Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

Kwanini wanashauri usivute gari lenye Automatic Gearbox ukipata break down, badala yake upakie kwenye Flatbed Truck

Acha ujuaji weee unavyoonekana wee magari umeyasoma zaidi kwenye vitabu sio kujifunza kwavitendo.
Hapa ulikuwa unaelekea kupatia katika msingi wa kutokubaliana kwenu.

Mmoja kajifunza kwa vitendo (ambaye ndiyo wewe)

Mmoja kajifunza kwa vitabu na vitendo.

Namshauri huyo wa vitendo pekee, aende akajifunze na vitabu ili awe nondo..... tena sio vitabu vya zamani. La. Soma taarifa mtandaoni, soma na zile manua za magari husika. Mshike sana elimu mazee.
 
View attachment 2723489

View attachment 2723490

View attachment 2723491

Tena nakuongezea, usivute gari automatic kwa zaidi ya 25KM. Maana hilo sikuliandika.

Manual za magari yote zimeweka condition za kuvuta gari yenye automatic transmission, wewe unasema hamna madhara yoyote. According to uelewa wako .
Na we ungeleta ya kiswahili, kama lengo ni huyo mwamba aelewe vizuri.

Naye atamuambia mwenzie. Mwisho wa siku tuwe na usalama zaidi na mafundi wetu wote.
 
Hizo clutch zipo katikati ya backing plates na nafasi huwa ni ndogo, wewe unasimama hapa unasema Oil inayohitajika ni kidogo. Haupo serious aiseeee
Acha kujifanya mjuaji wewe.unataka kuniaminisha kuwa ukivuta gari kwanamna ninayo SEMA utaharibu nini kwamfano?
Hapa ulikuwa unaelekea kupatia katika msingi wa kutokubaliana kwenu.

Mmoja kajifunza kwa vitendo (ambaye ndiyo wewe)

Mmoja kajifunza kwa vitabu na vitendo.

Namshauri huyo wa vitendo pekee, aende akajifunze na vitabu ili awe nondo..... tena sio vitabu vya zamani. La. Soma taarifa mtandaoni, soma na zile manua za magari husika. Mshike sana elimu mazee.
Mimi nimeanza kujifunza kwavitendo nikaiva nikaenda veta.chakusikitisha hawa jamaa waveta kwenye kuelezea gari kwamaneno na maandishi huwawezi🤣njoo kwenye vitendo Sasa Hamna kitu kabisa.

nimeenda veta ikawa Kila muda wa kufanya kwavitendo Mimi ndio nilikuwa mwalimu wao naachiwa nawaelekeza jinsi yakufunga na kufungua walikua hawajui hatawale nilio wakuta wana miaka miwili pale veta.

Tena bora hawa wamechanics waumeme ndio ziro kabisa hawajui chochote.

Sasa huyu kaenda kugugo ndio anakuja kutudanganya humu wakati magari anayo yasemea tumeyavuta sana nahayaharibiki giabox.
kwanza gari za auto ukiweka oil lazima uiwashe usipo iwasha kama inaingia Lita tisa ukiweka saba oil itaanza kumwagika ikiashiria imejaa kumbe sio kweli.

Kwahio inabidi uiwashe gari ndio umalizie oil iliyo bakia ndio oil ikae levo.
unaweza kujiuliza kwamba Kwahio ukiongeza oil wakati ilikuwa inamwagika ukawasha ukiongeza Tena oil ukizima gari siitamwagika zaidi?

jibunikwamba haitamwagika coz ukiwasha oil itapanda nakuingia kwenye maklach,konveta na sehemu nyinginezo.
hata ukizima oil iliyo ingia huko haiwezi kutoka labda uwashe gari ipate mzunguko wake lakini gari ikiwa of haiwezi kutoka huko

kwasababu sampo itakuwa imejaa oil Hadi kwenye valvu ches.ili oil iliyo juu kwenye maklach nasehem nyingine ishuke kwenye sampo lazima iliyopo kwenye sampo inyonywe na filter kwenda juu Naya juu nayo ije chini

Sasa kwamaelezo haya kama umeyaelewa gari ikiwa of namaanisha ikizingua ukiivuta utaharibu nini?

mzungu anakupa tahadhari tuu lakini sio hatari kama mnavyo fikiri.
 
nimeenda veta ikawa Kila muda wa kufanya kwavitendo Mimi ndio nilikuwa mwalimu wao naachiwa nawaelekeza jinsi yakufunga na kufungua walikua hawajui hatawale nilio wakuta wana miaka miwili pale veta.
Ni masikitiko mda mwingine ukienda kwenye vyuo rasmi kusoma badala utoke nondo. Ndo unatoka mjingamjinga tu hujui kitu ila una vyeti.

