Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

ushasema gari inayovutwa.sasa gari inayovutwa itapataje moto?
Nilivyoelewa na ukiitazama vizuri picha ya gearbox juu hapo utaona kuwa gari ikivutwa mzunguko utaanzia kwenye matairi na kuishia kabla ya oil pump. Ule mzunguko ndiyo utasababisha msuguano "friction" wa gears zinazozunguka bila kupata oil inayozuwia msuguano.

Bila lubrication hata mwili kwa mwili unachubuka, fikiri chuma kwa chuma inakuwaje?
 
daa wee jamaa kwamaelezo haya nimegundua kuwa kumbe uko mweupe kabisa kwenye fani ya ufundi magari.
Kuna kazi za magari ninafanya wewe huwezi, hata wewe kuna kazi huenda unafanya mimi siwezi, kwa hii kauli yako haiko sawa hata kidogo.
nyie ndio vijana makinda mnao ya giabox zawatu.
Mimi kazi za Auto gearbox nafanya tena kwa spare parts mpya, siyo hizo mnazoenda kuokota ilala zilizotolewa kwenye gearbox zilizokufa,
IMG_20230823_091215.jpg

Najua clutch packs mpya kama hizi hujawahi kuziona popote, huenda unahisi hata hazipo, lakini ni vitu vipo na nmeshatumia.
halafu unasema kitako Cha oil filter kinaziba valvu ches body yote kiasi chakuzuia oil isipenye juu kwenye valvu ches?uko Silias mjomba
Nimekuambia material yaliko ndani ya oil filter hayawezi kuruhusu tu oil kuruka kuja kwenye valve body. Kwani ni uongo? Yaani ni sawa na ufunike ndoo ya maji na kitambaa kizito halafu urushe utegemee maji yataruka juu kama ilivyokuwa wazi.
 
Watanzania magari yenyewe 98% ni mabomu yaliyochoka huko nje.

Chukuweni tahadhari.
 
Nilivyoelewa na ukiitazama vizuri picha ya gearbox juu hapo utaona kuwa gari ikivutwa mzunguko utaanzia kwenye matairi na kuishia kabla ya oil pump. Ule mzunguko ndiyo utasababisha msuguano "friction" wa gears zinazozunguka bila kupata oil inayozuwia msuguano.

Bila lubrication hata mwili kwa mwili unachubuka, fikiri chuma kwa chuma inakuwaje?
Huyo ameamua tu kutoelewa mwenyewe, ni wa kuachana naye tu.
 
Hii Imewai kunikuta siku Moja,

Nmeenda Chaka flani na RAUM,
Bati la Chini likaachia na kuanza kuburuza Chini makelele kibao, Nikaona isiwe tabu, nikalingoa kabisa, ntaenda kulifunga mbele ya safari.

Nmefika mbele kdg,
gari ikazima, Kucheck chini, kumbe kijiti kimeingia na kukata pump ya oil ya gearbox.

Kuna jamaa akanishaur sio salama kuforce kuiendesha, Bora ivutwe utaengenezea mjini (almost 45km). nikasema POA, Gari ikakokotwa na canter.

Nmefikisha town,garage
Fundi anasema Bora ningempigia angekuja kuitengenezea uko uko porini, Tatizo lilikua dogo Sana ila nmekikuza kwa kuivuta gari tairi za nyuma, Giabox imekufa kabisa na hairekebishiki

NILIINGIA GHARAMA KUNUNUA GIA BOX MPYA[emoji26]
 
Ukijaza oil haipiti valve body, na kudhihirisha hilo gari zisizokuwa na dipstick unajaza oil mpaka tundu la sample lianze kudondosha matone ndio inakuwa imejaa,

Utafunga koki utaenda kupiga misele ikishapata joto utarudi utafungua tena koki itamwagika tena kidogo, baada ya hapo itakuwa ipo kwenye level yake.

Clutch na sump haviko pua na mdomo pia kigodoro cha oil filter kinazuia oil kuja free sehemu ya juu ya gearbox.

Bila shaka ufundi ulirithishwa. Hukusomea mahali right????
Yap.japo nilienda kachukua vyeti mkuu.
 
Na we ungeleta ya kiswahili, kama lengo ni huyo mwamba aelewe vizuri.

Naye atamuambia mwenzie. Mwisho wa siku tuwe na usalama zaidi na mafundi wetu wote.
Hizo za kiswahili si ndio zipo kwenye thread kazikataa, apewe zipi tena?
 
Gari si inavutwa kinyume yan back tires znainuliwa
Haujui kuwa kuna gari ambazo ni Front wheel drive yaani pulling ni tairi za mbele za nyuma zinafollow kama IST, Vits, raum, spacio, passo, Rav4, X trail etc.
 
For further reference
 

Attachments

  • IMG_2121.png
    IMG_2121.png
    73.9 KB · Views: 12
  • IMG_2124.png
    IMG_2124.png
    101.8 KB · Views: 11
  • IMG_2120.jpeg
    IMG_2120.jpeg
    20.1 KB · Views: 7
  • IMG_2117.jpeg
    IMG_2117.jpeg
    65.1 KB · Views: 6
We jamaa ni fundi wa kusomea au umejifunzia kwa fundi maiko chini ya mwembe, maana kinacho ongelewa hapa kuhusu friction ni physics ya form 2
Physics ya form two ni mbali sana!
Ulindi na ulimbombo ndo kinachoongelewa hapa kuhusu friction. Kwa wasioelewa watu, wa kale walitengeneza moto kwa kusugua vijiti
 
Juzi kuna dogo kalitupa chini ndinga mpyaa ya mzee wake
 
Gearbox lazima ipate joto, itakua inazunguka na matairi. Njia rahisi ni kuondoa propeller shaft kama ni RWD, kama ni front wheel drive, tairi za mbele lazima zinyanyuke, kwa AWD changamoto sana, itabebwa tuu
Kwenye breakdown kupata lowbed ni changamoto lakini gari zenye AWD zina kuchagua 2WD je ukichagua 2wd na kunyanyua tairi za mbele bado ni tatizo
 
kitaalamu Gani wengi mnagugo halafu mnakuja kudanganya watu humu.

ingekuwa nihatari hivyo hizogari zisingewekwa sehemu zakuvutia inapo pata changa moto.wazungu sio machizi kama..
Mi nadhani anaongelea kuvuta gari kwa umbali mrefu sana Lakini kama ni mita 10-50 siyo mbaya. Si ndo hivyo mkuu?
 
Kwenye breakdown kupata lowbed ni changamoto lakini gari zenye AWD zina kuchagua 2WD je ukichagua 2wd na kunyanyua tairi za mbele bado ni tatizo
Hiyo tena siyo AWD, ni 4WD. Napo ni kuwa makini. Kuna ambayo ukichagua 2WD ita-drive matairi ya mbele mf. Mitsubishi Outlander. Mengine, kama Toyota LC Prado ita-drive matairi ya nyuma. Muhimu kujua hilo.

Pia, kama inawezekana acha gari ikiwa imewaka wakati inavutwa na inatembelea matairi yote, au kama ni AWD, au imeshindikana kuikokota drive wheels zikiwa zimenyanyuliwa ili oil pump iendelee kuzungusha oil/trans fluid kwenye gearbox.
 
Back
Top Bottom