Kwanini wanaume hatugombanii wanawake kama wanawake wanavyotugombania wanaume? 🤔

Kwanini wanaume hatugombanii wanawake kama wanawake wanavyotugombania wanaume? 🤔

Yuko mjinga mmoja alitaka kuniletea mambo ya kunipiga mkwara alikua ananihisi na mahusiano na mwanamke fulani wakati siyo kweli mi sikua na mahusiano nae.

Demu wake nae ni kichwa maji nimemwambia akae mbali na mimi nae hasikii, siku moja nikamwambia jamaa iko siku nitamtandika makofi yeye pamoja na demu wake ili waniache niishi na amani maana wananiletea fujo kwenye life yangu
 
Imekuwa ni jambo la kawaida sana sana kwenye jamii zetu sio tu Afrika hata ulaya unakuta wanawake wanapigana vikumbo kisa Mwanaume.

Either ni Mwanaume
1. Mwenye pesa
2. Handsome
3. Ana ushawishi
4. Maarufu n.k

Ila sisi wanaume pamoja na kuhonga kwetu mamilioni ya pesa Kwa ajili ya wanawake wazuri wenye shape na sura mbona hatuwezi kumgombania mwanamke Incase Kuna Mwanaume anataka kumchukua?

Yaani huwezi Kuta wanaume wanapigania demu mmoja never. Kwann?

Mimi binafsi pamoja na washkaji zangu hatujawahi mgombania demu yoyote yule kama akichukuliwa poa TU tunasonga mbele na maisha mengine .

Sasa swali Kwa wanaume wenzangu hii imekaaje?

N.B picha kusindikiza Uzi hapo hazihusiani na mada 🙂
in the contrary, wanaume wanagombania wanawake kuliko wanawake wanavyogombania wanaume. vifo vingi vya ugomvi wa mapenzi hapa duniani ni wanaume kugombania wanawake na sio wanawake kugombania wanaume. mwanamke akigombania mwanaume hata hasababishi kifo, ila sisi wanaume sasa, unatamani hadi kuua mtu kwasababu tu ya .....tu tena ambayo umeshaikuta ilishatolewaka bikra hadi mwenye nayo ashasahau lini ilitolewa na idadi ya wanaume aliopita nao.
 
kuna watu hadi wamepoteza kazi maofisini huko kwasababu tu wapo karibu na mwanamke ambaye alishawahi kupita na boss, wengine wapo hadi magerezani wametengenezewa kesi. kuna mwaka nilishawahi kukosa dili nono sana kwasababu tu nipo karibu na mwanamke ambaye hata sikuwa na mahusiano naye ila yeye ndio ananifuata na kunisumbua, kumbe kuna tajiri mmoja alikuwa anamtaka, hakupenda kwanini yule mwanamke anipende mimi na sio yeye, akawa adui yangu bila hata mimi kujua.
 
Imekuwa ni jambo la kawaida sana sana kwenye jamii zetu sio tu Afrika hata ulaya unakuta wanawake wanapigana vikumbo kisa Mwanaume.

Either ni Mwanaume
1. Mwenye pesa
2. Handsome
3. Ana ushawishi
4. Maarufu n.k

Ila sisi wanaume pamoja na kuhonga kwetu mamilioni ya pesa Kwa ajili ya wanawake wazuri wenye shape na sura mbona hatuwezi kumgombania mwanamke Incase Kuna Mwanaume anataka kumchukua?

Yaani huwezi Kuta wanaume wanapigania demu mmoja never. Kwann?

Mimi binafsi pamoja na washkaji zangu hatujawahi mgombania demu yoyote yule kama akichukuliwa poa TU tunasonga mbele na maisha mengine .

Sasa swali Kwa wanaume wenzangu hii imekaaje?

N.B picha kusindikiza Uzi hapo hazihusiani na mada 🙂
Bila picha ni uzushi
 
Mtoa mada unaishi sayari gani ambayo hakuna wanaume waliowahi kupigana kisa wanawake, we sema tu hujawahi kuwaona ila wapo wengi sana tena siyo kupigana tu hata kuuana au kujiua kabisa we angalia cases za watu wanaojiua kisa mapenzi wengi ni jinsia gani, mnatumia nguvu nyingi sana kulazimisha ionekane kama vile wanawake ndio wanawahitaji sana wanaume kumbe ni kinyume chake tu
 
Mtoa mada unaishi sayari gani ambayo hakuna wanaume waliowahi kupigana kisa wanawake, we sema tu hujawahi kuwaona ila wapo wengi sana tena siyo kupigana tu hata kuuana au kujiua kabisa we angalia cases za watu wanaojiua kisa mapenzi wengi ni jinsia gani, mnatumia nguvu nyingi sana kulazimisha ionekane kama vile wanawake ndio wanawahitaji sana wanaume kumbe ni kinyume chake tu
Chai
 
kuna watu hadi wamepoteza kazi maofisini huko kwasababu tu wapo karibu na mwanamke ambaye alishawahi kupita na boss, wengine wapo hadi magerezani wametengenezewa kesi. kuna mwaka nilishawahi kukosa dili nono sana kwasababu tu nipo karibu na mwanamke ambaye hata sikuwa na mahusiano naye ila yeye ndio ananifuata na kunisumbua, kumbe kuna tajiri mmoja alikuwa anamtaka, hakupenda kwanini yule mwanamke anipende mimi na sio yeye, akawa adui yangu bila hata mimi kujua.
Duuh
 
Wanaume tunapoanzisha mahusiano na wanawake huwa hatuangalii career, status, elimu, kazi, kibunda n.k hivyo hata tukimpoteza hatuna cha kupoteza

Mwanamke hana mchango wowote kwa mwanamume zaidi ya kumchuna na kumpiga vizinga.

Kwa hiyo mwanamume haoni sababu ya kugombania matatizo

Hii ni kwa wanaume tu sio wavulana
 
Back
Top Bottom