JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
- Thread starter
- #61
Hili nalo unataka liwe mjadala? Gari za All wheel drive hazivutwi kwani hili nalo hulijui.umeandikwa ukivuta unaharibu kitu Gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili nalo unataka liwe mjadala? Gari za All wheel drive hazivutwi kwani hili nalo hulijui.umeandikwa ukivuta unaharibu kitu Gani?
Kama wewe unajinasibu kwamba ni fundi halafu hujui hata vitu basic kama moving parts mbili zinawezakuzalisha joto, basitatizo ni kubwa nikupe pole.hivi wee nifundi au unayafaham magari tuu?gari imezimwa wakati wakuvutwa giabox inapataje moto?unajua chanzo cha moto kwenye gari ni niini?
Halafu kuna ubaya gani kukugo ikiwa ukigoogle unasolve matatizo.kitaalamu Gani wengi mnagugo halafu mnakuja kudanganya watu humu.
ingekuwa nihatari hivyo hizogari zisingewekwa sehemu zakuvutia inapo pata changa moto.wazungu sio machizi kama..
Hata kuweka oil za buku saba kwenye magari ya watu ushafanya sana na kwa sababu gearbox haziharibiki hapohapo baada ya kuweka unaona ni sawa tu.haiwezi.tushafanya sana vitu hivyo.nahata kama inaharibika sio nkirahisi hivyo.
labda kama kilasiku kaziyako nikuvutwa tuu ndio lolote linaweza kutokea.sio inavutwa maramoja giabox inakufa hapohapo huo niuongo.
Hayo mambo ya kudamage engine wewe umeyatoa wapi?which can demage the engine.unajua kilicho kusudiwa kwenye maelezo Yako?Acha ufundi wakugugo mkuu.
Kwani gearbox automatic ina nini ndani?unaharibu nini Sasa mbona huwi wazi?
Hizo clutch zipo katikati ya backing plates na nafasi huwa ni ndogo, wewe unasimama hapa unasema Oil inayohitajika ni kidogo. Haupo serious aiseeeeinahitajika oil kidogo sana kuweka uthmooth kwenye clutch tuu.
we umeamua tu kuakaza kichwa.kwani nimesema uvute speed 100?Acha ufundi wakugugo utapotea.
View: https://youtu.be/1CLYOkXw_QU
Kwa maelezo ya kwenye video hii huyu jamaa anaitwa turbo charger basi arudi garage kasome tena.
Oil ya gearbox inafanya kazi gani mpaka waweke njia za maji?Kwanini giabox haijawekwa njia za maji?
Engine haitapata joto kww kuwa kutakuwa hakuna combustion, ila diff na gearbox huwa vijapata moto kutokana na frictiongari inayo vutwa haiwezi kupata joto hata sikumoja mkuu.
Huwa nachukia sana mtu anapojipa mamlaka ya kuelezea kitu ambacho huna uhakika nacho.wengi humu hamjui hata Jinsi giabox zinavyo fanya kazi.
kimsingi giabox inaambukizwa joto na injini.sasa ikitokea gari imezingua inahitaji kuvutwa kawaida injini lazima iwe off
wengi mnasema ukivuta unaweza kuunguza ama kuharibu giabox coz mzunguko wa oil hamna.
kazi ya oil nikurahisisha gia ziingie thmooth. unapovuta gari ukiweka freegia kwenye gari za auto unaivuta bila wasiwasi
Sabu kwanza oilí itakuwepo kwenye sampo klach zinapojizungusha zinachota oil liyopo kwenye valvu ches.pia mtikisiko wagari wakati inavutwa pia oil inapanda kwenye clutch na kuzilowesha.
kumbuka vyote hivyo vinafanyika injini ikiwa off sasa inaunguaje kwamfano?
gari inaunguza clutch ikiwa unaindesha hukuoil imepungua au imepita mudawake.
nimeshavuta nissan navara njombe to mbeya tena mwendo wa ngiri mkua juu na gearbox haijawahi sumbua. ila sijabisha maelezo yenu ya kitaalam mkuu maana mimi sio fundi.View attachment 2723509
Kibongo bongo hapa hawawezi kukuelewa, ni ubishi na ujuaji mwingi kama vile superchager turubo Wao ni kufunga zao kamba huku na huku chuma inavutwa kutoka Kibaha mpaka Ilala garage 50km.
Kuna vitu basic sana ambavyo havihitaji uwe mtaalamu kuvielewa, ni kama tu vile unavyonunua smartphone dukani ukasoma user manual yake ikakuambia inaweza kuhimili kukaa ndani ya maji (kina cha mita 1 na nusu) kwa muda wa nusu saa, sasa hapo ni nini ambacho hakieleweki.nimeshavuta nissan navara njombe to mbeya tena mwendo wa ngiri mkua juu na gearbox haijawahi sumbua. ila sijabisha maelezo yenu ya kitaalam mkuu maana mimi sio fundi.
dogo Mimi nifundi Niko kazini miaka kumi sasa.nimeshavuta magari siichini ya mía nayote hayakupata changa moto yoyote.Engine haitapata joto kww kuwa kutakuwa hakuna combustion, ila diff na gearbox huwa vijapata moto kutokana na friction
Huwa nachukia sana mtu anapojipa mamlaka ya kuelezea kitu ambacho huna uhakika nacho.
Bro umeahawahi hata kubomoa gearbox ukaona hata mzunguko au jinsi inavyofanya kazi?
Mtoa mada yupo sahihi sana ,tena kuna baadhi hata kuwekantu neutral ukiwa kwenye motion kuna madhara mfano gearbox zote za Gr series (scania)
mbona injini Ina oil na njia zamaji?Oil ya gearbox inafanya kazi gani mpaka waweke njia za maji?