Mi uzoefu ninao wa kwenda kusomea udereva eti chuo halafu mazingira ya kujifunza usipokiwa makini unatoka hata kuendesha hujui. Tena mwalimu alionekana kama anafundisha zaidi namna ya kuokoa mafuta kuliko namna ya kuendesha gari.

Hilo kweli ni tatizo, lakini halizuii mtu kusoma kwa bidii na kutafuta vyanzo vingine kwa wataalamu ana kwa ana na mitandaoni bro. Kila mmoja anaweza pata faida kwa kujumlisha alichonacho na kilichopo upande mwingine.
itapanda nakuingia kwenye maklach,konveta na sehemu nyinginezo.
hata ukizima oil iliyo ingia huko haiwezi kutoka labda uwashe gari ipate mzunguko wake lakini gari ikiwa of haiwezi kutoka huko

kwasababu sampo itakuwa imejaa oil Hadi kwenye valvu ches.ili oil iliyo juu kwenye maklach nasehem nyingine ishuke kwenye sampo lazima iliyopo kwenye sampo inyonywe na filter kwenda juu Naya juu nayo ije chini

Sasa kwamaelezo haya kama umeyaelewa gari ikiwa of namaanisha ikizingua ukiivuta utaharibu nini?

mzungu anakupa tahadhari tuu lakini sio hatari kama mnavyo fikiri
Maelezo ya oil nimeyapata, nashukuru.

Na ulivyosema kuhusu wametoa tahadhari za kufuatwa ni kweli kabisa. Na pia wazungu wana mtindo wa kutahadharisha saaana. Mixer wabongo walivyo na mtindo wa kupuuzia sana.

Na hata hivyo, wote mnaweza kuwa mpo katika ukurasa mmoja tu kuhusu kwamba; gari ivutwe au isivutwe. Wote mkawa kwenye ivutwe ila kwa kanuni fulani labda. Sina hakika, labda nikuulize.

Kwani we unapoivuta, unajitahodi kufuata hizo kanuni za usiwe umbali mrefu sana na isiwe spidi kubwa? Kama jibu ni ndiyo basi ndio maana umevuta magari zaidi ya mia, kwa miaka zaidi ya kumi na hakuna iliyozinguaa. Eassy tu.
 
Ni masikitiko mda mwingine ukienda kwenye vyuo rasmi kusoma badala utoke nondo. Ndo unatoka mjingamjinga tu hujui kitu ila una vyeti.

Mi uzoefu ninao wa kwenda kusomea udereva eti chuo halafu mazingira ya kujifunza usipokiwa makini unatoka hata kuendesha hujui. Tena mwalimu alionekana kama anafundisha zaidi namna ya kuokoa mafuta kuliko namna ya kuendesha gari.

Hilo kweli ni tatizo, lakini halizuii mtu kusoma kwa bidii na kutafuta vyanzo vingine kwa wataalamu ana kwa ana na mitandaoni bro. Kila mmoja anaweza pata faida kwa kujumlisha alichonacho na kilichopo upande mwingine.

Maelezo ya oil nimeyapata, nashukuru.

Na ulivyosema kuhusu wametoa tahadhari za kufuatwa ni kweli kabisa. Na pia wazungu wana mtindo wa kutahadharisha saaana. Mixer wabongo walivyo na mtindo wa kupuuzia sana.

Na hata hivyo, wote mnaweza kuwa mpo katika ukurasa mmoja tu kuhusu kwamba; gari ivutwe au isivutwe. Wote mkawa kwenye ivutwe ila kwa kanuni fulani labda. Sina hakika, labda nikuulize.

Kwani we unapoivuta, unajitahodi kufuata hizo kanuni za usiwe umbali mrefu sana na isiwe spidi kubwa? Kama jibu ni ndiyo basi ndio maana umevuta magari zaidi ya mia, kwa miaka zaidi ya kumi na hakuna iliyozinguaa. Eassy tu.
nimevuta gari moro dar tanga dar kibaha dar.speed yakawaida.huwezi kuendesha spid huku unavuta mwenzie.
 
dogo Mimi nifundi Niko kazini miaka kumi sasa.nimeshavuta magari siichini ya mía nayote hayakupata changa moto yoyote.
Swali langu huwa mnaweka oil za gearbox za buku 7 kwenye magari ya watu kitu ambacho ni makosa. Je, Ni kwa sababu madhara huwa hayatokei hapohapo hivyo mnajiaminisha kuwa mnachokifanya huwa kiko sawa?
 
