka.sawa lakini sio hatari kihivyo mana gari inakuwa haipati moto.pia unaivuta ikiwa kwenye free gia.
Huu uzi nilitamani ningepata Automatic Gearbox mbovu nikaufanyia video. Kwa maana ninaamini kwa njia hiyo wote mngenielewa vizuri. Hata hivyo nitajitahidi kuelezea kwa kadri nitakavyoweza.
Hebu iangalie hii picha vizuri. Hii ni cross section ya Gearbox ya automatic. 99% gearbox za automatic zipo hivi. Iangalie vizuri Oil pump ipo tu baada ya Torque Converter.
View attachment 2722983
Kwenye gearbox ukizima gari, Gearbox Oil inabakia maeneo mawili tu.
1. Kwenye torque converter.
2. Kwenye Sump ya Gearbox.
Sasa ipo hivi, unapovuta gari lenye automatic gearbox, engine inakuwa imezima, torque converter na Oil pump pia vinakuwa havizunguki. Hivi vitu huwa vinazunguka tu kama engine inazunguka.
Then Oil pump hazunguki, sehemu ya gearbox iliyobakia inazunguka bila Oil. Hivyo ni rahisi kuharibu gearbox.
Kuna baadhi ya gari mfano baadhi ya matoleo ya mercedes Benz gearbox inakuwa na secondary Oil pump na inakuwa na Tow mode(hii naomba isichanganywe na ile tow mode ya kuvuta trailer n.k.).
Hiyo secondary pump inakuwa activated utakapotaka kulivuta gari lako kwa ajili ya kusupply oil kwenye gearbox.
Ndio maana ukipata breakdown ushauri wa kwanza ita flatbed truck pakia au tow truck kama gari yako si AWD na mtanyanyua upande ambao ndio unadrive.
Na kama utaamua kuivuta gari yako basi fuata sheria hii.
1. Vuta kwa speed ndogo kwa kadri itakavyowezekana.
gia box za manyu Zina oil cooler?Gearbox inapata joto kwa sababu ya friction. Vinginevyo gearbox zisingekuwa na Oil cooler sababu jotola engine huwa lipo constant.
haiwezi kupata moto kiasi chakuunguza clutch mkuu.hizokazi nazifanya sanaGearbox lazima ipate joto, itakua inazunguka na matairi. Njia rahisi ni kuondoa propeller shaft kama ni RWD, kama ni front wheel drive, tairi za mbele lazima zinyanyuke, kwa AWD changamoto sana, itabebwa tuu
hakuna kitu kama hicho.gari zinavutwa sana na haziharibiki.acheni uongo.Vyuma vinasuguana kwasababu vinazunguka gari inapovutwa. Bila mzunguko wa oil, kifuatacho ni majanga
Je ukiweka nHata gari manual haishauriwi sana kitaalamu kuivuta (towing)
Diff kwa kawaida haipendi mzunguko unaoanzia kwenye matairi.
Ndio sababu trucks kabla ya kuwa towed lazima ukate propeller shaft na uondoe drive shafts (axles )hapo unakuwa salama.
Unajua maana ya friction na jinsi gani inazalisha joto?Jibu swali langu la kwanza hiliswali sija kukot wewe
gari inayo vutwa haiwezi kupata joto hata sikumoja mkuu.
Gari yangu ni IST AWD ...Imeandikwa kabisa hairuhusiwi kuvutwa ni lazima ibebwe lasivyo wa disconnect torque converter kwenda tyre zote za nyuma na za mbelewengi humu hamjui hata Jinsi giabox zinavyo fanya kazi.
kimsingi giabox inaambukizwa joto na injini.sasa ikitokea gari imezingua inahitaji kuvutwa kawaida injini lazima iwe off
wengi mnasema ukivuta unaweza kuunguza ama kuharibu giabox coz mzunguko wa oil hamna.
kazi ya oil nikurahisisha gia ziingie thmooth. unapovuta gari ukiweka freegia kwenye gari za auto unaivuta bila wasiwasi
Sabu kwanza oilí itakuwepo kwenye sampo klach zinapojizungusha zinachota oil liyopo kwenye valvu ches.pia mtikisiko wagari wakati inavutwa pia oil inapanda kwenye clutch na kuzilowesha.
kumbuka vyote hivyo vinafanyika injini ikiwa off sasa inaunguaje kwamfano?
gari inaunguza clutch ikiwa unaindesha hukuoil imepungua au imepita mudawake.
