Kwanini wanaume hatugombanii wanawake kama wanawake wanavyotugombania wanaume? 🤔

Mwanamke kuwa na mahusiano na mwanaume x ni bahati na yeye mwanamke ndiye hutongozwa. Kumbuka bahati haiji mara mbili,hivyo lazima aipiganie.
 
👀👀Kuna wanawake huwa wanagombania wanaume kumbe??
Mwanamume mwenye kibunda akimcheat mwanamke wake, utamsimkia mwanamke akilalamika anaibiwa mume/bwana wake

Ukiwa na kibunda mwanamke yuko radhi muendelee na mahusiano hata ukimcheat hataki kukupoteza wenzake wakuchukue

Huu ni mfano wa mwanaume anayegombaniwa indirect
 
Huo utaifiti wako karudie kuufanya, vitu vinavyo wagombanisha wanaume ni mademu na fedha na mtiti wake unakuwa sio wa kitoto. Halafu unakuta demu mwenye wote hawaelewi nia yake kuwachuna,hata mkipigana swala lenu.
 
Zamani walikuwa Wacha he saivi wapo wengi mmh hii mbona uongo.

Wameongezekaje sasa
Umeshindwa hata kutumia akili ndogo kujua hili? Walishushwa toka mbinguni
  • Angalia matokeo ya sensa ya miaka 1980, 1990 na 2000 wanawake wapo wangapi na wanaume
  • Tumia akili ndogo tu, angalia watoto wa sasa wanaozalia wa kiume na wakike ndiyo utajua kama umeshindwa kutumia akili ndogo kujua hili.
 
Ipo hivi;

Maeneo ya mjini wanawake wanagombania wanaume kulingana na uhaba wao

Kijijini wanaume wanapigana,wanalogana na mbaya zaidi wanauana kwa ajili ya Mwanamke tena unakuta mwanamke mwenyewe hana mbele wala nyuma yaani hana sura,umbo au chura la kumvutia muhuni

Vice versa is true
 
Kwa kweli.
 
Kwani kugombania kupi unakozungumzia wewe au ile yakushikana mashati achana na demu wangu? Mwingine akishaona unatoka na demu ambae yeye mwenyewe alishamfukuzia au anamfukuzia kama mpo nae karibu huyo jamaa atakata mazoea naww na huenda hata salamu asiitikiea pindi utakapomsalimia, mapenzi mwanzo wa chuki mkuu au hujasikia huko kanda ya ziwa mtu anaua ili wakose wote yaani kesi za wivu wa mapenzi haziishi soyo kwa wanaume wala wanawake
 
Hao wanaochoma visu na kuua wake zao kisa wivu wa mapenzi mbona nikama wanagombea wanawake mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…