Kuna jamaa alikua mbishi, akaivuta ford ranger AT, kutoka Moro hadi Dar, gari ilikua na changamoto ndogo tuu kwenye engine, kufika Dar, engine wakatengeza ikapona, kutest gari, Gearbox haifai. Kakwepa gharama za kubeba, kanunua gearbox mpya
Kataa kubali Huyo jamaa atakua CCM TU
 
wee itakuwa nifundi umeme bila shaka.mnakuwaga naubishi wakijinga sana.vitu vyenyewe mnavyo bishia uzoefu navyo Hamna mnaishia kusoma maelezo tuu mlio karirishwa

mechanics tunaelewa tukiwaambia muache ubishi.
Heheheh, we huoni kila mtu anakuattack, Hushituki kwamba kitu hakiko sawa?

Yaani uliposema engine ikiwa haipo on hamna joto linazalishwa kwenye gearbox umeongea kitu ambacho huna uelewa nacho wowote. Hakuna kitu kinachozunguka juu ya kingine halafu kisizalishe joto. Hakipo.
 
wee itakuwa nifundi umeme bila shaka.mnakuwaga naubishi wakijinga sana.vitu vyenyewe mnavyo bishia uzoefu navyo Hamna mnaishia kusoma maelezo tuu mlio karirishwa

mechanics tunaelewa tukiwaambia muache ubishi.
Heheheh, we huoni kila mtu anakuattack, Hushituki kwamba kitu hakiko sawa?

Yaani uliposema engine ikiwa haipo on hamna joto linazalishwa kwenye gearbox umeongea kitu ambacho huna uelewa nacho wowote. Hakuna kitu kinachozunguka juu ya kingine halafu kisizalishe joto. Hakipo
Acha kujifanya mjuaji wewe.unataka kuniaminisha kuwa ukivuta gari kwanamna ninayo SEMA utaharibu nini kwamfano?
Screenshot_2023-08-22-06-37-41-965_com.adobe.reader.jpg


Hii ni gearbox ya Rav4 U140, ukianza kufungua gearbox, set ya kwanza ya clutch utakayokutana nayo ndio hiyo unayoiona hapo kwenye picha.

Kwa set kunakuwa na clutch(lined plates 4) na back plates 5. Na ukiwa umezikusanya pamoja zinatakiwa kuacha nafasi(clearance ya 0.6mm mpaka 1mm). Ni nafasi ndogo sana.

Na gearbox ikiwa inazunguka, hizo back plates hazizunguki, hivyo clutch zinakuwa zinazunguka katikati ya back plates. Pia hizo clutch upana wake hauzidi 4mm. Kwa anayezielewa hizi hesabu na jinsi hizo clutch zilivyokuwa ndogo halafu zizunguke bila oil, haziwezi kuwa na maisha marefu.
 
Sasa huyu kaenda kugugo ndio anakuja kutudanganya humu wakati magari anayo yasemea tumeyavuta sana nahayaharibiki giabox.
kwanza gari za auto ukiweka oil lazima uiwashe usipo iwasha kama inaingia Lita tisa ukiweka saba oil itaanza kumwagika ikiashiria imejaa kumbe sio kweli.
Haya maelezo ni kwa gearbox ambazo hazina dipstick, tushazoea kwenye gari za mjerumani. Ila gari yenye dipstick weka oil kiasi kinachotakiwa washa gari katembee ikipata moto njoo upime tena.
 
jibunikwamba haitamwagika coz ukiwasha oil itapanda nakuingia kwenye maklach,konveta na sehemu nyinginezo.
hata ukizima oil iliyo ingia huko haiwezi kutoka labda uwashe gari ipate mzunguko wake lakini gari ikiwa of haiwezi kutoka huko
Converter tu ndio inatunza oil hizo sehemu zingine zilizobaki hazina mahali pa kutunza oil. Ndio maana gari ikipaki masaa mengi oil nyingi inashuka chini.
 
Back
Top Bottom