Wewe ndio mtu wa kwanza humu ambaye unaonekana hujui jinsi Auto gearbox zinavyofanya kazi.wengi humu hamjui hata Jinsi giabox zinavyo fanya kazi.
Yes gearbox inaambukizwa joto na engine, ila pia gearbox automatic inazalisha joto jingi kuliko operating temperature ya engine. Hili hata mimi mwenyewe nimeliprove. Gari ikitoka misele ukianhalia kwenye mashine atf temperature huwa ipo juu kuliko coolant temperature.kimsingi giabox inaambukizwa joto na injini.sasa ikitokea gari imezingua inahitaji kuvutwa kawaida injini lazima iwe off
Na huu ndio ukweli.wengi mnasema ukivuta unaweza kuunguza ama kuharibu giabox coz mzunguko wa oil hamna.
Wewe unaijua kazi moja ya oil tena tena hata hujaitaja kwa usahihi. Kurahisisha kivipi? ATF ina kazi tatu ambazo ni kutengeneza pressure, kulainisha na kupooza.kazi ya oil nikurahisisha gia ziingie thmooth. unapovuta gari ukiweka freegia kwenye gari za auto unaivuta bila wasiwasi
Yes oil itakuwepo kwenye sump na kama ikipanda kidogo itaishia kwenye kigodoro cha oil filter. Kitu pekee kinachoweza kupandisha Oil ni pump na haizunguki punguza nadharia.Sabu kwanza oilí itakuwepo kwenye sampo klach zinapojizungusha zinachota oil liyopo kwenye valvu ches.pia mtikisiko wagari wakati inavutwa pia oil inapanda kwenye clutch na kuzilowesha.
Waliokuambia usiivute kwa speed zaidi ya 40 kama kuna ulazima wakuivuta siyo wajinga.gari inaunguza clutch ikiwa unaindesha hukuoil imepungua au imepita mudawake.
Bado sehemu kubwa ya gearbox itazunguko bila oil. Gearbox ya automatic haipo kama ya manual.Je ukiweka n
Gharama ambayo angetumia kupakia hiyo gari haifiki hata robo ya bei ya gearbox.Kuna jamaa alikua mbishi, akaivuta ford ranger AT, kutoka Moro hadi Dar, gari ilikua na changamoto ndogo tuu kwenye engine, kufika Dar, engine wakatengeza ikapona, kutest gari, Gearbox haifai. Kakwepa gharama za kubeba, kanunua gearbox mpya
Huu uzi umeona mimi nazungumzia gearbox za manual?gia box za manyu Zina oil cooler?
acheni uongo Tena kati yagiabox ambazo ningumu kuunguza clutch ni Ford..Gharama ambayo angetumia kupakia hiyo gari haifiki hata robo ya bei ya gearbox.
Sasa kama gari imezimwa na inavutwa Kuna haja gani yakila sehemu ya giabox kupata mzunguko kamili wa oil?Bado sehemu kubwa ya gearbox itazunguko bila oil. Gearbox ya automatic haipo kama ya manual.
Acha ujuaji weee unavyoonekana wee magari umeyasoma zaidi kwenye vitabu sio kujifunza kwavitendo.Wewe ndio mtu wa kwanza humu ambaye unaonekana hujui jinsi Auto gearbox zinavyofanya kazi.
Yes gearbox inaambukizwa joto na engine, ila pia gearbox automatic inazalisha joto jingi kuliko operating temperature ya engine. Hili hata mimi mwenyewe nimeliprove. Gari ikitoka misele ukianhalia kwenye mashine atf temperature huwa ipo juu kuliko coolant temperature.
Na huu ndio ukweli.
Wewe unaijua kazi moja ya oil tena tena hata hujaitaja kwa usahihi. Kurahisisha kivipi? ATF ina kazi tatu ambazo ni kutengeneza pressure, kulainisha na kupooza.
Yes oil itakuwepo kwenye sump na kama ikipanda kidogo itaishia kwenye kigodoro cha oil filter. Kitu pekee kinachoweza kupandisha Oil ni pump na haizunguki punguza nadharia.
Waliokuambia usiivute kwa speed zaidi ya 40 kama kuna ulazima wakuivuta siyo wajinga.
acheni uongo Tena kati yagiabox ambazo ningumu kuunguza clutch ni Ford..
hivi unavuta gari ikiwa free utaharibu nini kwamfano?